slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

vdcasino

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

mavibet

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

meritking

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

marsbahis

jojobet giriş

matbet

sekabet

pusulabet

vdcasino giriş

kingroyal

betist

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

Featured Kitaifa

KATIBU MKUU TUGHE TAIFA AIPONGEZA REA USHIRIKISHAJI WATUMISHI

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu wa TUGHE Taifa, Herry Mkunda akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Baraza hilo liliketi jijini Arusha, Januari 20, 2023 kujadili Bajeti ya matumizi ya REA kwa Mwaka 2023/24.

Kaimu Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mussa Muze, akifafanua jambo wakati wa kikao cha Baraza hilo kilichoketi jijini Arusha, Januari 20, 2023 kujadili Bajeti ya matumizi ya REA kwa Mwaka 2023/24.

Katibu wa Baraza la Wafanyakazi la Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Aziz Abbu akizungumza wakati wa kikao cha Baraza hilo kilichoketi jijini Arusha, Januari 20, 2023 kujadili Bajeti ya matumizi ya REA kwa Mwaka 2023/24.

Katibu Mkuu wa TUGHE Mkoa wa Dodoma, Samwel Nyungwa akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Baraza hilo liliketi jijini Arusha, Januari 20, 2023 kujadili Bajeti ya matumizi ya REA kwa Mwaka 2023/24.

Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Swalehe Kibwana, akichangia maoni wakati wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi. Kikao hicho kiliketi jijini Arusha, Januari 20, 2023 kujadili Bajeti ya matumizi ya REA kwa Mwaka 2023/24.

Kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa TUGHE Taifa Herry Mkunda, Kaimu Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mussa Muze na Katibu wa Baraza hilo Aziz Abbu, wakifuatilia majadiliano wakati wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi. Kikao hicho kiliketi jijini Arusha, Januari 20, 2023 kujadili Bajeti ya matumizi ya REA kwa Mwaka 2023/24.

Sehemu ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Wakala wa Nishati Vijijini (REA), wakishiriki kikao cha Baraza hilo kilichoketi jijini Arusha, Januari 20, 2023 kujadili Bajeti ya matumizi ya REA kwa Mwaka 2023/24.

………………………………………

Veronica Simba – Arusha

Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE), ngazi ya Taifa, Herry Mkunda ameipongeza Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kujenga uhusiano mzuri baina yake na wafanyakazi katika kuhakikisha wanatekeleza kwa tija malengo ya Taasisi kwa manufaa ya Watanzania.

Ametoa pongezi hizo Januari 20, 2023 jijini Arusha, wakati wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi la REA, lililoketi kujadili Bajeti ya matumizi ya Wakala hiyo kwa Mwaka 2023/24.

Akitolea ufafanuzi chimbuko la pongezi zake kwa REA, Mkunda alibainisha kuwa wafanyakazi katika baadhi ya Taasisi huwa hawashirikishwi na Menejimenti kwa kiwango kinachotakiwa katika kujadiliana na kupanga kwa pamoja namna nzuri ya kutekeleza malengo ya Taasisi ili kupata matokeo chanya suala ambalo ni tofauti kwa REA kutokana na ushirikiano uliopo baina ya pande hizo mbili.

“Kwahiyo niwapongeze Menejimenti ya REA pamoja na Wafanyakazi kwa kukubali kukutana pamoja na kukaa Meza moja kujadiliana kwa lengo la kuhakikisha kwamba malengo ya Taasisi yanatekelezwa kikamilifu na kwa tija,” amesema Mkunda.

Aidha, Katibu Mkuu huyo wa TUGHE Taifa, amesema ni jambo la kujivunia na kupongezwa kwa REA kuwa na zaidi ya asilimia 95 ya wafanyakazi wake ambao ni wanachama wa TUGHE.

Pamoja na pongezi hizo, Mkunda amewaasa wafanyakazi wa REA kuhakikisha wanafanya kazi kwa bidi ili kuwezesha kufikia malengo ya Mwajiri ambaye ni Serikali ambaye anataka Watanzania wapate huduma njema katika sekta ya nishati vijijini.

Amesema katika baadhi ya Taasisi, wafanyakazi wamekuwa wakichangia kutofikiwa malengo ya Taasisi kutokana na vitendo vya ubadhirifu pamoja na uvivu hali ambayo inasababisha kurudisha nyuma jitihada za Mwajiri.

“Niwaombe tushirikiane kwa pamoja katika mipango na utendaji kazi ili kuhakikisha tunafikia malengo ya Mwajiri,” amesisitiza Mkunda.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa REA ambaye kwa nafasi yake ndiye Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la REA, Mwakilishi wake katika kikao hicho Musa Muzze alimhakikishia Kiongozi huyo wa TUGHE Taifa kuwa Menejimenti ya REA imekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha wafanyakazi wanashirikishwa ipasavyo katika kila jambo linalohusu Taasisi.

“Tofauti na baadhi ya maeneo mengine, kwa upande wa REA, Menejimenti imekuwa mstari wa mbele katika kuwathamini wafanyakazi. Mfano mzuri ni kwamba hata uanzishwaji wa Baraza la Wafanyakazi REA, Menejimenti ndiyo ilihamasisha na kuhakikisha suala hilo linafanikiwa,” amefafanua Muzze.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la REA, Swalehe Kibwana ameushukuru Uongozi wa Wakala hiyo kwa kutoa ushirikiano wa hali ya juu kwa wafanyakazi katika masuala ya kazi n ahata masuala yanayowahusu wafanyakazi wenyewe.

“Sisi tuna bahati. Mojawapo ya bahati tulizopata ni ushirikishwaji, jambo ambalo kwakweli hatuna budi kutoa shukrani kwa Uongozi,” amesisitiza Kibwana.

Kikao hicho pia kimehudhuriwa na Katibu Mkuu wa TUGHE Mkoa wa Dodoma, Samwel Nyungwa ambaye ameungana na Katibu Mkuu Taifa kuipongeza REA kwa ushirikiano mzuri katika kutekeleza majukumu ya Taasisi kwa manufaa ya Taifa.

About the author

Alex Sonna