Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

SERIKALI YANG’ARA MATUMIZI BORA YA ARDHI

Written by Alex Sonna

Sehemu ya wananchi wa Kijiji cha Mpambala wilayani Mkalama mkoani Singida wakiwa wameshika hati za kimila wakati wa picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa hati hizo kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

…………………………………………..

Serikali yang’ara matumizi bora ya ardhi 

Imeelezwa kuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi mbili kati ya 12 za Afrika zilizofanya vizuri zaidi katika utoaji wa hati za kimila za matumizi bora ya ardhi.

Hayo yamebainishwa na Mratibu wa Mradi wa kitaifa Bw. Joseph Kihaule wakati wa hafla ya kukabidhi hati za kimila 550 kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) katika Kijiji cha Mpambala wilayani Mkalama mkoani Singida.

Aliwahimiza wananchi waendelee kupata hati hizo kwani mafanikio makubwa yameonekana katika eneo na kusababisha baadhi ya nchi kuiga utaratibu huo ambao umeonesha mafanikio makubwa.

Aidha, Kihaule alisema pamoja na utoaji wa hati hizo za kimila, msitu wa Munguli uliopo katika Kata ya Mwangeza umelengwa kupatiwa hati miliki ya kimila ili uingizwe kwenye biashara ya hewa ya ukaa ambayo itakuwa chanzo cha mapato.

“Msitu huo utasaidia kunyonya hewa ya ukaa na biashara hiyo kama mnavyofahamu wawekezaji wamekuwa wakifika nchini mwetu kuonesha nia ya kufanya baishara hiyo,” alisema Kihaule.

Aliongeza kuwa yapo mafanikio makubwa katika zoezi la ugawaji wa hati za kimila ambapo tayari zimetolewa hati za kimila za mfano 750 katika wilaya ya Magu mkoani Mwanza, 600 wilayani Nzega mkoani Tabora.

Hata hivyo, hati za kimila 351 zilizobakia kati ya 901 zinatarajiwa kutolewa kwa wananchi wa Kijiji cha Mwangeza kupitia mradi huo na hivyo kupunguza changamoto ya migogoro ya matumizi ya ardhi. 

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkalama Mhe. James Mkwega alitoa shukrani kwa Ofisi ya Makamu wa Rais inayoratibiwa mradi huo na kusema umekuja wakati muafaka kwa wananchi wilayani humo.

Alisema kuwa kutokana na changamoto ya ukame inayokabili wilaya hiyo hususana katika kijiji hicho, mradi huo utakuwa na manufaa ambayo yameanza kuonekana ikiwemo kuimarika kwa kilimo cha mpunga na ufugaji nyuki.  

Mhe.Mkwega alisema upatikanaji wa hati za kimila utasaidia kupunguza migogoro ya matumizi ya ardhi katika maeneo ya wanufaika ambao wamekuwa wakitumia muda mrefu kufuatilia mashauri badala ya kuzalisha.

Aidha, mwenyekiti huyo alitoa wito kwa wananchi hao kufuata mpango wa matumizi bora ya ardhi katika maeneo yao ili kuwa na maendeleo endelevu katika matumizi ya ardhi.

Kwa upande wao wananchi wa kijiji cha Mpambala walionufaika na hati hizo za kimila, Bi. Regina Edward alisema zitasaidia kupunguza migogoro ya ardhi na kufaidika na fursa za mikopo kwa ajili ya maendeleo.

Nae Simon Mluta alishukuru Mradi wa LDFS ambao pia unawachimbia visima na majosho ambayo yatasaidia kuondoa changamoto ya uhaba wa maji kutokana na ukame.

Mradi huo unatekelezwa katika halmashauri tano hapa nchini zikiwemo Magu (Mwanza), Nzega (Tabora), Kondoa (Dodoma), Mkalama (Singida) na Micheweni (Pemba). 

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkalama mkoani Singida Mhe. James Mkwega akikabidhi hati ya kwa mmoja wa wanakijiji cha Mpambala wilayani kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkalama mkoani Singida Mhe. James Mkwega akizungumza na wananchi wakati wa hafla ya utoaji wa hati za kimila kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais

Mratibu wa Mradi Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) Bw. Joseph Kihaule akizungumza wakati wa wa hafla ya utoaji wa hati za kimila kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Sehemu ya wananchi wa Kijiji cha Mpambala wilayani Mkalama mkoani Singida wakiwa katika hafla ya kukabidhi hati za kimila kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Mratibu wa Mradi Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) Bw. Joseph Kihaule (katikati) na Meneja wa Kanda ya Kati wa Tume ya Taifa ya Mipango na Matumizi ya Ardhi Bi. Suzana Mapunda (kulia) wakihakiki hati ya kimila ya mmoja ya wananchi wa Kijiji cha Mpambala wilayani Mkalama mkoani Singida wakati wa hafla ya utoaji wa hati za kimila kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Sehemu ya wananchi wa Kijiji cha Mpambala wilayani Mkalama mkoani Singida wakiwa wameshika hati za kimila wakati wa picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa hati hizo kupitia Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini (LDSF) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

 

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

About the author

Alex Sonna