Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

deneme bonusu

casinomilyon

grandpashabet

holiganbet

betsalvador

cratosroyalbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

lordcasino

marsbahis

luxbet

gobahis

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

millibahis

realbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

norabahis

luxbet

betnis

betnis

parmabet

radissonbet

Hacklink panel

betsmove

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

rekorbet giriş

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

netbahis

meybet giriş

netbahis

betra

primebahis

tümbet

tümbet giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

betpark

casibom giriş

holiganbet

bets10

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

netbahis giriş

prensbet

lordcasino giriş

ganobet

gobahis giriş

orisbet giriş

kareasbet

orisbet

millibahis

betnis giriş

orisbet giriş

parmabet giriş

kareasbet

maritbet

kareasbet giriş

gobahis giriş

prensbet giriş

aresbet giriş

vaycasino

prensbet

orisbet

luxbet giriş

meybet

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

norabahis giriş

ganobet

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

rekorbet

goldenbahis

goldenbahis

perabet, perabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

meritking

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

cratosroyalbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

Grandpashabet

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat güncel giriş

jojobet

jojobet

casibom

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

ibizabet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

mislibet giriş

betnis

norabahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet

cratosroyalbet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

casibom

betsat

monobahis

deneme bonusu

deneme bonusu

tipobet

bets10

sekabet güncel giriş

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

grandpashabet

jojobet

jojobet

nerobet

goldenbahis

jojobet

Hacklink panel

tümbet

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

test

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

WAZIRI MKENDA AWATAKA WADAU KUTOA MAONI SERA YA ELIMU KWA UWAZI

Written by Alex Sonna

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda,akizungumza wakati akifungua kongamano la kujadili sera na mitaala mipya ya elimu ya awali, msingi, sekondari na ualimu linalofanyika jijini Dodoma kuanzia leo Mei 12-14, 2023,mwaka huu.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda,akisisitiza jambo kwa wadau mbalimbali  wakati akifungua kongamano la kujadili sera na mitaala mipya ya elimu ya awali, msingi, sekondari na ualimu linalofanyika jijini Dodoma kuanzia leo Mei 12-14, 2023,mwaka huu.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Carolyne Nombo,akizungumza wakati wa  kongamano la kujadili sera na mitaala mipya ya elimu ya awali, Msingi, Sekondari na ualimu linalofanyika jijini Dodoma kuanzia leo Mei 12-14, 2023,mwaka huu.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. James Mdoe,,akizungumza wakati wa  kongamano la kujadili sera na mitaala mipya ya elimu ya awali, Msingi, Sekondari na ualimu linalofanyika jijini Dodoma kuanzia leo Mei 12-14, 2023,mwaka huu.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu,Utamaduni na Michezo Prof.Kitila Mkumbo ,akizungumza wakati wa  kongamano la kujadili sera na mitaala mipya ya elimu ya awali, msingi, sekondari na ualimu linalofanyika jijini Dodoma kuanzia leo Mei 12-14, 2023,mwaka huu.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi.Rosemary Senyamule,akitoa salamu za mkoa wake  wakati wa  kongamano la kujadili sera na mitaala mipya ya elimu ya awali, msingi, sekondari na ualimu linalofanyika jijini Dodoma kuanzia leo Mei 12-14, 2023,mwaka huu.

 

Sehemu ya washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda (hayupo pichani),wakati akifungua kongamano la kujadili sera na mitaala mipya ya elimu ya awali, msingi, sekondari na ualimu linalofanyika jijini Dodoma kuanzia leo Mei 12-14, 2023,mwaka huu.

Mwenyekiti wa Kamati ya Mitaala Prof.Makenya Maboko,akitoa wasilisho la kwanza kutoka kamati ya mabadiliko ya Mitaala wakati wa kongamano la kujadili sera na mitaala mipya ya elimu ya awali, msingi, sekondari na ualimu linalofanyika jijini Dodoma kuanzia leo Mei 12-14, 2023,mwaka huu.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda,akifatilia mawasilisho mbalimbali kutoka kwenye Kamati ya Mapitio ya Sera na Kamati ya mabadiliko ya Mitaala wakati wa  kongamano la kujadili sera na mitaala mipya ya elimu ya awali, msingi, sekondari na ualimu linalofanyika jijini Dodoma kuanzia leo Mei 12-14, 2023,mwaka huu.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda ,amewataka  wadau kutoa maoni kwa uwazi kwenye rasimu ya Sera ya Elimu na Mafunzo na Mitaala toleo 2023, zinazolenga kuleta mageuzi makubwa na kuongeza ubora wa elimu nchini.

