Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

vdcasino

lordcasino

marsbahis

vipslot

celtabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

betlivo

eyfelcasino

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

casival

luxbet

betnis

parmabet

betvoy

marsbahis

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

armabahis

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

betlivo

hazbet

netbahis

betra

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

robinbet giriş

casibom giriş

holiganbet

bets10

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

starzbet

jojobet

betmarino

avrupabet

lordcasino giriş

dengebet

celtabet

betcool

kareasbet

betcool

millibahis

betnis giriş

casival

betvoy

hazbet

betnef

avrupabet

betmarino giriş

betmani

betvakti

marsbahis

prensbet

betmani

millibahis

eyfelcasino

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

gobahis

betnef

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

armabahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

grandpashabet

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

pusulabet

sweet bonanza

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

betvakti

parmabet

gobahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

mislibet giriş

cratosroyalbet

mislibet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

jojobet

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

Featured Kitaifa

HATI ZA HAKIMILKI ZA KIMILA 70,000 KUTOLEWA TANGANYIKA

Written by Alex Sonna

 

Meneja Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi kwa upande wa Vijiji Bw. Osena Joseph akiwa pamoja na Mtaalam kutoka Benki ya Dunia Bw. Camille Bourguignon walipokuwa wanatembelea baadhi ya vijiji ambavyo vitanufaika na mradi huo katika Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi.

Wataalam kutoka Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi pamoja na wataalam kutoka Benki ya Dunia wakiwa kwenye picha ya pamoja na Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Katavi wakati walipokuwa katika ziara ya kutembelea maeneo ya mradi katika Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi.

Na. Magreth Lyimo, WANMM

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Mradi wa Kuboresha Usalama wa Milki za Ardhi imejipanga kutoa hati za hakimilki za kimila 70,000 kwa wananchi katika Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi ambapo katika awamu ya kwanza ifikapo Juni 2023 hati za hakimiliki za kimila takriban 20,000 zitakuwa zimetolewa.

Hayo yalisemwa na Mratibu wa Mradi huo Bw. Joseph Shewiyo wakati timu ya wataalam kutoka Benki ya Dunia pamoja na timu ya wataalam wa Mradi ilipotembelea Vijiji vya Ikaka na Kamsanga vilivyopo katika Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi tarehe 03/04/2023 kwa lengo la kujionea maeneo ambayo mradi huo utatekelezwa kwa upande wa Vijijini.

Bw Shewiyo alisema ‘‘Wilaya ya Tanganyika itaanza moja kwa moja na zoezi la utoaji hati za hakimilki za kimila kwa kuwa tayari Wilaya hiyo ina Mpango wa Matumizi ya ardhi ya Wilaya ambapo jumla ya Vijiji 29 katika Wilaya hiyo vina Mipango ya Matumizi ya ardhi ya Vijiji na vyeti vya ardhi vya vijiji’’.  

Mratibu wa Mradi huo alifafanua kuwa katika wilaya hiyo hatua itakayofuata ni kutoa elimu kwa wananchi katika vijiji hivyo ili kuwa na uelewa wa pamoja wa namna zoezi hilo litakavyokuwa shirikishi kuanzia hatua ya upimaji hadi ugawaji wa hati hizo.

Katika ziara hiyo Meneja mradi upande wa Vijijini Bw. Osena Joseph alisema kuwa mradi umejikita kutoa jumla ya hati za hakimilki za kimila 500,000 katika wilaya saba ambapo alifafanua kuwa mpaka sasa wilaya sita ambazo ni Mbinga, Songwe, Chamwino, Maswa, Mufindi, Longido zinakamilisha uandaaji wa Mpango wa Matumizi ya ardhi ya Wilaya.

Aidha Bw. Osena amewaomba Wananchi katika Wilaya ya Tanganyika kutoa ushirikiano kwa wataalam watakaokuwa wanatekeleza mradi huo ili zoezi hilo liweze kwenda kwa haraka na kwa ufanisi mkubwa na kuwashauri kumaliza migogoro ya mipaka ya maeneo yao mapema ili wataalamu watakapofika katika maeneo yao wawe na kazi nyepesi ya kutambua mipaka na kuwapimia ili wapate Hati zao ndani ya muda uliopangwa.

Kwa upande wake Bw. Martin Msungwi ambae ni mkazi wa Kijiji cha Ikaka amesema kuwa wanamshukuru Mungu pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu kwa kuwapelekea mradi huo kwani taratibu za kupimiwa na kupata Hati zilikua ndefu na ngumu ila mradi huo umewafuata mpaka Vijijini hivyo wapo tayari kutoa ushirikiano muda wowote utekelezaji utakapoanza.

Nae Mwenyekiti wa Kamati ya Usimamizi ya Matumizi ya Ardhi ya Vijiji kutoka Kijiji cha Kamsanga Bi. Edina Kadyege amesema kuwa ujio wa mradi huo ni ukombozi kwao kwani hapo awali walikua wanashindwa kukopesheka au kuwekeana dhamana kutokana na kutokua na Hati lakini wanaamini baada ya utekelezaji wa mradi huo watakua wanamiliki maeneo yao kisheria ambapo itawawezesha kufanya shuguli za kimaendeleo na ulinzi wa kudumu wa maeneo yao.

Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi ni mradi unaotekelezwa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa muda wa miaka mitano (2022/2027) ukiwa na lengo la kuboresha usalama wa milki za ardhi nchini lakini pia kuzingatia haki za umiliki wa ardhi kwa makundi maalum kama vile wafugaji na wakulima, wanawake, vijana, walemavu, wazee na watoto.

About the author

Alex Sonna