marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

holiganbet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

parmabet

piabellacasino

mislibet

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet güncel giriş

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

imajbet giriş

imajbet güncel giriş

ngsbahis

kralbet giriş

bahiscasino

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betwoon

süperbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

meritking

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

jetbahis

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

betoffice

norabahis

marsbahis

nesinecasino

holiganbet

mercurecasino

casinowon

grandpashabet

padişahbet

Google Search Console giriş

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA AVUTIWA NA UTENDAJI KAZI WA JKT

Written by Alex Sonna

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan,akizungumza  wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) yaliyofanyika leo Julai 10,2023 katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama wakati wa Wimbo wa Taifa ukiimbwa katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma wakati wa kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) leo Julai 10,2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima lililoandaliwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma  leo Julai 10,2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Innocent Bashungwa, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda pamoja na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajab Mabele wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma leo Julai 10,2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan,akiteta  jambo na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajab Mabele wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) yaliyofanyika leo Julai 10,2023 katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.

Gwaride la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) likipita kwa mwendo wa pole na haraka mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) yaliyofanyika leo Julai 10,2023 katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan,akizungumza  wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) yaliyofanyika leo Julai 10,2023 katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Innocent Bashungwa,akizungumza  wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) yaliyofanyika leo Julai 10,2023 katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.

Mkuu wa Mejeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob Mkunda ,akizungumza  wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) yaliyofanyika leo Julai 10,2023 katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.

 Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajabu Mabele,akitoa taarifa ya JKT wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) yaliyofanyika leo Julai 10,2023 katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali imedhamiria kuliwezesha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kuwa la kisasa zaidi lenye kuendana na mahitaji ya sasa katika kutimiza majukumu ya malezi ya vijana kuwajenga uzalendo wenye kulithamini taifa, kujitegemea uzalishaji mali na kulitetea Taifa bila hofu.

Rais Samia ameyasema hayo leo Julai 10,2023 wakati wa Kilele cha  maadhimisho ya miaka 60 tangu kuanzishwa kwa JKT yaliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.

 Rais Dk. Samia amesema  msukumo wa kuanzishwa kwa jeshi hilo Julai 1963 ni kuhakikisha Tanzania inakuwa na vijana wenye utayari wa kulitumikia taifa lao.

“Dhamira ya Serikali ni kuimarisha JKT ili liwe Jeshi la kisasa zaidi linaloendana na wakati na kutimiza majukumu yake kwa ufanisi wa hali ya juu, mafunzo yanayotolewa na JKT yawasaidie vijana kuwa wazalendo wa kweli wanaothamini utaifa, umoja na mshikamano wa Watanzania na wanaopenda kufanya kazi kwa moyo wa kujituma na kujitolea”, amesema Dkt. Samia.

“Kutokana na umuhimu wa JKT katika kuwaanda vijana, mwaka 1964 wakati akiwahutubia vijana wa JKT kwenye kambi ya Mgulani, Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere alisisitiza kwamba JKT litakuwa lango kuu kwani kila kijana atalazimika kulipita kabla ya kwenda kulitumikia taifa katika nafasi mbalimbali.

Ameongeza  kuwa: “Ndio maana mwaka huu idadi ya vijana waliojiunga JKT wameongezeka na kila mwaka idadi itaendelea kuongezeka tofauti na wale wanaokwenda kwa hiyari.”

Hata hivyo Rais Samia ametoa maagizo kwa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), kuandaa mpango mkakati wa kurekebisha makambi yanayohitajika.

“Naelekeza Wizara ya Ulinzi na JKT kuandaa mpango mkakati wa kurekebisha makambi kwenye Jeshi la JKT katika upande wa malezi ya vijana. Aidha, kuliwezesha Shirika la SUMA JKT kupata mikopo ili wazalishe na waweze kurejesha mikopo na shirika liweze kuendelea, na kama ikitakiwa udhamini wa Serikali, tuko tayari kuwezesha SUMA- JKT ili iweze kuzalisha kwa kiwango kikubwa”.Amesisitiza Rais Dkt. Samia 

Kwa upande wake  Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa,Mhe. Innocent Bashungwa, amesema kuwa mafunzo ya JKT ni muhimu na yana mchango wa amani iliyopo nchini na wataendelea kushirikiana na Wizara za kisekta kuboresha mafunzo ya stadi za kazi kwa vijana wa jeshi hilo ili kupata stadi na maarifa tofauti na ilivyo sasa.

“Haya ni maelekezo yako(Rais Samia) kwamba JKT pamoja na jukumu la malezi kwa vijana inapaswa kuwa na ubunifu na kutoa mchango wa uchumi katika  taifa letu ili kuzalisha ajira kwa vijana na kulisaidia taifa kuwa na uhakika wa chakula na ili kutekeleza maelekezo yako tunashirikiana na Wizara ya kilimo, mifugo na uchumi wa bluu pamoja na kufungamanisha sekta hizi, na sekta ya viwanda,”amesema Mhe.Bashungwa

Naye Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Mkunda,ameishukuru serikali kwa kuendelea kuiwezesha JKT kwa rasilimali watu na fedha ili kuweza kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi.

“ Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa kushirikiana na Wizara ya Ulinzi na JKT, tumeweka mikakati ya kuliboresha na kulifanya Jeshi la Kujenga Taifa kuwa la kisasa zaidi ili liweze kwenda sambamba na mabadiliko ya sayansi na teknolojia duniani”,amesema  Mkuu wa Majeshi.

Awali Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajabu Mabele  amesema kuwa  jukumu la jeshi hilo ni malezi ya vijana, uzalishaji mali na ulinzi wa Taifa na tangu kuanzisha kwake Julai 10 mwaka 1963 linatekeleza majukumu kwa ufanisi.

Meja Jenerali Mabele ameongeza kuwa, JKT imefanikiwa kwa kiwango kikubwa kubadilisha fikra za kikoloni kwa vijana waliohudhuria mafunzo yake, kuwajenga vijana katika hali ya umoja, moyo wa kupenda kazi, uadilifu, nidhamu, uelewano bila kubaguana kwa misingi ya ukabila, dini, jinsia hivyo kudumisha uhuru na amani ya Taifa.

“JKT imefanikiwa kuwa na ongezeko la idadi ya vijana wanaopata mafunzo ya Jeshi hili ambapo mwanzo lilianza na vijana 11 lakini kwa sasa vijana waliopo makambini wanaohudhuria mafunzo kwa mujibu wa Sheria ni 52,000” amesema Meja Jenerali Mabele.

JKT ilianzishwa rasmi Julai 10, 1963, hatua hii ilikuwa ni utekelezaji wa azimio la kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Aprili 19, 1963 chini ya uongozi wa Rais wa Awamu ya Kwanza, Hayati Mwl. Julius Nyerere.

About the author

Alex Sonna