slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

rinabet, rinabet giriş

aresbet, aresbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

jojobet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

jojobet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

ikimisli giriş

slot siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

tarafbet

güvenilir slot siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

betgar, betgar giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

casibom

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

pusulabet

matbet

vdcasino giriş

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

Hacklink panel

Casibom

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

pusulabet

Featured Kitaifa

DUWASA YAJIVUNIA  UPATIKANAJI WA MAJI DODOMA KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA

Written by Alex Sonna

Na Eric Mungele-DODOMA

KATIKA kipindi cha miaka miwili ya uongozi wa serikali ya awamu ya sita madarakani chini ya Rais Samia Suluhu Hassan,Mkoa wa Dodoma unajivunia ongezeko la upatikanaji wa maji kutoka wastani wa lita Milioni 61.5 mwaka 2020/2021 hadi kufikia 67.8 Milioni mwaka 2022/2023.

Hatua hiyo ni miongoni mwa mafanikio yaliyopatikana yanaoenda sambamba na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),ambayo imeahidi kufikisha kiwango cha maji kwa mijini kwa asilimia 95 na vijijini asilimia 85.

Hayo yameleezwa leo Februari 28,2023 Jijini Dodoma na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule wakati wa kuwasilisha taarifa ya mafanikio ya serikali kwa kipindi cha miaka miwili upande wa sekta ya maji.

RC Senyamule amesema Uzalishaji umeongezeka kutoka Lita Mil. 61.5 na kufika 67.1 kwa siku, Chamwino Upatikanaji wa maji Umeongezeka kutoka 42% mpaka 87%,Kongwa Upatikanaji wa maji Umeongezeka kutoka 44% hadi 88%,Bahi Upatikanaji wa maji Umeongezeka kutoka 37% hadi 95%.

Pia amesema Katika kukabiliana na ongezeko kubwa la mahitaji ya Maji jijini Dodoma, Serikali kupitia Wizara ya Maji na DUWASA imewekeza kiasi cha Tsh. 9.14bilioni ambapo Uchimbaji na uendelezaji wa visima (32) sehemu mbalimbali za huduma, ufungaji wa pumpu, ulazaji wa kilometa 208.86 za mtandao wa kusafirishia na kusambazia maji, ujenzi wa Matenki yenye ujazo wa lita 3,035,000.

“Uzalishaji umeongezeka kutoka Lita Mil. 61.5 na kufika 67.1 kwa siku, Chamwino Upatikanaji wa maji Umeongezeka kutoka 42% mpaka 87%,Kongwa Upatikanaji wa maji Umeongezeka kutoka 44% hadi 88%,Bahi Upatikanaji wa maji Umeongezeka kutoka 37% hadi 95%. na takwimu hizi zinafanya kuvuka malengo ya chama cha mapinduzi.

“Katika kukabiliana na ongezeko kubwa la mahitaji ya Maji jijini Dodoma, Serikali kupitia Wizara ya Maji na DUWASA imewekeza kiasi cha Tsh. 9.14bilioni ambapo Uchimbaji na uendelezaji wa visima (32) sehemu mbalimbali za huduma, ufungaji wa pumpu, ulazaji wa kilometa 208.86 za mtandao wa kusafirishia na kusambazia maji, ujenzi wa Matenki yenye ujazo wa lita 3,035,000,”amesema Senyamule.

Kwa upande wake,Mkurugezi Mtendaji Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Dodoma DUWASA Mhandisi Aron Joseph ameelezea mafaniko yaliopatika na matarajio kwenye taasisi hiyo katika kipindi cha miaka miwili.

Mhandisi Joseph ameelezea kuwa Mkoa wa Dodoma unahudumia wakazi 765,179 kwa mujibu wa (Sensa.2022) ambapo takribani 91% wanapata huduma ya Majisafi na salama (Kwa Mgao) na 20% huduma ya uondoshaji Majitaka hata hivyo Mahitaji ya Maji ya Jiji la Dodoma kwa sasa ni lita 133,400,000 kwa siku, na yataongezeka hadi lita 417,308,000 kwa siku hadi kufikia Mwaka 2051.

