Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

https://guinguinbali.com/

boostaro review

NervEase

matbet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

maritbet giriş

hiltonbet

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Betnano

marsbahis

mislibet

imajbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

betoffice

coinbar

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

holiganbet

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

piabellacasino

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

meritking

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

meritking giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

hititbet giriş

hititbet

hititbet

hititbet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

royalbet giriş

hititbet

hititbet giriş

hititbet giriş

hititbet

betpark giriş

betixir

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

Meritking

deneme bonusu

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

goldenbahis

artemisbet

imajbet

artemisbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

madridbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

piabellacasino giriş

holiganbet

celtabet

holiganbet

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

bonus veren casino siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet

casibom giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

betsat

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

piabellacasino

betturkey

sweet bonanza

bets10 güncel giriş adresi

madridbet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

holiganbet giriş

casibom giriş

holiganbet

holiganbet giriş

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

pusulabet

vdcasino

marsbahis

matbet

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

marsbahis

grandpashabet

holiganbet

jojobet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

betist

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

safirbet

casifix

robinbet

betkare

imajbet

betpark

betpark

bets10

Featured Kitaifa

BMH, 33 WALIOJITOLEA FIGO WAPO SALAMA,NJOONI MTOE FIGO

Written by Alex Sonna

MKURUGENZI  Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH),Dk Alphonce Chandika,akijibu maswali mbalimbali yaliyoulizwa na waandishi wa habari (hawapo pichani)  wakati akielezea miaka mitano ya Upandikizaji figo katika hospital hiyo leo Machi 13,2023 jijini Dodoma.

BALOZI wa Japan nchini Tanzania Mhe. Yusushi Misawa,akizungumzia ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na Japan wakati wa mafanikio ya miaka mitano ya Upandikizaji figo katika hospital ya Benjamin Mkapa (BMH) leo Machi 13,2023 jijini Dodoma.

MKURUGENZI wa Shonan Kamakura General Hospital Prof.Shuzo Kobayashi,akizungumzia mafanikio ya miaka mitano ya Upandikizaji figo katika hospital ya Benjamin Mkapa (BMH) leo Machi 13,2023 jijini Dodoma.

MWENYEKITI wa Taasisi ya Tokushukai Dkt. Higashiue Shinichi,akizungumzia mafanikio ya miaka mitano ya Upandikizaji figo katika hospital ya Benjamin Mkapa (BMH) leo Machi 13,2023 jijini Dodoma.

DAKTARI Bingwa wa Magonjwa ya Figo Chuo Kikuu cha Dodoma na Hospitali ya Benjamin Mkapa Dkt.Alfred Meremo,akizungumzia wakati wa  mafanikio ya miaka mitano ya Upandikizaji figo katika hospital ya Benjamin Mkapa (BMH) leo Machi 13,2023 jijini Dodoma.

DAKTARI Bingwa Magonjwa ya Figo Hospitali ya Benjamin Mkapa Dk.Kessy Shija,akielezea magonjwa ya figo wakati mtu anapotaka kusaidiwa Figo wakati wa  mafanikio ya miaka mitano ya Upandikizaji figo katika hospital ya Benjamin Mkapa (BMH) leo Machi 13,2023 jijini Dodoma.

MAKAMU  Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka,akizungumza wakati wa  mafanikio ya miaka mitano ya Upandikizaji figo katika hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) leo Machi 13,2023 jijini Dodoma.

Mdau wa Sekta ya Afya Dkt. Zainab Chaula,akizungumza wakati wa  mafanikio ya miaka mitano ya Upandikizaji figo katika hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) leo Machi 13,2023 jijini Dodoma.

MKURUGENZI  Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH),Dk Alphonce Chandika,akimkabidhi Cheti ya ushirikiano Mwenyekiti  wa Taasisi ya Tokushukai Dkt. Higashiue Shinichi, wakati wa mafanikio ya  miaka mitano ya Upandikizaji figo katika hospital hiyo leo Machi 13,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

HOSPITALI ya Benjamini Mkapa  imefanikiwa kupandikiza figo kwa wagonjwa 33 kati ya hao wagonjwa 22 wamepandikizwa na wataalamu wazawa.

Aidha imesema  mtu anaechangia figo yupo salama na hapatwi na maradhi yoyote ambapo mpaka sasa wametoa figo za watu 33 ambao hawajapata madhara yoyote.

