slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

hardcore porn

escort sapanca

holiganbet

jojobet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

holiganbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

pusulabet

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betmoney

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

parobet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

betmoney giriş

jojobet

celtabet

bets10

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

kumar siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

otobet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

elexbet

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

betmoney

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

nesinecasino

cashwin

tambet

betexper

cashwin

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

betexper

Hacklink panel

jojobet yeni adres

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

herabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

galabet

galabet

ilbet

ilbet giriş

pusulabet

nakitbahis

marsbahis

marsbahis

Featured Kitaifa

NBC,BRITAM WAENDESHA MAFUNZO KUWANOA MAWAKALA UTOAJI HUDUMA ZA BIMA

Written by Alex Sonna

 

Mkurugenzi wa Wateja binafsi wa Benki ya NBC, Elibariki Masuke (kushoto) akizungumza na washiriki wa mafunzo maalum kwa mawakala wa benki hiyo wa mkoa wa Mwanza yanayolenga kuwajengea uwezo mawakala  hao ili waweze kutoa huduma za Bima. Mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa ushirikiano baina ya benki hiyo na Kampuni ya Bima ya Britam Tanzania kupitia Chuo cha Usimamizi wa Bima na Hifadhi ya Jamii Africa (ACISP)  yalizinduliwa jana katika mikoa ya Mwanza na Arusha.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya  Bima ya Britam Tanzania Bw Raymond Komanga (kulia) akizungumza na washiriki wa mafunzo maalum kwa mawakala wa benki  ya NBC wa mkoa wa Mwanza yanayolenga kuwajengea uwezo mawakala  hao ili waweze kutoa huduma za Bima. Mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa ushirikiano baina ya benki hiyo na Kampuni ya Bima ya Britam Tanzania kupitia Chuo cha Usimamizi wa Bima na Hifadhi ya Jamii Africa (ACISP) yalizinduliwa jana katika mikoa ya Mwanza na Arusha.

Mkurugenzi wa Usimamizi Mamlaka ya Bima Tanzania (TIRA) Bw Abubakar Ndwata (aliesimama kushoto) akizungumza na washiriki wa mafunzo maalum kwa mawakala wa benki  ya NBC wa mkoa wa Arusha yanayolenga kuwajengea uwezo mawakala  hao ili waweze kutoa huduma za Bima. Mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa ushirikiano baina ya benki hiyo na Kampuni ya Bima ya Britam Tanzania kupitia Chuo cha Usimamizi wa Bima na Hifadhi ya Jamii Africa ( ACISP) jana katika mikoa ya Mwanza na Arusha.

Mtaalamu wa masuala ya Bima kutoka Chuo cha Usimamizi wa Bima na Hifadhi ya Jamii cha Africa (ACISP) Godfrey Mzee (kushoto) akizungumza na washiriki wa mafunzo maalum kwa mawakala wa benki  ya NBC wa mkoa wa Mwanza yanayolenga kuwajengea uwezo mawakala  hao ili waweze kutoa huduma za Bima. Mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa ushirikiano baina ya benki hiyo na Kampuni ya Bima ya Britam Tanzania kupitia Chuo cha Usimamizi wa Bima na Hifadhi ya Jamii Africa (ACISP) yalizinduliwa jana katika mikoa ya Mwanza na Arusha.

Mkuu wa Kitengo cha Bima wa NBC, Benjamin Nkaka  (kulia) akizungumza na washiriki wa mafunzo maalum kwa mawakala wa benki hiyo wa mkoa wa Arusha yanayolenga kuwajengea uwezo mawakala  hao ili waweze kutoa huduma za Bima. Mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa ushirikiano baina ya benki hiyo na Kampuni ya Bima ya Britam Tanzania kupitia Chuo cha Usimamizi wa Bima na Hifadhi ya Jamii Africa yalizinduliwa jana katika mikoa ya Mwanza na Arusha.

Ofisa Uendeshaji Mkuu wa Kampuni ya  Bima ya Britam Tanzania Bw Gilliard Mardai (aliesimama katikati) akizungumza na washiriki wa mafunzo maalum kwa mawakala wa benki  ya NBC wa mkoa wa Arusha yanayolenga kuwajengea uwezo mawakala  hao ili waweze kutoa huduma za Bima. Mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa ushirikiano baina ya benki hiyo na Kampuni ya Bima ya Britam Tanzania kupitia Chuo cha Usimamizi wa Bima na Hifadhi ya Jamii Africa yalizinduliwa jana katika mikoa ya Mwanza na Arusha.

Mwenyekiti Mtendaji Chuo cha Usimamizi wa Bima na Hifadhi ya Jamii cha Africa (ACISP) Bw Sosthenes Kewe (wa pili kulia) akizungumza na washiriki wa mafunzo maalum kwa mawakala wa benki  ya NBC wa mkoa wa Arusha yanayolenga kuwajengea uwezo mawakala  hao ili waweze kutoa huduma za Bima. Mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa ushirikiano baina ya benki hiyo na Kampuni ya Bima ya Britam Tanzania kupitia Chuo hicho  yalizinduliwa jana katika mikoa ya Mwanza na Arusha.


Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo ambao ni mawakala wa Benki ya NBC mikoa ya Mwanza na Arusha wakifuatilia mafunzo hayo yaliyozinduliwa jana mikoa ya Mwanza na Arusha.

