Featured Kitaifa

Breaking News : BENARD MEMBE AFARIKI DUNIA

Written by mzalendoeditor
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Mhe.Bernard Kamilius Membe, amefariki dunia muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Kairuki mkoani Dar es Salaam.
Taarifa za awali zinaeleza kuwa alipata changamoto ya kifua na kupelekwa alfajiri ya leo Hospitalini hapo na baadaye kufariki.
Kwa taarifa zaidi endelea kuwa nasi.
Chanzo: ITV Tanzania

About the author

mzalendoeditor