marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis giriş

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

Grandpashabet

türk ifşa

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

celtabet

casino zonder cruks

Featured Kitaifa

WAZIRI NDALICHAKO:RAIS SAMIA AMEIMARISHA UHUSIANO WAFANYAKAZI NA WAAJIRI

Written by Alex Sonna

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono viongozi pamoja na Wafanyakazi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Jamhuri kwa ajili ya kushiriki Maadhimisho ya Sherehe za siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi ambapo Kitaifa zimefanyika Mkoani Morogoro tarehe 01 Mei, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Profesa Joyce Ndalichako, Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Dkt. Moses Kusiluka, Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA) Tumaini Nyamhokya pamoja na Viongozi wengine wakiimba Wimbo wa Mshikamano (Solidarity) wakati wa Sherehe ya Mei Mosi ambazo Kitaifa zimefanyika katika uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro tarehe 01 Mei, 2023.

Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu wakiwa kwenye Maadhimisho ya Sherehe za siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi ambayo Kitaifa imefanyika Mkoani Morogoro Tarehe 01 Mei, 2023.

Wafanyakazi kutoka Wizara, Taasisi mbalimbali za Serikali na Binafsi wakiwa kwenye Maadhimisho ya Sherehe za siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi ambapo Kitaifa yamefanyika Mkoani Morogoro tarehe 01 Mei, 2023.

Na Mwandishi Wetu, Morogoro

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi,Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe.Prof.Joyce Ndalichako, amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan namna anavyowathamini wafanyakazi huku akimhakikishia kuendelea kuimarisha utatu ili kuwa na uhusiano mzuri mahala pa kazi.

Akizungumza kwenye maadhimisho ya sherehe za Mei Mosi Kitaifa 2023 Mjini Morogoro, Waziri Ndalichako, amesema “Nikuhakikishie Mhe.Rais sisi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu itaendelea kuimarisha utatu kwa kufanya kazi kwa ushirikiano na kwa karibu na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi, Chama cha Waajiri na Shirika la Kazi Duniani (ILO) ili kudumisha na kuimarisha uhusiano mzuri mahala pa kazi na kuchochea ufanisi.”

Aidha, Mhe. Ndalichako amempongeza Rais Samia ndani ya miaka miwili ya uongozi wake kwa kuendelea kupandisha madaraja, nyongeza za mshahara, ongezeko la ajira mpya na ubadilishaji wa miundo ya madaraja kwa wafanyakazi nchini.

Amesema wafanyakazi wataendelea kumuunga mkono Rais Samia.

Naye, Rais wa Shirikisho la Vyama Vya Wafanyakazi Tanzania(TUCTA), Tumaini Nyamhoka, amemshukuru Rais Samia kwa kuendelea kusimamia mahusiano mahala pa kazi.

Awali, akisoma risala ya TUCTA, Katibu Mkuu wa Shirikisho hiyo, Henry Mkunda, ameomba Serikali kuboresha kitengo cha Idara ya Kazi kilichopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kuongeza watumishi kwa kuwa waliopo ni wachache ili ajira za staha sipatikane kwa wafanyakazi.

“Tunakushukuru Mhe.Rais kwa kuondoa changamoto zote za ucheleweshaji wa mafao ya uzeeni na kukubali kutoa michango yao ya asilimia tano kwa wafanyakazi ambao waliondolewa kwa dosari kwenye vyeti,”amesema.

Mwenyekiti wa Chama Cha Waajiri nchini (ATE), Jayne Nyimbo, amemshukuru Waziri Ndalichako kwa ushirikiano anaoutoa katika utatu na kusisitiza uendelee ili kutatua changamoto za ajira kwa njia ya majadiliano.

Aidha, amesema waajiri wamekuwa wakitoa nafasi ya mafunzo tarajali kwa wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu na ufundi Stadi kupitia programu inayoratibiwa na Kitengo Cha Huduma za Ajira(Taesa) huku akitoa wito kwa waajiri kuendelea kutoa nafasi nyingi kwa wahitimu wajifunze na kuongeza ujuzi.

About the author

Alex Sonna