marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet giriş

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

Starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

nakitbahis

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

holiganbet

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

Grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pokerklas

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

tipobet

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

betist

betist

casinomilyon

amgbahis

Featured Kitaifa

SERIKALI YANG’ARA MATUMIZI BORA YA ARDHI

Written by Alex Sonna

Sehemu ya wananchi wa Kijiji cha Mpambala wilayani Mkalama mkoani Singida wakiwa wameshika hati za kimila wakati wa picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa hati hizo kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

…………………………………………..

Serikali yang’ara matumizi bora ya ardhi 

Imeelezwa kuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi mbili kati ya 12 za Afrika zilizofanya vizuri zaidi katika utoaji wa hati za kimila za matumizi bora ya ardhi.

Hayo yamebainishwa na Mratibu wa Mradi wa kitaifa Bw. Joseph Kihaule wakati wa hafla ya kukabidhi hati za kimila 550 kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) katika Kijiji cha Mpambala wilayani Mkalama mkoani Singida.

Aliwahimiza wananchi waendelee kupata hati hizo kwani mafanikio makubwa yameonekana katika eneo na kusababisha baadhi ya nchi kuiga utaratibu huo ambao umeonesha mafanikio makubwa.

Aidha, Kihaule alisema pamoja na utoaji wa hati hizo za kimila, msitu wa Munguli uliopo katika Kata ya Mwangeza umelengwa kupatiwa hati miliki ya kimila ili uingizwe kwenye biashara ya hewa ya ukaa ambayo itakuwa chanzo cha mapato.

“Msitu huo utasaidia kunyonya hewa ya ukaa na biashara hiyo kama mnavyofahamu wawekezaji wamekuwa wakifika nchini mwetu kuonesha nia ya kufanya baishara hiyo,” alisema Kihaule.

Aliongeza kuwa yapo mafanikio makubwa katika zoezi la ugawaji wa hati za kimila ambapo tayari zimetolewa hati za kimila za mfano 750 katika wilaya ya Magu mkoani Mwanza, 600 wilayani Nzega mkoani Tabora.

Hata hivyo, hati za kimila 351 zilizobakia kati ya 901 zinatarajiwa kutolewa kwa wananchi wa Kijiji cha Mwangeza kupitia mradi huo na hivyo kupunguza changamoto ya migogoro ya matumizi ya ardhi. 

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkalama Mhe. James Mkwega alitoa shukrani kwa Ofisi ya Makamu wa Rais inayoratibiwa mradi huo na kusema umekuja wakati muafaka kwa wananchi wilayani humo.

Alisema kuwa kutokana na changamoto ya ukame inayokabili wilaya hiyo hususana katika kijiji hicho, mradi huo utakuwa na manufaa ambayo yameanza kuonekana ikiwemo kuimarika kwa kilimo cha mpunga na ufugaji nyuki.  

Mhe.Mkwega alisema upatikanaji wa hati za kimila utasaidia kupunguza migogoro ya matumizi ya ardhi katika maeneo ya wanufaika ambao wamekuwa wakitumia muda mrefu kufuatilia mashauri badala ya kuzalisha.

Aidha, mwenyekiti huyo alitoa wito kwa wananchi hao kufuata mpango wa matumizi bora ya ardhi katika maeneo yao ili kuwa na maendeleo endelevu katika matumizi ya ardhi.

Kwa upande wao wananchi wa kijiji cha Mpambala walionufaika na hati hizo za kimila, Bi. Regina Edward alisema zitasaidia kupunguza migogoro ya ardhi na kufaidika na fursa za mikopo kwa ajili ya maendeleo.

Nae Simon Mluta alishukuru Mradi wa LDFS ambao pia unawachimbia visima na majosho ambayo yatasaidia kuondoa changamoto ya uhaba wa maji kutokana na ukame.

Mradi huo unatekelezwa katika halmashauri tano hapa nchini zikiwemo Magu (Mwanza), Nzega (Tabora), Kondoa (Dodoma), Mkalama (Singida) na Micheweni (Pemba). 

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkalama mkoani Singida Mhe. James Mkwega akikabidhi hati ya kwa mmoja wa wanakijiji cha Mpambala wilayani kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkalama mkoani Singida Mhe. James Mkwega akizungumza na wananchi wakati wa hafla ya utoaji wa hati za kimila kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais

Mratibu wa Mradi Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) Bw. Joseph Kihaule akizungumza wakati wa wa hafla ya utoaji wa hati za kimila kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Sehemu ya wananchi wa Kijiji cha Mpambala wilayani Mkalama mkoani Singida wakiwa katika hafla ya kukabidhi hati za kimila kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Mratibu wa Mradi Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) Bw. Joseph Kihaule (katikati) na Meneja wa Kanda ya Kati wa Tume ya Taifa ya Mipango na Matumizi ya Ardhi Bi. Suzana Mapunda (kulia) wakihakiki hati ya kimila ya mmoja ya wananchi wa Kijiji cha Mpambala wilayani Mkalama mkoani Singida wakati wa hafla ya utoaji wa hati za kimila kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Sehemu ya wananchi wa Kijiji cha Mpambala wilayani Mkalama mkoani Singida wakiwa wameshika hati za kimila wakati wa picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa hati hizo kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

 

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

About the author

Alex Sonna