Hayo yameelezwa leo Machi 13,2023,Jijini hapa na Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali hiyo,Dk Alphonce Chandika, wakati alipokuwa akizunguza na waandishi wa habari katika maadhimisho ya  miaka mitano tangu hospitali hiyo ilipoanza kupandikiza figo.

“Jambo hili limefanikiwa kwani mpaka sasa tumefanikiwa kupandikiza figo kwa wagonjwa 33 kati ya hao wagonjwa 22 wamepandikizwa na wataalamu wazawa.

“Ni furaha yangu kuwaambia kwamba kwa sasa wataalamu wetu wanafanya zoezi hili wao wenyewe bila ya kuwepo kwa usimamizi wa watu wa Japan haya ni mafaniko makubwa,”amesema Dk Chandika

Amesema gharama za matibabu ya figo nchini India na Duniani kote ni makubwa ambapo Serikali ya Tanzania itaweza kuokoa kutokana na kupeleka wagonjwa nje ya nchi kwasababu huduma huyo kwa sasa inapatikana nchini.

Aidha Dk.Chandika amesema Serikali imeweka vifaa tiba na miundombinu ya kisasa kwa ajili ya kufanikisha huduma hiyo.

Amesema gharama ya kumpeleka mgonjwa kutibiwa India ni Sh kati ya milioni 77 hadi 80 kwa mgonjwa kufanyiwa upandikizaji ambapo kwa hapa nchini ni Sh milioni 35.

“Huu ni ugonjwa ambao mtu anatakiwa awe na fedha za kutosha kuanzia usafishaji wa damu ambayo ni hatua ya mwanzo kabla ya kufanya upandikizaji wa figo.

Amesema mgonjwa hutakiwa damu walau mara tatu kwa wiki ambayo humgharimu Sh 700,000 mpaka 900,000.

Aidha amesema Hospitali inahitaji kuwa  na wataalamu wasiopungua 32 kwa upandikizaji mmoja ‘one pair’ wanaotokana na taaluma mbalimbali za eneo la upandikizaji figo.

Ameyataja maeneo hayo ni madaktari bingwa wa upasuaji,mabingwa wa magonjwa ya figo,mabingwa wa maabara,mabingwa wa usingizi,wauguzi wa upasuaji,wauguzi wa vyumba vya uangalizi maalum.

Wengine ni wataalamu wa mambo ya jamii,wataalamu wa lishe na ofisi inayoratibu zoezi zima la upandikizaji wa figo.

Amesema mpaka sasa,Hospitali ya Benjamini Mkapa na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa kushirikiana na Tokushukai Medical Group wamefanikiwa kuwapatia mafunzo wataalamu 13 nchini Japan.

“Kwa miaka hii mitano tumegundua ama kujifunza kwamba wananachi wengi hatupo tayari kujitolea kuwachangia ndugu na jamaa zetu waliyo na maradhi ya figo wenye vigezo na uhitaji wa kupandikizwa,”amesema 

Dk.Chandika amesema kuwa mtu anaechangia figo yupo salama na hapatwi na maradhi yoyote kwa sababu ya kuchangia figo.

“Nasema haya kwa uhakika kabisa tuna watu 33 waliochangia figo kunusuru maisha ya ndugu zao hapa hospitali ya Benjamini Mkapa hakuna hata mmoja aliyewahi kurudi akiwa na shida inayotokana na kuchangia figo.

Amesema mipango ya muda mfupi ni kuboresha huduma za kupandikiza kwa kujenga miundombinu stahiki ambapo amedai tayari wamemaliza hatua ya michoro ili kutengeneza eneo maalum la kutolea huduma za kupandikiza figo.

 ”Tunakumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo baadhi ya watu kupiga simu na kutaka kuuza figo zao ambapo ni kinyume na sheria za nchi ambapo ni kosa kwa mtu kuuza viungo vyake vya miwili’amesema Dk.Chandika

Naye Mwenyekiti  wa Taasisi ya Tokushukai Dkt. Higashiue Shinichi, amesema kuwa taasisi hiyo itaendelea kushirikiana vizuri ili kuhakikisha Benjamin Mkapa inapiga hatua katika suala la Upandikizaji figo kwa wagonjwa.
“Tunaishkuru serikali ya Tanzania pamoja na Mkurugenzi wa BMH kwa kutuonyesha ushirikiano,tutaendelea kuwa pamoja ili kuimarisha wataalam wa mgonjwa ya figo,” amesema Dk Shinichi.

About the author

Alex Sonna