slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

casinoroyal

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betgar, betgar giriş

betgar, betgar giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

taksimbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu 888

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

bets10 giriş

hitbet

mislibet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

marsbahis, marsbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

tarafbet

hitbet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

galabet, galabet giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

casibom

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

jojobet

matbet

marsbahis

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

Casibom

matbet

matbet

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

dedebet

betpark

betpark

Featured Kitaifa Uncategorized

MCHAKATO WA KUREKEBISHA SHERIA YA NDOA 1971, WADAU WASISITIZA MIAKA 18

Written by Alex Sonna
Waziri wa Katiba na Sheria Dr. Damas Ndumbaro akifungua mkutano wa kujadili Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971.
Waziri wa Katiba na Sheria Dr. Damas Ndumbaro akifungua mkutano wa kujadili Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971.

Waziri wa Katiba na Sheria Dr. Damas Ndumbaro akifungua mkutano wa kujadili Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971.
Bi. Anna Kulaya Mratibu wa Taifa wa WILDAF akitoa neno la ukaribisho
Baadhi ya Wabunge walioshiriki mkutano huo
Mwendeshaji wa kikao na Mkurugenzi Mtendaji wa TAMCODE Rose Ngunangwa Mwalongo akizungumza 
Mwendeshaji wa kikao na Mkurugenzi Mtendaji wa TAMCODE Rose Ngunangwa Mwalongo akizungumza 
Waziri wa Katiba na Sheria Dr. Damas Ndumbaro (wa nne kushoto) akiwa na baadhi ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wanamtandao wa kupinga ukatili jijini Dodoma.
Wadau wamependekeza umuhimu wa kufanya marekebisho ya Sheria ya Elimu ili kiwango cha chini cha mtoto kupata elimu kuwa kidato cha nne ili kuwalinda watoto na ndoa za utotoni.
 
Sambamba na hilo, Bunge lifanye marekebisho ya Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 na kuweka umri wa chini wa mtoto kuolewa kuwa miaka 18.
 
Wito huu ulitolewa hivi karibuni kama sehemu ya maazimio jijini Dodoma kwenye mkutano uliowakutanisha wabunge wa Jammhuri ya Muungano wa Tanzania na mtandao wa kupinga ukatili Tanzania ili kujadili umuhimu wa kurekebisha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971.
 
Mkutano huo uliandaliwa na WILDAF kwa kushirikiana na Wizara ya Katiba na Sheria.
 
MAAZIMIO YA MKUTANO HUO
 
Wadau wameshauri umuhimu wa kuijengea uwezo RITA ili iwe na mifumo mathubuti ambayo itasajili ndoa kwa namna ambayo wataweza kutambua ndoa zote zinazofungwa ikiwemo zinazohusisha watoto.
 
Mojawapo ya maazimio hayo ni pamoja na kuja na mikakati mahsusi ya kutokomeza mila na desturi zilizopitwa na wakati na zenye madhara kama ukeketaji kutokana na kuwa miongoni mwa sababu zinazochochea ndoa za utotoni.
 
Mbunge wa viti maalumu Mh. Sophia Mwakagenda alisema kuwa marekebisho ya Sheria ya Elimu hususani kuweka umri wa miaka 18 kama ukomo utasaidia kutokomeza ndoa za utotoni.
 
Kwa upande wake, Mbunge wa viti maalumu Mh. Salome Makamba alisema mitaala mipya ya elimu inayopendekezwa itasaidia kutatua changamoto juu ya ndoa za utotoni.
 
Mbunge huyo alisisitiza pia umuhimu wa kuhakikisha harakati zote za kumkomboa mtoto wa kike zinakwenda sambamba na kufanya hivyo pia kwa mtoto wa kiume kwani nao pia wanakabiliana na changamoto.
 
MADHARA YA MTOTO KUOLEWA KATIKA UMRI MDOGO
 
Mratibu wa WILDAF kitaifa Bi. Anna Kulaya anatoa wito wa Bunge kurekebisha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 ili kuwaokoa watoto na ndoa za utotoni na vifo vinavyotokana na uzazi kwani miaka 14 na 15 ni umri mdogo mno kwa mtoto hususani wa kike kuingia kwenye uzazi na malezi.
 
Ndoa za utotoni pia zinawanyima wasichana haki ya kupata elimu na kuwatokomeza kwenye dimbwi la ukatili wa kijinsia na umasikini uliokithiri kwani huwa hawana maamuzi na hawana uwezo wa kujilinda kutokana na umri wao kuwa mdogo.
 
Kwa mujibu wa Kulaya, takwimu duniani zinaonyesha kuwa nchi nyingi zenye viwango vya juu vya ndoa za utotoni ndizo zinazoongoza kwa vifo vya uzazi.
 
“Nchini Tanzania, takwimu zilizopo kwenye Utafiti wa Kidemographia na Afya wa mwaka 2022 zinaonyesha kuwa vijana walio chini ya miaka 20 wanachangia asilimia 20 ya vifo vya uzazi huku wasichana kati ya miaka 15-24 wakichangia takribani asilimia 40 ya vifo vya uzazi nchiini”, alisema Kulaya.
 
 
UHALALI WA MIAKA 18 KUWA UMRI SAHIHI KISHERIA
 
Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 inakinzana na sheria nyingine nchiini inapokuja kwenye umri kwani inaruhusu ndoa kwa mtoto wa kike kuanzia umri wa miaka 14 hadi 15 umri ambao mtoto anatakiwa si tu kuwa shuleni bali ni umri mdogo sana kwake kuchukua majukumu ya ndoa na kuanzisha familia.
 
 
Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 inakinzana na:
 
👉 Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 ambapo Ibara ya 5 inampa mtu mwenye umri wa miaka 18 kupiga kura.
 
👉 Sheria ya Mtoto ya mwaka 2009 ambapo kifungu namba 4(1) kinatamka bayana kwamba mtu yoyote mwenye umri chini ya miaka 18 ni mtoto.
 
👉 Sheria ya Uchaguzi katika kifungu cha 342 inatoa haki ya kupiga kura kwa mtu mwenye umri wa miaka 18 na kutoa katazo kwa mtu wa chini ya umri huo.
 
👉  Hivyo ni dhahiri kwamba sheria hizo zote nyingine zinatambua kwamba mtu mwenye umri wa chini ya miaka 18 bado ni mdogo mno kufanya maamuzi ya muhimu ambayo kwa vyovyote vile hayawezi kuzidi uzito wa ndoa na uzazi, masuala ambayo yana changamoto nyingi mno.
 
 
Hivi karibuni, Waziri wa Katiba na Sheria Dr. Damas Ndumbaro alinukuliwa akisema mchakato wa kurekebisha sheria hiyo ulitokana na amri ya Mahakama ya Rufaa ambapo tayari wadau mbalimbali wametoa maoni ya namna ya kuboresha sheria hiyo.
 
 
MWISHO
 
 

About the author

Alex Sonna