Featured Kitaifa

RAIS DKT.SAMIA ATETA NA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKALA MISAADA YA KIBINADAMU LA KATOLIKI MAREKANI

Written by mzalendoeditor

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Misaada ya Kibinadamu la Katoliki la Marekani (Catholic Relief Services)  Bw. Sean Callahan aliyeambatana na ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Misaada ya Kibinadamu la Katoliki la Marekani (Catholic Relief Services)   Bw. Sean Callahan pamoja na Katibu wa Baraza la Maaskofu Tanzania TEC Padri Charles Kitima mara baada ya mazungumzo Ikulu Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Misaada ya Kibinadamu la Katoliki la Marekani (Catholic Relief Services)   Bw. Sean Callahan pamoja na ujumbe wake mara baada ya mazungumzo Ikulu Jijini Dar es Salaam

About the author

mzalendoeditor