marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

jojobet

vdcasino

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

casinomilyon

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

cratosroyalbet

marsbahis

marsbahis

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

bekabet, bekabet giris

interbahis

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

perabet

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet güncel giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

starzbet

Gamdom

grandpashabet giriş

bets10

bets10

bets10

bets10 giriş

bets10

netbahis

netbahis giriş

casibom

royalbet

savoybetting

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

deneme bonusu 2026

kralbet

Grandpashabet

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

Featured Kitaifa

WATUMISHI WA SEKRETAIRIETI YA MAADILI WAPIGWA MSASA KATIKA MASUALA YA UCHUNGUZI WA KIDIGITALI

Written by Alex Sonna

Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji Sivangilwa Mwangesi (katikati kwa waliokaa) akiwa katika picha ya Pamoja na wakufunzi pamoja na washiriki wa mafunzo  kwa wachunguzi kutoka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma yaliyohusu Uchunguzi wa masuala ya fedha na Uchunguzi wa kidigitali. Mafunzo hayo yalifanyika leo Mei 8,2023  Jijini Arusha.

Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji Sivangilwa Mwangesi akifungua mafunzo kwa wachunguzi kutoka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma yaliyohusu Uchunguzi wa masuala ya fedha na Uchunguzi wa kidigitali. Mafunzo hayo yalifanyika leo Mei 8,2023  Jijini Arusha.

Katibu Idara ya Usimamizi wa Maadili, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Bw. John Kaole akitoa neno la utangulizi katika mafunzo kwa wachunguzi kutoka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma yaliyohusu Uchunguzi wa masuala ya fedha na Uchunguzi wa kidigitali. Mafunzo hayo yalifanyika leo Mei 8,2023  Jijini Arusha.

Na.Mwandishi Wetu-ARUSHA

Watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ambao ni wachunguzi wamepatiwa mafunzo kuhusu Uchunguzi wa fedha na uchunguzi wa kidigtali. 

Akifungua mafunzo hayo leo Mei 8,2023 jijini Arusha Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji Sivangilwa Mwangesi alisema kuwa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imeona ipo haja ya kuwapatia watumishi hao mafunzo hayo kutokana na kukua kwa sayansi na teknolojia katika maeneo mbalimbali kama vile biashara, mifumo ya fedha , na maeneo mengine ambayo yameleta mabadiliko makubwa katika utendaji kazi wa Serikali na sekta nyingine . 

Mhe. Kamishna alieleza kuwa kutokana na changamoto zilizobainika wakati wa utekelezaji wa baadhi ya majukumu ikiwepo suala la kufanya uchunguzi wa masuala ya fedha na uchunguzi wa kidigitali Sekretarieti ya Maadili imeona ipo haja ya kuwapatia watumishi wake mafunzo hayo ili kupata elimu ya uchunguzi wa kiteknolojia.”Tumeona kuwa ni lazima kujifunza na kuelewa namna ya kufanya kazi kulingana na mifumo hii ya kidigitali kadri inavyobadilika ili kupata matokeo mazuri hasa katika nyanja hii ya uchunguzi” alisema.

Aidha Mhe. Kamishna alisema kuwa matarajio ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa umma katika mafunzo hayo ni kuwapata watumishi ambao wataweza kuwa wakufunzi watakaoweza kuwafundisha watumishi wengine namna ya kufanya uchunguzi wa kifedha pamoja na uchunguzi wa kidigitali katika kukusanya taarifa zinazotokana uchunguzi mbalimbali.”Tumewaleteni nyie wachache ili mkawe waalimu kwa watumishi wengine ambao hawapo hapa” alisema .

Awali akielezea majukumu ya Sektetarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Katibu Idara ya Usimamizi wa Maadili Bw, John Kaole alisema kuwa pamoja na majukumu megine Sektetarieti ya Maadili ina jukumu la kupokea fomu za tamko la Rasilimali, Maslahi na Madeni ya viongozi wa umma na kufanya uchunguzi wa awali wa ukiukwaji wa maadili ambao hubainisha kama kuna vihatarishi vyovyote vya ukiukwaji wa Maadili.”Tunafanya uchunguzi wa awali kwa Viongozi wa Umma na endapo tukibaini kuwa kuna ukiukwaji wa maadili tunawapeleka katika Baraza la Maadili kwa ajili ya uchunguzi wa kina,” alisema.

Naye mshiriki wa mafunzo hayo ambaye ni Afisa Uchunguzi Mwandamizi kutoka Makao Makuu Dodoma Bw. Gideon Mafwiri alisema kuwa watumishi hao wamekua na changamoto ya kukosa weledi wa kutosha katika uchunguzi wa masuala ya fedha na uchunguzi wa kidigitali iliyopekelea kushindwa kupata taarifa sahihi katika uchunguzi wa masuala ya fedha na kidigitali” Tumekutana na baadhi ya viongozi wa umma hususan wafanyabiashara kuendesha biashara zao kimtandao na sisi hatukuwa na uweledi wa kutosha katika eneo hili la uchunguzi hivyo baada ya mafunzo haya ni imani yetu kwamba tutakuwa na weledi wa kutosha katika maeneo hayo,”alisema.

Mafunzo hayo ya siku tano kwa watumishi hao yaliongozwa na waratibu kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kutoka Makao Makuu Dodoma.

About the author

Alex Sonna