marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

Featured Kitaifa

KATIBU MKUU MAHIMBALI AKABIDHI UENYEKITI WA KAMATI NCHI ZINAZOZALISHA ALMASI AFRIKA

Written by Alex Sonna

 

Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali amekabidhi rasmi Uenyekiti wa Kamati ya Wataalam wa Nchi Zinazozalisha Almasi Afrika (ADPA) kwa Katibu Mkuu Wizara ya Madini na Maendeleo ya Migodi wa Jamhuri ya Zimbabwe Pfungwa Kunaka katika kikao cha wataalam kilichofanyika Machi 22, 2023 Victoria Falls, nchini Zimbabwe.

Akizungumza katika kikao hicho, Mahimbali amesema kwamba, licha ya kuwepo mafanikio kadhaa, bado sekta ya almasi inakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo kubadilika mara kwa mara kwa bei ya almasi, ushindani kutoka kwa almasi inayozalishwa maabara na kuendelea kwa tishio la uchimbaji haramu wa madini na magendo na kueleza kuwa, anayo imani kuwa chini ya uongozi wa mrithi wa nafasi hiyo, umoja huo ataendelea kuondokana na vikwazo na hivyo kustawi.

”Hatuna budi kuendelea kuimarisha uhusiano wetu na washirika wetu wa kimataifa, kuongeza uwazi na uwajibikaji, na kutekeleza hatua za kupambana na biashara haramu ya almasi na kuboresha maisha ya wachimbaji wetu na familia zao” amesisitiza Mahimbali.

Akizungumzia nafasi ya Tanzania kama mwenyekiti anayemaliza muda wake amesema kuwa, imekuwa heshima kubwa kwa Tanzania kushika nafasi hiyo na wakati ikimaliza muda wake yapo mafanikio kadhaa yaliyofikiwa na kueleza kuwa endapo yatadumishwa, yatauweka umoja huo katika sehemu nzuri kwenye sekta ya almasi duniani.

Ameongeza kuwa, katika kipindi hicho Tanzania ikiwa mwenyekiti kwa ushirikiano wa nchi wanachama, iliwezesha mchakato wa mageuzi ambao umewezesha kufanyika kwa marekebisho ya Katiba ya umoja huo na Kanuni za Ndani za Sekretarieti ya Utendaji ya ADPA ambazo zimewezesha kuajiri rasilimali watu na kufanya uteuzi wa maafisa wanaofaa ambao watasimamia umoja huo kwa kipindi cha miaka minne ijayo baada ya mikutano kadhaa ya mchakato wa kuwapata maafisa hao.

Pia, ametumia fursa hiyo kuwashukuru nchi wanachama wote kwa kuunga mkono na kujitolea katika dhamira ya kuuimarisha umoja wa ADPA na kueleza kuwa, bidii na kujitolea, shauku ya wanachama na Sekretarieti imekuwa chachu ya mafanikio ya umoja huo ambayo kwa njia tofauti imepelekea kuwepo kwa mabadiliko katika maisha ya mamilioni kote Afrika.

Kwa kutambua mchango wa mtangulizi wake Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Adolf Ndunguru,7 aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Mahimbali amemshukuru kwa kuongoza Kamati ya wataalam wa ADPA katika kipindi ambacho Tanzania imekuwa mwenyekiti na kueleza,’’ wakati Tanzania ikiachia madaraka kwenye nafasi ya uenyekiti, natarajia kuendelea kuunga mkono umoja huu na kazi yake muhimu. Nina hakika kwamba mustakabali wetu utakuwa thabiti, na ninawatakia kila la heri katika majadiliano ya leo juu ya ajenda zilizo mbele yetu”.

Kwa upande wake, Katibu Mkuu Wizara ya Madini na Maendeleo ya Migodi Zimbabwe Pfungwa Kunaka akipokea uenyekiti amesema amefurahishwa na hotuba ya Katibu Mkuu Mahimbali na kuahidi kuendeleza pale Tanzania ilipoishia.

“Tutaendelea kuwa wamoja ili kufanikiwa katika umoja wetu. Tunaendelea kutambua uhusiano wetu kupitia Mawaziri wetu kwa kuendelea kufuata miongozo ya Serikali zetu,’’ amesema.

Baada ya kikao cha wataalam, kitafuatiwa na kikao cha Baraza la Mawaziri Machi 23, 2023 ambapo taarifa mbalimbali zitajadiliwa na kutolewa maamuzi.

ADPA inajumuisha nchi 18 ambapo kati yake 12 ni wanachama wanaozalisha almasi na sita ni waangalizi ambao nchi zao kijiolojia zina uwezo wa kuzalisha almasi na mwisho zinaweza kuwa wazalishaji wa almasi siku za karibuni.

