Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

KAMATI YA BUNGE YAFURAHISHWA NA UKUAJI WA KASI KAMPASI YA KISANGARA

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima akieleza utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ya Taasisi ya Ustawi wa Jamii Kampasi ya kisangara mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Ustawi na Maendeleo ya Jamii, ilipofanya ziara kwenye Kampasi hiyo iliyopo Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.Dkt Gwajima akijadiliana jambo na Mwenyekiti na wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya huduma za Ustawi na Maendeleo ya Jamii wakati kamati hiyo ilipotembelea Taasisi ya Ustawi wa Jamii Kampasi Kisangara, Mkoani Kilimanjaro

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Ustawi na Maendeleo ya Jamii Bi Fatma Tawfiq akizungumza wakati ziara ya kamati hiyo katika Taasisi ya Ustawi wa Jamii, Kampasi ya Kisangara, mkoani Kilimanjaro kwa lengo la kukagua miradi ya Maendeleo

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Dkt John Jingu akizungumza wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Ustawi na Maendeleo ya Jamii ya kukagua Miradi ya Maendeleo katika Taasisi ya Ustawi wa Jamii Kampasi ya Kisangar, Mkoani Kilimanjaro

Viongozi na wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya huduma za Ustawi na Maendeleo ya Jamii wakiwasili katika Taasisi ya Ustawi wa Jamii, kampasi ya kisangara, Machi 16, 2023 Mkoani Kilimanjaro.

Na Abdu Madenge-MJJWM, KILIMANJARO

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma za Ustawi na Maendeleo ya jamii imefurahishwa na ukuaji wa kasi wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Kampasi ya Kisangara, wilayani Mwanga, Mkoa wa Kilimanjaro.

Hali hiyo imebainika kufuatia Ziara ya Kamati hiyo yenye lengo la kujionea utekelezaji wa Majukumu na Miradi ya Maendeleo katika Taasisi ya Ustawi wa Jamii Kampasi ya Kisangara, Machi 16, 2023.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe Fatma Tawfiq pamoja na mambo mengine amesema Kamati itaendelea kuishawishi Serikali kutenga fedha kwa ajili ya Taasisi hiyo ili kuchochea Morali na kasi ya ukuaji wake ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa udahili kwa asilimia 300.

“Nikipongeze sana chuo hiki kwa jitihada nzuri na kubwa mnazofanya, hasa suala la kuongeza udahili wa wanafunzi kutoka 56 mwaka 2016/17 hadi wanafunzi 245 mwaka 2022/23,” amesema Mhe. Fatma Towfiq.

Mwenyekiti Tawfiq ametumia fursa hiyo kuushauri uongozi wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii kuhakikisha wanapata Hati ya umiliki wa eneo la Kampasi hiyo kwa kushirikiana na Uongozi wa eneo husika ili kuepuka uvamizi.

Aidha Mhe. Tawfiq ameitaka Taasisi ya Ustawi wa Jamii Kampasi ya Kisangara kuweka Mkakati wa kutumia Mapato ya ndani kwa kujenga nyumba za wahadhiri na watumishi wa Taasisi hiyo.

Awali akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ya Taasisi hiyo, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt.Dorothy Gwajima amesema lengo la Taasisi ni kuhakikisha inaboresha miundombinu ya kujifunzia na kufundishia ili kuongeza uwezo wa kudahili hata kufikia wanafunzi 800.

Dkt . Gwajima ametumia fursa hiyo kubainisha mpango wa Taasisi wa kuandaa mtaala wa Elimu ya Malezi na makuzi ya mtoto katika ngazi ya cheti hadi ngazi ya stashahada na suala na kuongeza idadi ya wahadhiri.

“Chuo kimepata kibali cha kuajiri waadhiri wengine 8 ambapo mchakato wa ajira bado unaendelea na utazingatia usawa wa kijinsia, mahitaji Maalum na pia uwezo wa kitaaluma katika kufundisha ” amesema Dkt. Gwajima

Kwa upande wake Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu ameahidi kufanyiwa kazi maelekezo yaliyotolewa na Kamati ikiwemo suala la upungufu wa watumishi.

Naye Diwani wa kata ya Lembeni Mhe. Alex Mwipopo amesema mwanzo chuo hicho kilikua ni kama kimeshaulika lakini ndani ya miaka miwili ya Serikali ya awamu ya sita chuo hiko kimeongeza fursa kubwa kwa wananchi wa kata hiyo kiuchumi na kimiundombinu huku kila mtu akiona shauku ya kuhamia kwenye eneo hilo kwa ajili ya shughuli za kiuchumi na fursa zinazopatikana.

About the author

Alex Sonna