Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

1xbet

matbet, matbet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

jojobet giriş

jojobet

holiganbet, holiganbet giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

casibom

betewin

interbahis

casinofast giris

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Pusulabet

pusulabet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

betsat giriş

jojobet

tambet

ultrabet

mislibet

kavbet

setrabet

pulibet

perabet

timebet

jojobet

kulisbet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet giriş

mavibet giriş

mavibet

mavibet

piabellacasino

mavibet

mislibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

mislibet

mavibet giriş

kavbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Pusulabet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betpark

betyap, betyap giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

grandpashabet

grandpashabet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

kingroyal

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

betpas

royalbet

Betpas

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

ASKOFU KINYAIYA:AKINA MAMA ACHENI KUTOA ADHABU ZISIZOSTAHILI KWA WATOTO

Written by Alex Sonna

 

Waamini wa Parokia Teule ya Mt.Cecilia-Muungano  Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma,wakiwa katika Ibada ya Misa Takatifu ya Sakramenti ya Kipaimara kwa Wakristo 60,katika Parokia hiyo Teule ya Mt.Cecilia-Muungano.

Vijana waliomarishwa kwa mapaji saba ya Roho Mtakatifu wakiwa katika Adhimisho la Sadaka ya Misa Takatifu ya utolewaji wa Sakramenti ya Kipaimara, katika Parokia Teule ya Mt.Cecilia-Muungano  Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma. (Picha na zote na Ndahani Lugunya)

………………………………………

Na Ndahani Lugunya,Dodoma.

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma Mhashamu Beatus Kinyaiya,ametoa wito kwa  wazazi na walezi hasa akina Mama kuacha kutoa adhabu zinazozidi kiwango kwa watoto kiasi cha kupelekea madhara kwao kimwili na kisaikolojia.

Ametoa wito huo wakati  akitoa homilia yake kwenye Ibada ya Misa Takatifu ya Sakramenti ya Kipaimara kwa Wakristo 60,katika Parokia Teule ya Mt.Cecilia-Muungano  Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma.

Askofu Mkuu Kinyaiya amesema wapo baadhi ya akina Mama wanapokorofishana na wenza wao, wamekuwa wakitoa adhabu  zisizostahili kwa watoto kutokana na hasira wanazokuwa nazo jambo ambalo limekuwa likipeleka madhara makubwa kwa watoto na hata kupoteza maisha.

“Kwa namna ya pekee naomba akina Mama msitumie hasira zenu kuumiza watoto.mmekorofishana na bwana wako unakwenda kumalizia hasira kwa mtoto.nalisema hilo  kwa sababu matukio ya namna hiyo yamekuwa yakitokea tena na tena .

Kuna akina Mama wanapiga watoto mpaka wanawaharibu.wengine wanachukua wembe wana wachanachana.ukimuuliza anakwambia nilikuwa na hasira kwa sababu ya baba yake.sasa mama mtoto amekukosea nini,labda amekosea kidogo tu adhabu unayompa haiendani na kosa si sawa hiyo,” amesema Askofu Kinyaiya.

Pamoja na suala la adhabu za kupitiliza,amewataka pia akina mama kuacha kuchukua maamuzi yenye kuleta madhara kwa familia na hata jamii kwa ujumla kutokana na hasira,pale inapotokea hali ya kutokuelewana baina yao na wenza wao.

“Naomba akina Mama msipate hasira mkafanya mambo ambayo hayastahili.na linaloendana na hilo ni hasira,unapokuwa na hasira nakuomba usifanya maamuzi uwe Baba Mama Padri au Kiongozi usifanye maamuzi ukiwa na hasira.

Unapotaka kufanya jambo ukiwa na hasira nenda chumbani ukajifungie usali na utulie,ukishatulia rudi utaamua tofauti na ulivyotaka kufanya hapo awali,’amesema Askofu Kinyaiya.

Hata hivyo ametoa wito kwa familia za Kikristo kuona umuhimu wa kujitoa kwa moyo katika kutimiza wajibu msingi wa kiroho na kimwili kwa kila mwanafamilia.

Amesema kuwa malezi bora ni lazima yashirikishe familia yote ikiongozwa na Baba na Mama pasipo mmoja wapo kukwepa majukumu yake,ili watoto walelewe katika misingi bora mfano wake ukiwa ni familia ya Yesu,Maria na Yoseph.

“Kila familia ione umuhimu wa kujitoa kabisa,kama wewe ni mwanafamilia yaani Baba,Mama au mtoto la kwanza ni kujitoa kabisa katika kutimiza wajibu.Yoseph Maria na mtoto Yesu kinachowafanya wawe watakatifu ni kule kujitoa jumla katika majukumu yao ya kawaida ya kila siku.

Yoseph pamoja na kuwa Baba mlishi lakini alijua anawajibu ule ule kama Baba wa kuhakikisha mtoto anakua na kulelewa vizuri kama watoto wengine,vivyo hivyo na Yesu nae aliwajibika kwelikweli katika shughuli za uselemala alizokuwa akizifanya baba yake Yoseph nayeye alizifanya.

Kwa hiyo naomba kila mmoja akumbuke wajibu wake katika familia na autimize vizuri.watoto muwe watii kwa wazazi,muwe watii kwa walimu na mfanye kazi zinazo wahusu zikiwemo za shuleni na nyumbani,” amesema Askofu Kinyaiya.

Askofu Kinyaia amezitaka familia ziwe na mawasiliano ya mara kwa mara, ili kujadiliana mipango mbalimbali ikiwemo masuala ya kiimani na kuziimarisha Parokia yao.

Aidha amewataka waumini ambao hawajafunga ndoa kutekeleza wajibu wao wa kiimani na kujenga tabia ya kusameheana pale wanapokoseana kuanzia kwenye familia hadi Kanisani.

“Kama watoto wa kiroho naomba tutekeleze majukumu yetu ya kiroho tunayoelezwa na Viongozi wetu wa kiroho akiwemo Baba Paroko pamoja na Viongozi wetu katika ngazi ya Jumuiya hadi  Parokia,” amesema Askofu Kinyaiya.

Hata hivyo Askofu Kinyaiya amehitimisha homilia yake kwa kuwaalika waamini na watu wote kila mmoja kwa nafasi yake, katika mwaka huu wa 2023 kujitahidi kupanda ngazi ya mabadiliko kiroho na kimwili.

Pamoja na kuadhimisha Ibada ya Misa Takatifu ya Sakramenti ya Kipaimara, Askofu Mkuu Kinyaiya amebariki nyumba ya Mapadri pamoja na tarbernakulo kwa ajili ya kuhifadhi hostia takatifu Parokiani hapo.

Ikumbukwe kwamba Parokia teuele ya Mt.Cecilia-Muungano ambayo ipo chini ya Parokia ya Mt.Gemma Galgan-Nkuhungu,ni miongoni mwa Parokia 51 za Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma,ambapo itazinduliwa rasmi kuwa Parokia kamili  Oktoba 15 mwaka huu.

 

About the author

Alex Sonna