Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

avrupabet

vipslot

betcool

betlivo

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

kareasbet

hazbet

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

betra

gobahis

casival

casival

betcool

avrupabet

celtabet

jojobet

Hacklink panel

norabahis

kingroyal

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

hepbet

millibahis giriş

gobahis

vipslot

betface

elitbahis giriş

betcool

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

betlike

holiganbet

jojobet

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betewin

jojobet

vipslot

betnis

betmarino giriş

aresbet

aresbet

avrupabet giriş

betface

luxbet

betmarino

casival giriş

betlivo giriş

realbahis

gallerbahis

gallerbahis

aresbet giriş

parmabet

betnis

elitbahis

vaycasino giriş

betra giriş

celtabet giriş

parmabet giriş

vipslot giriş

hazbet giriş

elitbahis

luxbet giriş

hepbet

lordcasino

parmabet

lordcasino

kareasbet

betcool giriş

realbahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

slot siteleri

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

parmabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

madridbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

casino siteleri

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat

jojobet giriş

marsbahis

sweet bonanza

realko

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

betlivo

millibahis

millibahis

celtabet

millibahis

parmabet giriş

mavibet giriş

coinbar

coinbar

mislibet giriş

mavibet

parmabet giriş

parmabet

bahiscasino

mavibet

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

betcio

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

Featured Kitaifa

SERIKALI KUIMARISHA SEKTA YA USHIRIKA

Written by Alex Sonna

 

Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mhe. David Silinde,akizungumza wakati wa Ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku ya Ushirika leo Juni 27, 2023 katika Viwanja vya Nanenane Ipuli Mkoani Tabora kwa niaba ya Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Hamis Ulega.

Na.Mwndishi Wetu-TABORA

Serikali imesema imedhamiria kuimarisha na kuendeleza azma yake ya kuimarisha, kusimamia na kuendeleza Sekta ya Ushirika nchini kwa lengo la kuondoa umaskini na kujenga uchumi imara wa Wananchi.

Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mhe. David Silinde kwa niaba ya Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Hamis Ulega ameyasema hayo wakati wa Ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Juni 27, 2023 katika Viwanja vya Nanenane Ipuli Mkoani Tabora.

Naibu Waziri amesema Serikali ina azma ya kuimarisha Ushirika kutokana na jitihada mbalimbali zinazoendelea ikiwemo kuimarisha na kukamilisha kanzidata na kusajili Wakulima nchini ili taarifa hizo ziweze kusaidia katika usimamizi wa Ushirika, usambazaji wa pembejeo na Viwatilifu kwa lengo la kuongeza uzalishaji na hatimaye kukuza masoko kupitia Ushirika.

“Sote tunatambua mchango wa sekta ndogo ya ushirika katika nchi yetu hasa katika kuleta maendeleo na kukuza uchumi wa nchi. Nipende kusema kwamba Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatambua kwamba, ushirika unasaidia watanzania hasa wenye kipato cha chini katika kukabiliana na umasikini” alisema

Aidha, amekitaka Chuo cha Ushirika Moshi (MoCU) kuendelea kutoa mafunzo ya Ushirika kwa Wanaushirika, Wadau na Umma ili Wananchi wengi waweze kuelewa Ushirika, kutambua fursa za kiuchumi zilizopo katika Sekta ya Ushirika na kuzitumia kuondoa umaskini.

Aidha, amesema kutokana na takwimu zilizotolewa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika (TFC) kuonesha idadi ya wanachama wa Vyama vya Ushirika imeongezeka kutoka wanachama 6,965,272 Desemba, 2021 hadi 8,358,326 kufikia Machi, 2023. Ongezeko hilo limetokana na uhamasishaji kuhusu umuhimu wa kujiunga na ushirika. Hivyo, suala kubwa ambalo Serikali inalisisitiza ni kuhakikisha wakulima, wafugaji na wavuvi wengi wanajiunga kwenye vyama vya ushirika.

Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Irene Madeje kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kamisheni Abdulmajid Nsekela amesema miongoni mwa vipaumbele vya kuimarisha Ushirika vya Tume ni pamoja na kuimarisha matumizi ya Mifumo ya TEHAMA katika usimamizi na uendeshaji wa Vyama hasa kupitia Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika unaosimamiwa na Tume.

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege amesema Tume imeendelea kusimamia Sekta hiyo kwa kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kuimarisha kaguzi katika Vyama, kuvunja Bodi za Ushirika pale inapohitajika, kutoa mafunzo na kuhamasisha uanzishaji wa Vyama, pamoja na kuhamasisha Amcos kuanzisha SACCOS.

Ufunguzi huo umehudhuriwa na Viongozi mbalimbali wakiwemo Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Tabora, Mwakilishi wa Mrajis wa Vyama vya Ushirika Zanzibar Zainab Hassan, Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika, Wanaushirika pamoja na Wadau wa Ushirika. Kauli mbiu ya Maadhimisho ya Siku ya Ushirika 2023 ni “Ushirika kwa Maendeleo Endelevu

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Vyama vya Ushirika Dkt. Benson Ndiege akieleza Jambo Kwa Wanaushirika wakati wa Ufunguzi wa Maadhimisho Siku ya Ushirika Duniani Viwanja vya Ipuli Tabora

Sehemu ya washiriki wakifatilia hotuba ya Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mhe. David Silinde (hayupo pichani) ,akizungumza wakati wa Ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku ya Ushirika leo Juni 27, 2023 katika Viwanja vya Nanenane Ipuli Mkoani Tabora kwa niaba ya Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Hamis Ulega.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. David Silinde akiangalia bidhaa za wanaushirika katika Ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani, Viwanja vya Nanenane Ipuli Tabora.

About the author

Alex Sonna