Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

Hacklink panel

betturkey

nerobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

nakitbahis giriş

marsbahis

marsbahis

kendin tasarla mousepad

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

casibom giriş

pusulabet

grandpashabet

pusulabet

betlivo

betra

piabellacasino giriş

marsbahis

slot siteleri

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

grandpashabet giriş

betpark

betpark

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

tipobet

redwin

deneme bonusu

bahis siteleri

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

nakitbahis

Girne Escort

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu

slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Jojobet

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

casibom

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

jojobet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

grandpashabet

Hacking Forum

modabet

vdcasino giriş

casibom

lunabet

Featured Kitaifa

NEMC YANG’ARA KIMATAIFA MAONESHO YA KILIMO NA MAZINGIRA QATAR

Written by Alex Sonna

Meneja wa Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa Baraza la Taifa la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Irene John akimuelezea mmoja wa wawekezaji waliotembelea banda la NEMC katika Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo na Mazingira nchini Qatar namna NEMC lilivyorahisisha mazingira ya kusajili miradi kwa kufanya Tathimini ya Athari kwa Mazingira (TAM) hasa katika uwekezaji wa Kilimo, Mifugo na Viwanda.

Meneja wa Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa Baraza la Taifa la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Irene John akimkabidhi mfuko mbadala mmoja wa wageni waliotembelea banda la NEMC katika Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo na Mazingira nchini Qatar na kupewa elimu jinsi Tanzania ilivyofanikiwa kutokomeza matumizi ya mifuko ya plastiki, pembeni ni maofisa wengine wa NEMC.

Wageni mbalimbali waliotembelea banda la NEMC katika Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo na Mazingira nchini Qatar wakipata elimu ya namna NEMC lilivyorahisisha mazingira ya kusajili miradi kwa kufanya Tathimini ya Athari kwa Mazingira (TAM) na utokomezaji mifuko ya plastiki.

Na Mwandishi Wetu, DOHA

Tanzania ni miongoni mwa nchi 130 zinazoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo na Mazingira(Agriteq Expro 2023) ambayo hufanyika kila mwaka na kwa mwaka huu yanafanyika kuanzia tarehe 15 hadi 19 Machi, 2023 katika jiji la Doha nchini Qatar huku Baraza la Taifa la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) likionesha uzoefu wake kwenye masuala mbalimbali ikiwamo utokomezaji wa mifuko ya plastiki.

Katika maonesho hayo yaliyofunguliwa na Waziri wa Manispaa, Dk. Abdullah bin Abdulaziz bin Turki Al Subaie na yamejumuisha kampuni za kimataifa zaidi ya 300, wakulima zaidi ya 100 pamoja na wadau wa mazingira huku NEMC ikiwa miongoni mwa taasisi 16 zilizoshiriki kutoka Tanzania.

Akizungumza katika maonesho hayo, Meneja wa Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa NEMC, Irene John alisema maonesho hayo yatafungua fursa nyingi za uwekezaji katika bidhaa na huduma kupitia mawasilisho yaliyofanywa na NEMC imeonesha jinsi gani mazingira ya uwekezaji yameboreshwa kupitia mifumo mbalimbali ya kielektroniki kama vile mchakato wa utoaji vibali vya Tathimini ya Athari kwa Mazingira (TAM) na pia mfumo wa upatikanaji wa vibali vya taka hatarishi ili kuboresha zaidi mazingira ya uwekezaji.

“Miongoni mwa wageni waliotembelea banda la NEMC ni pamoja na watumishi kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Qatar, Wizara na kampuni mbalimbali kutoka nchi washiriki, mwananchi mmoja mmoja kutoka Qatar na nchi mbalimbali walitembelea banda la NEMC ikiwa ni pamoja na wawekezaji wa aina mbalimbali ili kupata elimu pamoja na kuelezwa fursa za uwekezaji kwenye mazingira, utalii na kilimo,”alisema.

Kadhalika, Ofisa Mazingira kutoka NEMC Kanda ya Kusini, Obasanjo Nniwako alieleza kuwa moja ya faida kubwa kwa NEMC kushiriki katika maonesho ya kimataifa ya mazingira na kilimo ni pamoja na kuitangaza NEMC na pia kutoa elimu juu ya utunzaji na uhifadhi wa mazingira kwa uwekezaji endelevu.

“Lakini pia tumeeleza jinsi Tanzania ilivyotokomeza matumizi ya mifuko ya Plastiki na kuonesha kwa vitendo baadhi ya mifuko mbadala inayotumika ambayo ni rafiki kwa Mazingira kwa ajili ya maendeleo endelevu kwa faida ya vizazi vya sasa na vijavyo,”alisema.

Naye, Tilisa Mwambungo Afisa Mazingira toka Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, aliongeza kuwa kwenye maonesho wanatangaza fursa zilizopo za uwekezaji hasa katika kilimo endelevu kinachozingatia uhifadhi wa mazingira pamoja na utalii kwa ajili ya kukuza uchumi wa nchi na kuongeza ajira.

“Kwa ujumla wake, maonesho yametoa fursa kwa washiriki kutoka Tanzania kueleza Mataifa juu ya maeneo mbalimbali ya uwekezaji nchini Tanzania, hususani katika sekta ya kilimo, ufugaji, utalii na madini ambazo zinapatikana nchini Tanzania na NEMC imeweza kutoa elimu kwa washiriki waliotembelea banda letu kuhusu taratibu zinazopaswa kufuatwa wakati wa kufanya tathmini ya athari kwa mazingira kabla ya kuwekeza nchini Tanzania,”alisema.

Maonesho hayo yanalenga kutoa fursa kwa washiriki kuonesha bidhaa na huduma zinazohusiana na kilimo na mazingira, kubadilishana uzoefu, teknolojia pamoja kutafuta masoko na fursa na uwekezaji katika kilimo kinachozingatia uhifadhi wa mazingira.

Mbali na NEMC, washiriki wengine kutoka nchini Tanzania ni pamoja na Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania -Qatar, Wizara ya Kilimo, Bodi ya Mkonge, Mama Afrika, SL. Afrika, Dumas Afrikan Market, Msai Sandals, Habimaya Solutions, Natural Shine Trader, Nkona Limited, Linga Enterprises, MamboJambo Design, Kolumba Art Studio, Afnaan Limted pamoja na Amahoro Afrika Limited.

About the author

Alex Sonna