Aidha ameelezea Uwezo wa vyanzo vyote vya maji vya DUWASA ni lita 67,100,00 kwa siku na Upungufu wa mahitaji ya maji ni lita 66,300,000 kwa siku sawa (50%) Mahitaji ya mfumo wa kutibu Majitaka ni lita 20,000,000 kwa siku Uwezo wa mfumo wa kutibu Majitaka ni lita 350,000 kwa siku na Upungufu wa uwezo wa kutibu Majitaka ni lita 19,650,000 kwa siku.

“kwa sasa Jiji la Doodoma ina wakazi 765,179 nahii ni mujibu wa (Sensa.2022) ambapo takribani 91% wanapata huduma ya Majisafi na salama (Kwa Mgao) na 20% huduma ya uondoshaji Majitaka hata hivyo Mahitaji ya Maji ya Jiji la Dodoma kwa sasa ni lita 133,400,000 kwa siku, na yataongezeka hadi lita 417,308,000 kwa siku hadi kufikia Mwaka 2051.

“Uwezo wa vyanzo vyote vya maji vya DUWASA ni lita 67,100,00 kwa siku na Upungufu wa mahitaji ya maji ni lita 66,300,000 kwa siku sawa (50%) Mahitaji ya mfumo wa kutibu Majitaka ni lita 20,000,000 kwa siku Uwezo wa mfumo wa kutibu Majitaka ni lita 350,000 kwa siku na Upungufu wa uwezo wa kutibu Majitaka ni lita 19,650,000 kwa siku,”amesema

Hata hivyo ameelezea,Katika kukabiliana na ongezeko kubwa la mahitaji ya Maji jijini Dodoma, Serikali kupitia Wizara ya Maji na DUWASA imewekeza kiasi cha Tsh. 9.14bilioni kwa hatua za muda mfupi za kupunguza uhaba wa maji ambayo ni Uchimbaji na uendelezaji wa visima (32) sehemu mbalimbali za huduma, ufungaji wapumpu, ulazaji wa kilometa 208.86 za mtandao wa kusafirishia na kusambazia maji, ujenzi wa Matenki yenye ujazo wa lita 3,035,000.

Pia Bwawa la Farkwa Tayari Serikali imetenga Dola 125.3 million kwa ajili ya kujenga Bwawa na Mtambo wa Kutibu Maji kupitia AfDB Mradi huu utaongeza kiasi cha Maji lita Milioni 128 kwa Siku. Mradi upo katika hatua za kuwapata wahandisi washauri wa mradi ukiunganisha lakini Mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria amabao Upembuzi wa awali ulifanyika na kukamilika mwezi Desemba, 2019 umeonesha uwezekano mkubwa wa maji ya Ziwa Victoria kufika Dodoma na Mradi huu unalenga kuhudumia Mji wa Dodoma na Singida.

“katika mapngo wa muda mrefu na mfupi Bwawa la Farkwa Tayari Serikali imetenga Dola 125.3 million kwa ajili ya kujenga Bwawa na Mtambo wa Kutibu Maji kupitia AfDB Mradi huu utaongeza kiasi cha Maji lita Milioni 128 kwa Siku. Mradi upo katika hatua za kuwapata wahandisi washauri wa mradi ukiunganisha,”amesema Joseph.

Aidha ameeleza changamoto zinazo ikabili DUWASA nihubaribifu wa miondombinu ya maji safi na taka kuharibiwa na wanachi wanaozunguka na kuowaomba wauza vyuma chakavu kuacha kununua vifaa vya mali ya serikali licha ya kununua vyuma chakavu wanasaidia kutunza mazingira.

About the author

Alex Sonna