Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

BRELA YAKUTANA NA WATAALAMU WA  VYOMBO VYA UCHUNGUZI JIJINI DODOMA

Written by Alex Sonna

MKURUGENZI wa Idara ya Kampuni na Majina ya Biashara kutoka Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) Bw.Meinrad Rweyemamu,akizungumza wakati wa kikao cha majalidiliano kuhusu utekelezaji wa kanuni za wamiliki manufaa baina ya wakala na vyombo vya uchunguzi  leo Machi 2,2023 jijini Dodoma kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa BRELA ,Godfrey Nyaisa.

KAIMU Kamishna wa Uhamiaji,Charles Kasambula,akielezea umuhimu wa mafunzo hayo wakati wa kikao cha majalidiliano kuhusu utekelezaji wa kanuni za wamiliki manufaa baina ya wakala na vyombo vya uchunguzi  leo Machi 2,2023 jijini Dodoma.

MKURUGENZI wa Idara ya Kampuni na Majina ya Biashara kutoka Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) Bw.Meinrad Rweyemamu,akitoa mada kwa washiriki wa mafunzo wakati wa kikao cha majalidiliano kuhusu utekelezaji wa kanuni za wamiliki manufaa baina ya wakala na vyombo vya uchunguzi  leo Machi 2,2023 jijini Dodoma.

 

MKURUGENZI wa Idara ya Kampuni na Majina ya Biashara kutoka Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) Bw.Meinrad Rweyemamu,akiwa katika picha ya pamoja na washiriki mara baada ya kufungua  kikao cha majalidiliano kuhusu utekelezaji wa kanuni za wamiliki manufaa baina ya wakala na vyombo vya uchunguzi  leo Machi 2,2023 jijini Dodoma kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa BRELA ,Godfrey Nyaisa.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WAKALA ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umewataka wataalamu wa vyombo vya uchunguzi kuhakikisha wanafanikisha mkataba wa taifa wa kudhibiti na kupambana na utakatishaji wa fedha haramu.

Hayo yameelezwa leo  Machi 2,2023 jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Idara ya Kampuni na Majina ya Biashara kutoka BRELA,Meinrad Rweyemamu wakati wa kikao cha majalidiliano kuhusu utekelezaji wa kanuni za wamiliki manufaa baina ya wakala na vyombo vya uchunguzi  kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa BRELA ,Godfrey Nyaisa.

Rweyemamu amewataka  wataalamu hao  kuhakikisha wanafanikisha mkataba wa taifa wa kudhibiti na kupambana na utakatishaji wa fedha haramu.

“Wakala ilitoa access ya mifumo yetu ya ndani ikiwemo mfumo wa usajili kwa njia ya mtandao na mfumo wa wamiliki manufaa kwa vyombo vya uchunguzi,”amesema Rweyemamu

Aidha Rweyemamu,amesema BRELA  imekuwa ikishirikiana kwenye shughuli mbalimbali za kiutendaji ikiwa ni pamoja na kufanya maboresho mbalimbali ya kisheria na kimfumo ili kuhakikisha wanatoa   huduma bora.

Amesema makampuni yana umuhimu mkubwa katika kuchangia uchumi wa Nchi hata hivyo uzoefu umeonesha kuna baadhi yanatumika vibaya kama kufanya vitendo vya kiuhalifu visivyokubalika katika jamii.

“Ikiwa ni pamoja na utakatishaji wa fedha haramu,kufadhili vitendo vya kigaidi pamoja na vitendo vya rushwa na hata ukwepaji wa kodi,”amesema

Amesema Benki ya Dunia na taasisi zingine zimejitolea kuleta mabadiliko ya hali hiyo kwa kuanzisha dhana ya wamiliki manufaa ambayo imeungwa mkono na Jumuiya ya Kimataifa.

Amesema kwa kuwezesha juhudi hizo Taasisi ya Kimataifa ya Financial Action Task Force (FATF) mwaka 2014 ilitoa muongozo kwa taasisi ya Kimataifa ya Globar forum on Transparency and Exchange of Information for Tax Purposes.

“Juu ya jinsi ya kuyashughulikia masuala ya ukusanyaji wa taarifa za wamiliki manufaa ya makampuni,”amesema 

Kwa upande wake,Kaimu Kamishna wa Uhamiaji,Charles Kasambula amesema mafunzo hayo ni muhimu kutokana na dunia ilivyo kwenye suala zima la utakatishaji fedha.

“Tukiwa kama nchi ni vyema tukapata mafunzo haya na sisi kama wahamiaji wawekezaji lazima wapite kwetu ili kuweza kupata vibali vya kuishi na kuwa na makazi nchini,hivyo itasaidia watu wanapoanzisha kampuni zao hasa wa nje kuweza kuchunguza vyanzo vya pesa zao ili tuwe na watu safi sio watu wanaotaka kutakatisha pesa zao,”.

About the author

Alex Sonna