Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

betplay

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

WAKANDARASI WA REA SHINYANGA WAPEWA MWEZI MMOJA KUKAMILISHA MIRADI YA UMEME

Written by Alex Sonna

 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Joseph Modest Mkude akizungumza kwenye kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini mkoani Shinyanga.

 

Na Mwandishi Wetu – Shinyanga
 
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Joseph Modest Mkude ametoa muda wa mwezi mmoja na nusu kwa wakandarasi wanaotekeleza Mradi wa Kusambaza umeme vijijini kukamilisha kazi waliyopewa na Serikali ili wananchi waanze kunufaika na huduma ya nishati ya umeme.

 
 
Mhe. Mkude ambaye ni Mkuu wa wilya ya Kishapu ametoa agizo hilo leo Jumatatu Januari 30,2023 kwenye kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini kilichofanyika katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga.
 
 
Mkude amewataka wakandarasi hao kuwasilisha ripoti ya utekelezaji wa miradi hiyo kila wiki kwa wakuu wa wilaya zote na Ofisi ya Mkuu Mkoa.
 
“Utekelezaji wa miradi unasuasua sana na mkoa hauridhishwi na kasi yenu, endapo hamtajirekebisha Serikali haitasita kusitisha mikataba yenu”, amesisitiza.
 
Naye Mkurugenzi wa Uendelezaji wa Masoko na Teknolojia wa Wakala wa Nishati Vijijini (Rural Energy Agency – REA)Mhandisi Advera Mwijage amesema hakutakuwa na muda wa nyongeza kwa wakandarasi na kuwataka wazingatie mikataba yao.
 
Mhandisi Mwijage amewataka wakandarasi kushirikisha viongozi wa ngazi zote kuanzia vijiji, wilaya na mikoa pamoja na wananchi wakati wa utekelezaji wa mradi ili kuweza kuondoa changamoto za malalamiko ya wananchi.
 
 
Kwa upande wao, Wakandarasi wanaotekeleza mradi huo, wameahidi kurekebisha kasoro zilizojitokeza na kuahidi kukamilisha miradi kwa mujibu wa mikataba waliyoingia na Serikali.
 
Mkurugenzi wa SUMA JKT Electric Co. Ltd ambao wanatekeleza Mradi katika wilaya ya Shinyanga Kishapu, Meja Simon Mhame amesema wameongeza vibarua na wameshaagiza vifaa vya kutosha kukamikisha Mradi hivyo watatimiza na kutii maagizo ya Serikali.
 
 
Mkurugenzi Mtendani wa Kampuni ya Ukandarasi ya Tontan Project Technology Co. Ltd, bw. Zheng Pengtao wanaotekeleza mradi wa umeme wilayani Kahama amesema watahakikisha wanakamilisha usambazaji wa umeme kwa wakati katika vijiji vyote kwa mujibu wa mkataba waliosaini na serikali.
 
 
Mradi wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili utanufaisha vijiji 216 mkoani Shinyanga kwa gharama ya zaidi ya shilingi Bilioni 56 ambapo Wakandarasi wanaosimamia mradi wa usambazaji umeme wilayani Kahama, Shinyanga na Kishapu kuwa ni Suma JKT na Tontan Project Technology Co. Ltd.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Joseph Modest Mkude akizungumza kwenye kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini mkoani Shinyanga. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Joseph Modest Mkude akizungumza kwenye kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini mkoani Shinyanga
 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Joseph Modest Mkude akizungumza kwenye kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini mkoani Shinyanga
Mkurugenzi wa Uendelezaji wa Masoko na Teknolojia wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Advera Mwijage akizungumza kwenye kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini mkoani Shinyanga
Mkurugenzi wa Uendelezaji wa Masoko na Teknolojia wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Advera Mwijage akizungumza kwenye kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini mkoani Shinyanga
Mkurugenzi wa Uendelezaji wa Masoko na Teknolojia wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Advera Mwijage (wa pili kushoto) akizungumza kwenye kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini mkoani Shinyanga
Mkurugenzi wa Uendelezaji wa Masoko na Teknolojia wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Advera Mwijage (wa pili kushoto) akizungumza kwenye kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini mkoani Shinyanga
  Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Joseph Modest Mkude akiwa kwenye kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini mkoani Shinyanga
Mkurugenzi wa SUMA JKT Electric Co. Ltd , Meja Simon Mhame akizungumza kwenye kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini mkoani Shinyanga
Mkurugenzi Mtendani wa Kampuni ya Ukandarasi ya Tontan Project Technology Co. Ltd, bw. Zheng Pengtao akielezea jitihada wanazofanya kuhakikisha wanakamilisha usambazaji wa umeme kwa wakati kwenye vijiji kwa mujibu wa mkataba waliosaini na serikali.
Wadau wakiwa kwenye kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini mkoani Shinyanga
 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Joseph Modest Mkude akizungumza kwenye kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini mkoani Shinyanga.
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog

About the author

Alex Sonna