Mkurugenzi wa Wateja binafsi wa Benki ya NBC, Bw Elibariki Masuke (katikati walioketi) Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya  Bima ya Britam Tanzania Bw Leonard Komanga (Kulia) na Mtaalamu wa masuala ya Bima kutoka Chuo cha Usimamizi wa Bima na Hifadhi ya Jamii Bw Godfrey Mzee (kushoto) wakiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo maalum kwa mawakala wa benki hiyo wa mkoa wa Mwanza yanayolenga kuwajengea uwezo mawakala  hao ili waweze kutoa huduma za Bima. Mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa ushirikiano baina ya benki hiyo na Kampuni ya Bima ya Britam Tanzania kupitia Chuo cha Usimamizi wa Bima na Hifadhi ya Jamii cha Africa yalizinduliwa jana katika mikoa ya Mwanza na Arusha.

Mkurugenzi wa Usimamizi Mamlaka ya Bima Tanzania (TIRA) Bw Abubakar Ndwata (katikati walioketi) akiwa kwenye picha ya pamoja na maofisa waandamizi kutoka Benki ya NBC, Kampuni ya Bima ya Britam Tanzania, cha Usimamizi wa Bima na Hifadhi ya Jamii cha Africa pamoja na washiriki wa mafunzo maalum kwa mawakala wa benki hiyo wa mkoa wa Arusha yanayolenga kuwajengea uwezo mawakala  hao ili waweze kutoa huduma za Bima. Mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa ushirikiano baina ya benki hiyo na Kampuni ya Bima ya Britam Tanzania kupitia Chuo cha Usimamizi wa Bima na Hifadhi ya Jamii Africa yalizinduliwa jana katika mikoa ya Mwanza na Arusha.

Na.Mwandishi Wetu-Mwanza na Arusha

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Kampuni ya Bima ya Britam Tanzania wamezindua mafunzo maalum kwa mawakala wa benki hiyo mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kanda ya Kaskazini yanayolenga kuwajengea uwezo mawakala hao ili waweze kutoa huduma za Bima.

Mafunzo hayo ya wiki moja yanaendelea katika mikoa ya Mwanza na Arusha yakiendeshwa kupitia Chuo cha Usimamizi wa Bima na Hifadhi ya Jamii Afrika (ACISP)

Wakizungumzia hatua hiyo Mkurugenzi wa Wateja binafsi wa Benki ya NBC, Bw Elibariki Masuke pamoja na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Britam Tanzania Bw Raymond Komanga walisema mafunzo hayo yanalenga kupanua wigo wa utoaji wa huduma za bima nchini kutokana na ukubwa wa mtandao wa makala wa benki hiyo kote nchini.

“Kupitia mafunzo haya tunakwenda kuongeza wigo wa watoa huduma za Bima nchini hasa kwa kuzingatia kwamba NBC tayari tuna mtandao wa mawakala 10,000 kote nchini ambao kupitia mafunzo haya watajengewa uwezo na kupatiwa vigezo vitakavyo wawezesha kutoa huduma za Bima pia.’’

“Ni fursa kwa mawakala wetu kuongeza kipato kwa kuwa sasa hawatafanya tu miamala ya kibenki bali pia wataanza kufanya miamala ya kibima na na hivyo kujiongezea kipato kupitia ‘kamisheni’,’’ alisema Bw Masuke.

Kwa mujibu wa Bw Masuke hatua hiyo ni muendelezo wa mkakati wa benki hiyo katika kusogeza zaidi huduma zake karibu na wananchi ikiwa ni muitikio wa wito wa serikali unaohamasisha taasisi za fedha nchini kusogeza zaidi huduma zao ili ziweze kuwafikia wananchi wengi zaidi.

“Kama ambavyo tumeweza kusogeza huduma zetu za kibenki kupitia mawakala hawa lengo letu pia ni kuona huduma za kibima tunazozitoa kwa kushirikiana na kampuni mbalimbali za Bima ikiwemo Britam Tanzania zinaweza kuwafikia wananchi kwa ukaribu zaidi pia,’’ aliongeza.

Kwa upande wake Komanga alisema mafunzo hayo yanayodhaminiwa na kampuni hiyo yamekuja kufuatia muitikio mzuri wa soko la huduma za Bima hapa nchini licha ya uhaba wa mawakala na madalali wa bima nchini.

“Licha uhaba huo, mwaka jana soko la Bima liliweza kukusanya ada za Bima (Premiums) kiasi cha Sh Trilioni 1.1 kupitia mawakala na madalali wa Bima waliopo sasa. Kufuatia mafanikio haya tukaona ni wakati muafaka sasa kupanua wigo zaidi wa kuwafikia wateja wetu nchi nzima kupitia mawakala wa wenzetu Benki ya NBC waliopo nchi nzima. Kupitia mafunzo haya tunatarajia matokeo mazuri zaidi kwa kuwa idadi ya mawakala wa bima inaenda kuwa kubwa zaidi,’’ alisema.

Kwa mujibu wa Bw Komanga mafunzo hayo ya wiki moja kwa Kanda ya Ziwa yatahusisha mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Geita, Simiyu, Mara na Kagera huku katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini yakihusisha mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.

Akizungumzia mafunzo hayo Mwenyekiti Mtendaji Chuo cha Usimamizi wa Bima na Hifadhi ya Jamii cha Africa Bw Sosthenes Kewe alisema yanalenga kuwawezesha mawakala hao waweze kupata vigezo vya awali vitakavyowawezesha kutoa huduma za Bima kulingana na vigezo vilivyowekwa na Mamlaka ya Bima Tanzania (TIRA).

“Tunatarajia kwamba baada ya mafunzo haya washiriki wote watapata nafasi ya kufanya mitihani ya kuhitimu na vyeti vitatolewa kwa wale tu watakaofaulu mitihani hiyo,’’ alinainisha

About the author

Alex Sonna