Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

meritking

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

meritbet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

VITENDO VYA UVUNJIFU MAADILI PAMOJA NA WAUGUZI NA WAKUNGA VISHOKA BADO KIKWAZO SEKTA YA AFYA NCHINI

Written by Alex Sonna

 

Wauguzi na Wakunga wakila kiapo wakati wa mahafali ya saba na utoaji wa vyeti vya usajili na leseni kwa wauguzi na wakunga zaidi ya 1,000 waliofanya vizuri kwenye mitihani iliyoandaliwa na Baraza la Uuguzi na Ukunga (TNMC) jana jijini Dodoma.

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga nchini (TNMC) Agnes Mtawa mwenye suti nyeusi pamoja na Mwenyekiti wa baraza hilo Prof. Lilian Mselle, wakiwasha mshumaa jana jijini Dodoma wakati wa mahafali ya saba na utoaji wa vyeti vya usajili na leseni kwa wauuguzi na wakunga ikiwa ni tendo la kuashiria upendo kwa wagonjwa wanao wahudumia.

PICHA PAUL MABEJA

Na Paul Mabeja,DODOMA

MSAJILI wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) Agnes Mtawa, amesema vitendo vya uvunjifu wa maadili, pamoja na wauguzi na wakunga vishoka ambao wamekuwa wakijiingiza katika taaluma hiyo bado ni kikwazo katika sekta ya afya nchini.

Mtawa, alibainisha hayo jana jijini Dodoma, wakati wa mahafali ya saba na utoaji wa vyeti vya usajili na leseni kwa wauguzi na wakunga zaidi ya 1,000 waliofanya vizuri kwenye mitihani iliyoandaliwa na TNMC.

“Pamoja na mafaniko tuliyoyapa lakini bado zipo changamoto mbalimbali ikiwemi vitendo vya uvunjifu wa maadili kwa wauguzi na wakunga, lakini pia lipo tatizo la watu ambao siyo wanataaluma kuingilia taaluma yetu”alisema

Aidha, alisema wauguzi na wakunga wanapaswa kuzingatia maadili ili kuondoa malalamiko ambayo yamekuwa yakijitokeza katika maeneo mbalimbali ili kuisaidia serikali kupunguza vifo vya mama na mtoto.

“Sisi tutaendelea kuchukua hatua kwa muuguzi au mkunga yeyote ambaye atabainika kuwa amekiuka maadili kwa kumfuta kwenye usajili wetu”alisema

Vile vile, alisema tangu mwaka 2016 wauguzi na wakunga 50 walibainika kuvunja maadili ya utumishi wa umma ambapo kati yao wanne walifutiwa usajili wao na kupokonywa leseni na wengine kupewa kalipio kali.

Pia, alisema pamoja na kero hiyo ya ukiukajai wa maadili ya kada hiyo lakini bado ipo kero ya wauuguzi na wakunga vishoka ambao siyo wanataaluma.

“Bado wapo wananchi ambao wanajifanya wanataaluma hii na kutoa huduma bila ya kuwa na vigezo hili ni kosa la jinai ambao tumekuwa tukiwabaini tumewachuklia hatua za kuwapeleka mahakamani na wengine tayari wameshafungwa vifungo mbalimbali”alisisitiza Mtawa

Kadhalika, alisema ili kukabilina na kero hiyo Baraza limeandaa mfumo ambao limewapatia waajiri ili waweze kuhakiki usajili ya wauguzi na wakunga.

“Mfumo huu unaouwezo wa kubaini muuguzi au mkunga aliyesajiliwa na asiye sajiliwa hivyo nitoe wito kwa waajiri kufanya uhakiki kupitia mfumo huu mara kwa mara ili kukabili changamoto ya watu wasio wanataaluma kujipenyeza”alisema

Alisema hadi sasa waunguzi na wakunga waliosajiliwa nchini ni 55,000 lakini wenye leseni zilizo hai ni 42,000 ambao wanatoa huduma katika vituo mbalimbali vya serikali na binafsi.

Muuguzi mkuu wa serikali, Ziada Sellah aliwataka wauuguzi na wakunga kuacha tabia ya kuchangia maeneo ya kwenda kufanya kazi.

Alisema wanapaswa kufahamu kuwa watu wenye mahitaji wapo nchi nzima hivyo hawanabudi kuchagua maeneo ya mijini kwenda kufanya kazi.

Mwenyekiti wa Baraza hilo, Prof. Lilian Mselle alisema wataendelea kuchukua hatu kwa mtumishi yeyote ambaye ataoneka kuitia doa taaluma hiyo kwa kufanya vitendo vya uvunjifu wa maadili.

About the author

Alex Sonna