Waziri Mkenda ameyasema hayo wakati akifungua kongamano la kujadili sera na mitaala mipya ya elimu ya awali, msingi, sekondari na ualimu linalofanyika kuanzia leo Mei 12-14, 2023 jijini Dodoma.

Prof.Mkenda Amesema kongamano hilo limekutanisha wadau mbalimbali wakiwamo watanzania kutoka ughaibuni.
“Serikali ya awamu ya sita imedhamiria kufanya mageuzi makubwa yanayozingatia matakwa ya wananchi mahitaji ya kijamii na kiuchumi ya sasa na baadae katika mazingira ya utandawazi,”amesema Prof.Mkenda 

Aidha amesema kuwa  mageuzi hayo yanalenga kuwezesha wahitimu kuwa na ujuzi na kujiamini ili kujiajiri na kuajirika.
“Ni matumaini yangu kuwa mtatoa maoni na ushauri ambao utakuwa chachu ya maboresho ya rasimu ya elimu na mafunzo na mitaala mipya ya elimu,”amesisitiza.

Hata hivyo amesema kuwa Serikali imedhamiria kufufua na kurudisha shule za sekondari na ufundi ambazo zitaanza kuchukua wanafunzi kuanzia Januari mwakani.

Prof. Mkenda amesema kuwa mapendekezo ya kufufua shule za sekondari za ufundi ni kutokana na vijana wengi kuona kama kusoma ufundi bila kuwa na elimu ya sekondari ni kujidhalilisha .

“Tumetenga bajeti ya kurudisha shule zetu za sekondari ambazo pia zinafundisha masomo ya ufundi ,hii ni kwa sababu tumeona vijana wengi wakienda kusoma katika vyuo vya ufundi,wanarudi tena kufanya mtihadi wa kidato cha sita ili waende vyuo vikuu,wakidhani kusoma ufundi ni kujidhalilisha.”amesema Prof.Mkenda

Aidha Waziri Mkenda amewatoa hofu walimu waliopo kazini,tutakapoanza utaratibu mpya wa kupata walimu ,wao hautawahusu na wataendelea na kazi mpaka watakapostaafu na badala yake Serikali itaangalia namna ya kuwapa nafasi ya kwenda kujiendeleza kielimu.

Kwa upande wake  Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof.Carolyne Nombo, amesema mapitio ya mitaala kwa vyuo vya ufundi na elimu ya juu nayo yameanza vizuri kwa lengo la kuoanisha na elimu inayotolewa katika ngazi za elimu zinazoanza.

”Katika utekelezaji wa rasimu hiyo kulikuwa na kmati mbili ambazo zimefanya kazi ya kukusanya maoni ambapo zaidi ya wadau  200,000 walifikiwa na kupata fursa ya kutoa maoni yao kuhusu maboresho ya sera na mitaala ya elimu hapa nchini.”amesema Prof.Nombo

Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu,Utamaduni na Michezo Prof.Kitila Mkumbo,amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wake wa kufanya mageuzi hayo ya elimu nchini kwa kuwa kilikuwa kilio cha muda mrefu cha kupitia mfumo wa elimu.

”Kongamano hilo ni fursa kwa wabunge kuchukua maoni na kuyafanyia kazi ili kuhakikisha serikali inayachukua lakini pia kwa yale ya kisheria,Kamati hiyo itahakikisha Sheria inatungwa.”amesema Prof.Mkumbo

Aidha Prof.Mkumbo amempongeza Waziri Mkenda na timu yako ya wizara kwa kuwa wepesi kufanyia kazi maelekezo ya Rais ya kupitia sera na mitaala, duniani kote elimu ina mambo matatu, fursa, ubora wa elimu na elimu itolewayo kuwasaidia wanaoipata kujitegemea.

About the author

Alex Sonna