marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

türk ifşa

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

porno izle

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

Featured Kitaifa

WIZARA YA ELIMU YAZINDUA MIONGOZO YA ELIMU YA AWALI JIJINI DODOMA

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi Msaidizi Ithibati Shule,Bw. Patrick Leyana,akikata utepe kuashiria  uzinduzi wa Miongozo ya Elimu ya Awali  kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.Kushoto ni Mkurugenzi wa Elimu ya Awali na Msingi kutoka Ofisi ya Rais, TAMISEMI,Bi.Susan Nussu.

Na.Alex Sonna-DODOMA

SERIKALI imezindua miongozo na nyaraka za Elimu ya Awali zitakazorahisisha utoaji wa huduma stahiki kwa watoto kwenye malezi na ujifunzaji ili kujenga makuzi timilifu.

Uzinduzi huo umefanyika Mei 26, 2023 na Mkurugenzi Msaidizi Ithibati Shule, Patrick Leyana kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.

Amesema miongozo na nyaraka hizo zimeandaliwa ili kuwawezesha wadau wa elimu ya awali kutoa huduma kwa watoto wote kwa usawa na kwa kuzingatia mahitaji yao.

Ametaja miongozo hiyo kuwa ni pamoja na Mwongozo wa Kitaifa wa Uendeshaji na Viwango katika Elimu ya Awali (MUVEA), Kiongozi cha Utekelezaji wa Mwongozo wa Kitaifa wa Uendeshaji na Viwango katika Elimu ya Awali (KUMUVEA), Mwongozo wa Kitaifa wa Uanzishaji na Utekelezaji wa Shughuli za Ushirikiano wa Wazazi na Walimu katika Elimu ya Awali na Msingi.

Mingine ni Mwongozo wa Kitaifa wa Uanzishaji, Usimamizi na Uendeshaji wa Vituo Shikizi vya Shule pamoja na Mwongozo wa Upimaji Shirikishi wa Matokeo ya Ujifunzaji kwa Wathibiti Ubora wa Shule.

“Shukrani za pekee kwa Shirika la Kimataifa la Watoto Duniani UNICEF na GPE LANES II pamoja na mashirika mengine likiwemo shikrika la Children in Crossfire Watoto wetu Tunu Yetu, USAID- Jifunze Uelewe na UKaid-Shule Bora mliochangia kwa moyo wa dhati kufanikisha uandaaji, uchapaji na uzinduzi wa miongozo hii,”amesema.

Amewaomba viongozi wengine kutoka katika wizara zinazohusika na masuala ya watoto kutumia miongozo hiyo ili kuwezesha upatikanaji wa huduma jumuishi kwa watoto wote wakiwemo wenye mahitaji maalumu kufikia viwango vya ubora wa kitaifa, kikanda na kimataifa.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Elimu ya Awali na Msingi kutoka Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Bi.Susan Nussu, amesema miongozo hiyo itasaidia kujenga elimu bora kwa watoto wa kitanzania wakiwa na umri mdogo na kupitia mradi wa BOOST walimu 3,000 watafikiwa kujengewa uwezo wa kufundisha madarasa ya awali.

Awali Mratibu wa Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Hawa Selemani, amesema miongozo hiyo itaweka viwango vya ubora katika utekelezaji wa elimu ya awali.

Naye Mtaalamu wa masuala ya Elimu kutoka Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), Audax Tibubinda, amesema hatua hiyo inaonesha hatua kubwa katika maendeleo ya elimu na kuhimiza wataalamu wa ndani waendelee kutumika zaidi ili kuleta mafanikio ya aina hiyo.

Mkurugenzi Msaidizi Ithibati Shule,Bw. Patrick Leyana,akizungumza wakati akifungua uzinduzi wa Miongozo ya Elimu ya Awali Tanzania bara kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Elimu ya Awali na Msingi kutoka Ofisi ya Rais, TAMISEMI,Bi.Susan Nussu,akizungumza wakati wa  uzinduzi wa Miongozo ya Elimu ya Awali Tanzania bara  hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.

Mratibu wa Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Hawa Selemani,akielezea malengo ya uzinduzi huo wa  Miongozo ya Elimu ya Awali Tanzania bara  hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.

Mtaalamu wa masuala ya Elimu kutoka Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), Audax Tibubinda,akizungumza wakati wa  uzinduzi wa Miongozo ya Elimu ya Awali Tanzania bara  hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.

Mkuu wa Divisheni ya Elimu ya Awali kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bw.Hamd Habib Bakar,akizungumza wakati wa  uzinduzi wa Miongozo ya Elimu ya Awali  hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.

Mkufunzi Mhonda TC Bw.Mussa Swila,akizungumza wakati wa  uzinduzi wa Miongozo ya Elimu ya Awali Tanzania bara  hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.

Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii,JinsiaWanawake na Makundi Maalum Bi.Leah Mwakatobe,akizungumza wakati wa  uzinduzi wa Miongozo ya Elimu ya Awali Tanzania bara  hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.

Mratibu wa Elimu ya Awali Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt.Yangson Mgogo,akizungumza wakati wa  uzinduzi wa Miongozo ya Elimu ya Awali Tanzania bara  hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi Ithibati Shule,Bw. Patrick Leyana (hayupo pichani), wakati akifungua uzinduzi wa Miongozo ya Elimu ya Awali Tanzania bara kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.

Mkurugenzi Msaidizi Ithibati Shule,Bw. Patrick Leyana,akipata maelezo jinsi watoto wanavyopata elimu ya awali wakati wa uzinduzi wa Miongozo ya Elimu ya Awali Tanzania bara kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.

Mkurugenzi Msaidizi Ithibati Shule,Bw. Patrick Leyana,akicheza na watoto wakati akifungua uzinduzi wa Miongozo ya Elimu ya Awali Tanzania bara kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.

Mkurugenzi Msaidizi Ithibati Shule,Bw. Patrick Leyana,akikata utepe kuashiria  uzinduzi wa Miongozo ya Elimu ya Awali  kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.Kushoto ni Mkurugenzi wa Elimu ya Awali na Msingi kutoka Ofisi ya Rais, TAMISEMI,Bi.Susan Nussu.

Mkurugenzi Msaidizi Ithibati Shule,Bw. Patrick Leyana,akikabidhi Miongozo ya Elimu ya Awali mara baada ya kuizindua kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.

Mkurugenzi Msaidizi Ithibati Shule,Bw. Patrick Leyana,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua  Miongozo ya Elimu ya Awali Tanzania bara kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda hafla iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mtemi Mazengo jijini Dodoma.

About the author

Alex Sonna