Nchi wanachama wanaounda umoja huo ni Angola, Botswana, Cameroon, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Ghana, Guinea, Namibia, Sierra Leone, Afrika Kusini, Tanzania, Togo na Zimbabwe na nchi waangalizi ni Algeria, Jamhuri ya Kongo (Brazaville), Gabon, Ivory Coast, Liberia, Mali na Mauritania. kilichofanyika Machi 22, 2023 Victoria Falls, nchini Zimbabwe.

Akizungumza katika kikao hicho, Mahimbali amesema kwamba, licha ya kuwepo mafanikio kadhaa, bado sekta ya almasi inakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo kubadilika mara kwa mara kwa bei ya almasi, ushindani kutoka kwa almasi inayozalishwa maabara na kuendelea kwa tishio la uchimbaji haramu wa madini na magendo na kueleza kuwa, anayo imani kuwa chini ya uongozi wa mrithi wa nafasi hiyo, umoja huo ataendelea kuondokana na vikwazo na hivyo kustawi.

”Hatuna budi kuendelea kuimarisha uhusiano wetu na washirika wetu wa kimataifa, kuongeza uwazi na uwajibikaji, na kutekeleza hatua za kupambana na biashara haramu ya almasi na kuboresha maisha ya wachimbaji wetu na familia zao” amesisitiza Mahimbali.

Akizungumzia nafasi ya Tanzania kama mwenyekiti anayemaliza muda wake amesema kuwa, imekuwa heshima kubwa kwa Tanzania kushika nafasi hiyo na wakati ikimaliza muda wake yapo mafanikio kadhaa yaliyofikiwa na kueleza kuwa endapo yatadumishwa, yatauweka umoja huo katika sehemu nzuri kwenye sekta ya almasi duniani.

Ameongeza kuwa, katika kipindi hicho Tanzania ikiwa mwenyekiti kwa ushirikiano wa nchi wanachama, iliwezesha mchakato wa mageuzi ambao umewezesha kufanyika kwa marekebisho ya Katiba ya umoja huo na Kanuni za Ndani za Sekretarieti ya Utendaji ya ADPA ambazo zimewezesha kuajiri rasilimali watu na kufanya uteuzi wa maafisa wanaofaa ambao watasimamia umoja huo kwa kipindi cha miaka minne ijayo baada ya mikutano kadhaa ya mchakato wa kuwapata maafisa hao.

Pia, ametumia fursa hiyo kuwashukuru nchi wanachama wote kwa kuunga mkono na kujitolea katika dhamira ya kuuimarisha umoja wa ADPA na kueleza kuwa, bidii na kujitolea, shauku ya wanachama na Sekretarieti imekuwa chachu ya mafanikio ya umoja huo ambayo kwa njia tofauti imepelekea kuwepo kwa mabadiliko katika maisha ya mamilioni kote Afrika.

Kwa kutambua mchango wa mtangulizi wake Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Adolf Ndunguru, aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Mahimbali amemshukuru kwa kuongoza Kamati ya wataalam wa ADPA katika kipindi ambacho Tanzania imekuwa mwenyekiti na kueleza,’’ wakati Tanzania ikiachia madaraka kwenye nafasi ya uenyekiti, natarajia kuendelea kuunga mkono umoja huu na kazi yake muhimu. Nina hakika kwamba mustakabali wetu utakuwa thabiti, na ninawatakia kila la heri katika majadiliano ya leo juu ya ajenda zilizo mbele yetu”.

Kwa upande wake, Katibu Mkuu Wizara ya Madini na Maendeleo ya Migodi Zimbabwe Pfungwa Kunaka akipokea uenyekiti amesema amefurahishwa na hotuba ya Katibu Mkuu Mahimbali na kuahidi kuendeleza pale Tanzania ilipoishia.

“Tutaendelea kuwa wamoja ili kufanikiwa katika umoja wetu. Tunaendelea kutambua uhusiano wetu kupitia Mawaziri wetu kwa kuendelea kufuata miongozo ya Serikali zetu,’’ amesema.

Baada ya kikao cha wataalam, kitafuatiwa na kikao cha Baraza la Mawaziri Machi 23, 2023 ambapo taarifa mbalimbali zitajadiliwa na kutolewa maamuzi.

ADPA inajumuisha nchi 18 ambapo kati yake 12 ni wanachama wanaozalisha almasi na sita ni waangalizi ambao nchi zao kijiolojia zina uwezo wa kuzalisha almasi na mwisho zinaweza kuwa wazalishaji wa almasi siku za karibuni.

Nchi wanachama wanaounda umoja huo ni Angola, Botswana, Cameroon, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Ghana, Guinea, Namibia, Sierra Leone, Afrika Kusini, Tanzania, Togo na Zimbabwe na nchi waangalizi ni Algeria, Jamhuri ya Kongo (Brazaville), Gabon, Ivory Coast, Liberia, Mali na Mauritania.

About the author

Alex Sonna