Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

nitrobahis

mavibet giriş

cratosroyalbet giriş

mavibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

Grandpashabet Güncel Giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

dinimi sitiliri

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10

piabellacasino

nerobet

cratosroyalbet

nitrobahis

mavibet giriş

mavibet

Meritking

meritking

สล็อตเว็บตรง

bets10

tarafbet

jojobet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

meritbet giriş

tipobet

cratosroyalbet

mavibet

jojobet giriş

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet telegram

marsbahis giriş

jojobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

caddebet, caddebet giriş

betgar

betsat

grandpashabet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

tarafbet

jojobet

casibom

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

Google

casinoroyal

primebahis

marsbahis

turkey dental implants cost

Doctors | Akdeniz University Hospital Login

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom

casibom giriş

dental implants turkey clinics

casibom güncel giriş

betflix giriş

turkey dental implants

deneme bonusu

wbahis

imajbet

grandpashabet

jojobet

casinowon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

mavibet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

meritking

meritking

marsbahis

meritking

jojobet

jojobet güncel

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis

Hacklink panel

zirvebet

holiganbet

Google

meritking

holiganbet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet giris

jojobet para çekme

jojobet güncel

jojobet giris

jojobet giris

jojobet

matbet

otobet

otobet giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

marsbahis giriş

marsbahis giriş

truvabet

mavibet

mavibet

mavibet

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

betflix

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet

piabellacasino

robinbet

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betebet

jojobet

jojobet erişim

jojobet adres

jojobet para yatırma

jojobet giris

casibom güncel giriş

jojobet adres

jojobet oyunlar

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet son giriş

jojobet canlı bahis

jojobet aninda

jojobet bonuslar

jojobet bahis

jojobet casino

jojobet adres

jojobet telegram

giriş jojobet

marsbahis

jojobet giris

marsbahis

jojobet vip giriş

jojobet tik giriş

jojobet adres

jojobet gir

jojobet giris

güncel giriş burada jojobet

jojobet telegram

jojobet heyecan

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel

goldenbahis

coinbar

betcio, betcio giriş

galabet, galabet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

grandpashabet

gorabet

jojobet

https://sjconsultors.com/

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

starzbet

pusulabet

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino

marsbahis

Featured Kitaifa

DUWASA YAZINDUA MRADI WA UJENZI WA TANKI LA KUHIFADHI MAJI

Written by Alex Sonna

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule,akikata utepe kuashiria uzinduzi wa  mradi wa ujenzi wa tenki lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 2.5 katika eneo la Buigiri, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo Aprili 25,2023 

 MKUU wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule,akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) Mhandisi Aron Joseph,akitoa taarifa fupi ya mradi wa ujenzi wa tangi lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 2.5 katika eneo la Buigiri, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo Aprili 25,2023 

 

 MKUU wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule,akipokea taarifa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) Mhandisi Aron Joseph,mara baada ya kutoa taarifa fupi ya mradi wa ujenzi wa tenki lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 2.5 katika eneo la Buigiri, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo Aprili 25,2023 

  

 MKUU wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule,akikata utepe kuashiria uzinduzi wa  mradi wa ujenzi wa tenki lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 2.5 katika eneo la Buigiri, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo Aprili 25,2023 

 

 MKUU wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule,akizindua mradi wa ujenzi wa tenki  lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 2.5 katika eneo la Buigiri, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo Aprili 25,2023 .

 MKUU wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule,akifungulia maji mara baada ya kuzindua mradi wa ujenzi wa tenki  lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 2.5 katika eneo la Buigiri, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo Aprili 25,2023 .

  

 MKUU wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule,akimtwisha maji Mama mara baada ya kuzindua mradi wa ujenzi wa tenki  lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 2.5 katika eneo la Buigiri, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo Aprili 25,2023 .

 

 MKUU wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule,akizungumza na wananchi wa Buigiri mara baada ya kuzindua mradi wa ujenzi wa tenki  lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 2.5 katika eneo la Buigiri, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo Aprili 25,2023 .

 

 BAADHI ya Wananchi wakimsikiliza Mkuu  wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule (hayupo pichani) mara baada ya kuzindua mradi wa ujenzi wa tenki  lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 2.5 katika eneo la Buigiri, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo Aprili 25,2023 .

  

KATIBU  Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Nadhifa Kemikimba,akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa tenki  lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 2.5 katika eneo la Buigiri, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo Aprili 25,2023 .

Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Gift Isaya Msuya ,akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa tenki  lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 2.5 katika eneo la Buigiri, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo Aprili 25,2023 .

 

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Bw. Abdallah Hassan Mitawi ,akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa tenki  lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 2.5 katika eneo la Buigiri, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo Aprili 25,2023 .

 

 MKUU wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua mradi wa ujenzi wa tenki  lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 2.5 katika eneo la Buigiri, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo Aprili 25,2023 .

