Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

agb99

Hacking forum

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

korsan taksi istanbul, istanbul korsan taksi

bets10

tipobet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

tarafbet

jojobet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis giriş

casibom

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

casibom giriş

jojobet giriş

sweet bonanza giriş

sweet bonanza

deneme bonusu

amgbahis

holiganbet

superbetin

casinoroyal

casinomilyon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet

pusulabet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giris

jojobet

jojobet

meritking

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

meritking

marsbahis güncel giriş

meritking güncel giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

cratosroyalbet

Hacklink panel

betpas

holiganbet

Google

jojobet

holiganbet

jojobet telegram

jojobet giris

ikimisli

ikimisli giriş

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis giriş

marsbahis

primebahis

tümbet

tümbet giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

pokerklas

pokerklas

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

betsmove

jojobet

ikimisli

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

betkolik

ikimisli giriş

marsbahis giriş

marsbahis giriş

ikimisli giriş

ikimisli

betkolik

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betkolik giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli

ikimisli giriş

marsbahis

betkolik

betkolik giriş

betkolik giriş

jojobet giriş

betkolik

ikimisli

marsbahis giriş

jojobet giriş

betkolik

marsbahis giriş

betkolik giriş

jojobet mobil

ikimisli giriş

betkolik giriş

nerobet

nerobet

aresbet, aresbet giriş

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

grandpashabet

enjoybet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet giriş

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

grandpashabet giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10 sorunsuz girişler

bets10 2026

extrabet giriş

romabet

turkey dental implants

mavibet

artemisbet

setrabet

jojobet

pulibet

süratbet

perabet

nerobet

mavibet güncel giriş

mavibet

mavibet giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

mavibet

mavibet giriş

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

artemisbet

artemisbet giriş

mavibet

Uncategorized

KAMA RIPOTI YA CAG NI NZURI, RAIS NI MZURI

Written by Alex Sonna
 
 
Na Mwandishi Wetu
 
MJADALA wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) unaoendelea baada ya kuwasilishwa kwake bungeni Dodoma wiki hii, umeacha nje jambo moja – nafasi na umuhimu wa Rais Samia Suluhu Hassan kwenye jambo hilo.
 
Ni rahisi kuelewa kwa nini macho na masikio ya wengi yataelekezwa kwenye taarifa kuhusu kinachoonekana kama matumizi mabaya na upotevu mkubwa wa mali ya umma yaliyomo kwenye ripoti hiyo. Mara nyingi taarifa ya CAG huumiza na kukera wengi. 
 
Wakati akipokea taarifa hiyo ya CAG wiki mbili zilizopita, Rais Samia hakutofautiana na wengi na – kwa kuonyesha namna alivyokerwa na yaliyomo, alitumia lugha kali ambayo Watanzania hawajazoea kumsikia akizungumza hadharani.
 
Lakini huo ni upande mmoja wa shilingi. Upande wa pili wa shilingi ni kwamba kama Rais Samia angetaka kuficha madudu yaliyomo serikalini kwake, angeweza kufanya hivyo kama ilivyo kwa viongozi wengine wa Kiafrika na duniani wasiopenda dhana ya uwajibikaji ndani ya serikali zao.
 
Katika dunia ya sasa, desturi kwa viongozi wakubwa wa dunia ni kuingia madarakani kihalali na kuanza kupambana na vyombo na taasisi zinazoweza kubana mamlaka ya watawala au kuibua uozo uliomo serikalini na kwenye maisha ya watawala.
 
Njia wanazotumia viongozi wengi ni kuviondolea uhalali vyombo na watu waliojitolea kupambana na uozo, kuvipunguzia bajeti ili visitimize majukumu yake na wakati mwingine kuvifuta kabisa.
 
Mdhibiti Mkuu kwenye Siasa za Tanzania
 
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) ni taasisi ambayo iko kikatiba. Hata hivyo, katika miaka walau 40 ya kwanza ya Uhuru, nafasi ya CAG (ambaye ndiye Mtendaji Mkuu wa NAOT), haikuwa na umaarufu wala ushawishi ilionao sasa.CAG wa kwanza Mzalendo, Mohamed Aboud, alidumu kwenye nafasi hiyo kuanzia mwaka 1969 hadi 1996. Alifuatiwa na Thomas Kiama aliyeanza mwaka 1996 hadi alipostaafu mwaka 2005.Ofisi hiyo ilianza kubadilika mwaka 2005 wakati alipoingia Ludovick Utouh. 
 
Ukizungumza na Watanzania wengi, utadhani kwamba Utouh ndiye alikuwa CAG wa kwanza hapa nchini. Hata hivyo, Utouh alikuwa vile alivyokuwa kwa sababu moja tu; Jakaya Kikwete.Rais Kikwete ndiye aliyeibadili ofisi ya NAOT kisheria na kimajukumu kufanya inachofanya sasa. 
 
Aliongeza bajeti kubwa iliyofanya ofisi hiyo kuongeza idadi ya wafanyakazi na utaalamu kiasi kwamba kufikia mwishoni mwa utawala wake, ofisi hiyo ilipewa kazi ya kukagua vitabu vya hesabu vya Umoja wa Mataifa (UN).
 
Isingewezekana kwa CAG Utouh kufanya yote aliyofanya bila Kikwete.
 
Kama Rais huyo wa nne wa Tanzania asingetaka, NAOT ingeweza tu kuendelea na shughuli zake kama ilivyozoea au kama ilivyo kwenye nchi nyingi za kiafrika ambako haina meno.
 
Kama kulikuwa na migogoro yoyote baina ya Utouh na Serikali ya Kikwete hatukuwahi kuisikia.
 
Tulichokuwa tunasikia ni kuwa bajeti ya CAG ilikuwa inaongezeka kila mwaka na majukumu ya kikaguzi kuongezeka ndani na nje ya nchi.
 
Alipoingia madarakani hayati Rais John Magufuli, kulikuwa na migongano ya wazi baina yake na Profesa Mussa Assad aliyechukua nafasi ya Utouh baada ya kustaafu kwake. 
 
Miaka mitatu tu baada ya kuingia madarakani, bajeti ya CAG ilikatwa kutoka shilingi bilioni 69.1 mpaka shilingi bilioni 61.4. 
 
Mafunzo zaidi kwa watumishi wa ofisi hiyo yakaanza kuadimika na mawanda ya ukaguzi yakapunguzwa. 
 
Hali ikawa mbaya kiasi kwamba ikafikia wakati Bunge likakataa kufanya kazi naye – pengine kwa maelekezo ya Mkuu wa Nchi na mwishowe Assad akaondolewa kwenye wadhifa huo kinyume cha taratibu. 
 
Kama kuna funzo moja la kudumu kwenye historia ya Tanzania ni kwamba uimara na uhuru wa CAG kwenye kutimiza majukumu yake unaendana moja kwa moja na Rais aliye madarakani. Kama Rais anataka ripoti ya CAG iwe imara na thabiti, ripoti ya CAG itakuwa imara na yenye weledi.
 
Rais Samia na CAG
 
Wakati Rais Samia anaingia madarakani mwaka 2021, nchi ilikuwa inapita katika kipindi kigumu kiuchumi kutokana na athari za ugonjwa wa Uviko-19 uliosababisha kuyumba kwa uchumi wa dunia.
 
Pamoja na hayo, miongoni mwa hatua za awali alizochukua – katika mazingira hayo magumu, ilikuwa ni kuongeza bajeti ya ofisi ya CAG kutoka shilingi bilioni 80 alizokuta hadi bilioni 80.9. 
 
Zaidi ya hapo, tangu siku yake ya kwanza madarakani, Rais amekuwa akitoa ujumbe wa mara kwa mara wa kutaka taasisi za uwajibikaji na zile za utoaji haki kutimiza majukumu yao waliyopewa kikatiba.
 
Kwa kufanya hivyo, alikuwa anamtia moyo CAG Charles Kicheere, kuwa anachotakiwa kufanya ni kutimiza wajibu wake. 
 
Kwa mara ya kwanza katika kipindi cha takribani miaka minne iliyopita, CAG aliruhusiwa kufanya ukaguzi katika maeneo kama ya manunuzi ya ndege za serikali ambayo yalikuwa ‘kaa la moto’ kuyajadili wakati wa zama za mtangulizi wake.
 
Kwa sababu ya kuwepo kwa uhuru wa kutosha wa wanasiasa, wanaharakati, wabunge na waandishi wa habari, ina maana ripoti ya CAG ya safari hii itakuwa na mwangwi mkubwa pengine kuliko ilivyokuwa miaka michache nyuma.
 
Lakini Watanzania sasa wanajua kwamba haya yote ni matunda ya utawala wa Rais Samia. 
 
Kama angeamua kufuata nyayo za mtangulizi wake, tungesikia na kujadili yale tu ambayo watawala wangetaka tuyasikie na kuyajadili. 
 
Kama tunasikia vitendo vya ubadhirifu na ufisadi, maana yake ni kwamba Rais Samia anataka kujua wapi panapovuja ili hatua zichukuliwe. 
 
Hata hivyo, ni hatari sana kumlazimisha Rais aanze kuchukua hatua tu kwa sababu amekerwa na alichokisoma na kuambiwa.
 
Ili tusirudi tulikotoka na kumfanya Rais abaki kuvipa nguvu vyombo vyake, ni muhimu mchakato na taratibu za kihasibu na kisheria kufuatwa ili kwamba kama mtu atakutwa na hatia, aadhibiwe baada ya kukamilika kwa mchakato wa uchunguzi.
 
Wale wote wanaotaka Rais achukue hatua za papo kwa papo sasa hivi bila ya uchunguzi wa makini kwa sababu ya ripoti hii, hawaitakii mema nchi yetu.
 
Tunataka Rais ambaye anachukua hatua kwa kufuata katiba, sheria, kanuni na utaratibu (due process) baada ya uchunguzi kukamilika na hakuna anayeonewa. 
 
Wafanyakazi wa NAOT ni wanadamu na hivyo wanaweza kukosea hapa na pale.
 
Kama tunataka Rais wetu apate kile anachokitaka kutoka kwenye ripoti hizi na sisi wananchi tuendelee kuwa salama kwa sababu ya kuwa na Mkuu wa Nchi anayependa kufuatwa kwa taratibu zote, ni muhimu kuacha michakato iende mpaka mwisho.
 
Lakini katika yote, tusisahau jambo moja katika mijadala yetu, kwamba kama tumefurahi kuwa ripoti ya CAG imeshiba taarifa na inatoa picha halisi ya mahali tulipo kwenye uwajibikaji wa mali ya umma, tujue kwamba kuna mkono wa Rais Samia Suluhu Hassan kwenye hilo. 
 
Historia inatuonesha kuwa asili ya ripoti ya CAG ni kufichua madudu. Kwa vile watumishi wa umma ni wanadamu, jambo hilo halitabadilika. Kitakachobadilika ni Rais.
 
Kwa sababu hiyo, ni muhimu kutambua bahati tuliyonayo sasa ya kuwa na Rais anayetaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali atimize majukumu yake,.
 

About the author

Alex Sonna