Na.Alex Sonna-CHAMWINO

MAMLAKA  ya Maji safi na usafi wa mazingira Dodoma (DUWASA) imekamilisha mradi wa ujenzi wa tangi lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita milioni 2.5 katika eneo la Buigiri, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma.

Uzinduzi huo umezinduliwa leo Aprili 25,2023 na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule,katika Kata ya Buigiri ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Mhe.Senyamule,amesema kuwa maandalizi ya sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa mkoa wa Dodoma unaendelea kwa kuzindua miradi mbalimbali ukiwemo huo wa maji.
“Niwapongeze watumishi na uongozi wote wa DUWASA kwa ubunifu huu wa kuokoa pesa nyingi za serikali kwa kubuni namna nzuri ya usimamizi wa ununuzi wa vifaa na kumkabidhi Mkandarasi ambaye ni SUMA JKT na yeye kutekeleza mradi huu kwa uaminifu mkubwa ukweli ni kwamba mmefanya kazi nzuri,”amesema RC Senyamule
Aidha amesema Muungano umebaki kama kielelezo kwani ni miongoni mwa Muungano uliodumu na umekuwa na faida kubwa katika nchi hizi hasa katika sekta za Maendeleo.
“Kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano ambayo yanafanyika kila mwaka tarehe 26,Aprili sisi tumeamua kama mkoa wa Dodoma kuzindua mradi huu mkubwa wa maji safi katika wilaya hii ya Chamwino ambayo ni wilaya ya kimkakati katika harakati za Serikali kuhamia Dodoma,”amesema Senyamule 
Aidha amewataka wananchi kushiriki kikamilifu katika ulinzi wa vyanzo vya maji ,kutunza maji na kuhakikisha wanalipa bili za maji ili kufanya mradi uwe endelevu.
Hata hivyo Senyamule amewahakikishia wawekezaji wote wanaotaka kuwekeza Chamwino kuja kuwekeza kwani kuna uhakika wa upatikanaji wa maji hivyo ni eneo salama kwa uwekezaji.
”Kila mwekezaji ambaye alikuwa anataka kuja kuwekeza Chamwino kitu cha kwanza alikuwa akiulizia Maji akiambiwa hakuna anakata tamaa kwa sasa maji yamekuja wenye nia ya kuwekeza Chamwino Njooni Neema ya Maji imekuja Chamwino”amesisitiza Senyamule.

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Nadhifa Kemikimba,amesema kuwa wizara yake inaendelea na utekelezaji wa majuumu yake kwa mujibu wa katiba ya nchi, sheria,sera, miongozo pamoja na Ilani ya uchaguzi.

Mhandisi Kemikimba amesema kuwa mahitaji ya maji kwa siku katika jiji la Dodoma ni lita milioni 133.4 na uzalishaji ni lita milioni 67.8 kwa siku upungufu ni asilimia 54 na ongezeko la mahitaji linakuwa kila mwaka.

“Ili kukabili hali hii Duwasa wanaendeleza jitihada za kuboresha huduma za maji ikiwemo kuchimba visima katika eneo la Nzuguni vitakavyo hudumia eneo la Nzunguni,Swaswa na Ilazo”amesema Mhandisi Kemikimba

Naye Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Bw. Abdallah Hassan Mitawi , amesema  lengo la kuadhimisha miaka 59 ya muungano kwa kufanya shughuli mbalimbali za maendeleo ni kuurudisha kwa wananchi.

“Zamani tulikuwa tuadhimisha Muungano kwa kufanya sherehe za kitaifa lakini kitu ambacho tunakifanya leo ni kuurudisha Muungano kwa wananchi ambao ndiyo wamiliki”amesema Bw.Mitawi

Awali Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) Mhandisi Aron Joseph,akitoa taarifa fupi ya mradi huo amesema kuwa ujenzi wa tangi hilo umegharimu kiasi cha Sh.bilioni 1.12.

Amesema kuwa kukamilika kwa mradi huo kutasaidia kuondoa tatizo la maji katika wilaya ya Chamwino eneo ambalo ipo Ikulu ya Rais.

Hata hivyo amesema kuwa  mahitaji ya maji katika eneo hilo ni lita milioni 3.6 na uwezo wa kuzalisha maji kwa siku hivi sasa ni lita milioni 4.4 kwa siku hali inayofanya eneo hilo kuwa na ziada ya maji kwa zaidi ya miaka 30 ijayo.

“Kukamilika kwa mradi huu kumefanya asilimia 87 ya watu wa wilaya ya Chamwino kuwa na uhakika wa maji na umeongeza upatinaji wa maji kwa asilimia 55”amesema Mhandisi Joseph

Aidha amesema kuwa mradi huo ulikuwa umetengewa kiasi cha Sh. bilioni 2.5 lakini kutokana na kutumia mfumo wa Force Account kimetumika kiasi cha Sh. bilioni 1.12 na kuokoa asilimia 50 ya fedha hizo.

About the author

Alex Sonna