marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

teosbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

casinoroyal

kavbet

marsbahis

perabet giriş

kavbet

mavibet giriş

mavibet giriş

imajbet

mavibet

pashagaming

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

ultrabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

grandpashabet

galabet

İkimisli

onwin

sahabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lunabet

lunabet giriş

imajbet

bahiscasino

perabet

lunabet

kavbet

artemisbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

nesinecasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

artemisbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

hitbet

kavbet

kavbet

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

galabet giriş

interbahis

agb99

Featured Kitaifa

WALEZI WA KLABU ZA MAADILI WAASWA KUWA NA MAADILI

Written by Alex Sonna

KAIMU Katibu Msaidizi Kanda ya Kati –Dodoma  Bi. Modesta Mtui,akizungumza wakati akifungua mafunzo ya maadili kwa walezi wa klabu za maadili kutoka shule mbalimbali za msingi na sekondari   Halmashauri ya Jiji la Dodoma .Kushoto kwake ni  Afisa  uchunguzi  Sekretarieti ya Maadili Bw. Anno Mgani na kulia kwa Kaimu Katibu ni Afisa Uchunguzi Sekretarieti ya Maadili Bi. Philipina Kobelo yaliyofanyika leo Oktoba 28,2022 jijini Dodoma.

…………………..

Kaimu Katibu  Msaidizi Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma  kanda ya kati Dodoma  Bi. Modesta Mtui,amewaasa walezi wa klabu za maadili kuwa na maadili mema katika jamii inayowazunguka.

Hayo ameyasema  leo Oktoba 28,2022 jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo ya walezi wa klabu za maadili kwa shule za Sekondari na Msingi  katika Halmashauri ya Jiji la  Dodoma .

  Bi. Mtui alisema  kuwa walezi wa klabu za maaadili  wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika kuwa na maadili mema kwani mtoto anachokiona ndicho atakachokiishi hivyo mwalimu yeyote ni kioo kwa wanafunzi wake “Ni ngumu sana kwa mwalimu ambaye hana  maadili  kumfundisha mwanafunzi  kuwa na maadili  mema na mwanafunzi akaelewa’’’alisema.

Bi. Modesta alisema kuwa  lengo la mafunzo hayo kwa walezi wa klabu hizo  ni kupata uelewa wa pamoja juu ya dhana pana  ya maadili ili walezi hao wa klabu za maadili wawasaidie wanafunzi   kuyaishi  yale wanayofundishwa  jambo litakalowasaidia  kuwa waadilifu toka utotoni hata watakapokua wakubwa.

Bi. Modesta alieleza kuwa   Serikali kupitia Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma  ambacho ndio chombo kikuu cha usimamizi wa maadili ya Viongozi nchini , iliona ni vyema kueneza maadili kwa wanafunzi walioko ngazi mbalimbali za masomo kama vile shule za msingi , sekondari pamoja  na vyuo vikuu  kwa kuanzisha klabu za maadili  ikiaminika kuwa tabia na mienendo mwema kwa binadamu hufundishwa tangu akiwa mdogo na hasa akiwa shuleni au chuoni.

Aidha Bi. Modesta alisema kuwa Lengo la kuanzishwa kwa klabu za maadili  ni  kuwajengea  wanafunzi  na wanavyuo misingi bora ya maadili tangu wakiwa shuleni na vyuoni. Klabu hizo pia zitasaidia kuwatengeneza mabalozi wazuri wa Sekretarieti ya Maadili watakaosaidia kueneza na kuelimisha familia zao kwa ujumla juu ya suala la maadili. Klabu hizo pia zitawasaidia wanafunzi kujitambua na kujipambanua kitabia na kuachana na mienendo isiyofaa.

Akibainisha changamoto wanazokutana nazo walezi  wa klabu za maadili  ambao ni waalimu wa shule mbalimbali Mwalimu Marcus Magwa ambaye ni mlezi wa klabu ya maadili  katika shule ya sekondari  Dodoma  alisema kuwa  kutokana na kukua kwa utandawazi kwa sasa watoto wengi wanapata misukumo ya mienendo mibaya kutoka kwenye mitandao  jambo linalowafanya watoto hao kuona kuwa kuwa na maadili ni ushamba mfano katika suala la mavazi mtoto anaona kuvaa nguo zinazomstiri mwili wake ni jambo lililopitwa na wakati.

Aidha Mwalimu Marcus alitoa wito kwa wazazi kutenga muda wa kukaa na watoto wao  na kufuatilia mienendo yao ili kuweza kubaini mapema  iwapo mtoto ana mienendo isiyofaa ili washirikiane na waalimu kuweza kudhibiti hali hiyo mapema .

Pamoja na hayo Mwalimu Marcus alitoa rai kwa Sekretarieti ya Maadili kuongeza kasi ya kueneza maadili nchini hususan kutoa elimu ya mara kwa mara kwa wanachama wa klabu ya maadili  ili kuendana na kasi ya ukuaji wa utandawazi nchini  ’’ utandawazi una nguvu unakua kwa kasi sana’’ alisema.

Katika mafunzo hayo  walezi wa klabu za maadili  watapata  uelewa  wa  pamoja  juu  ya  shughuli  zinazotekelezwa  na  Sekretarieti  ya  maadili,  majukumu ya Sekretarieti ya Maadili .Katika mafunzo hayo walezi wa klabu za maadili watapata fursa ya  kupitia mwongozo wa kuanzisha na kuendesha klabu za maadili katika shule za msingi, Sekondari na Vyuo vya elimu Tanzania na kutoa maoni yao juu ya namna bora ya  utekelezaji wa mwongozo huo.

KAIMU Katibu Msaidizi Kanda ya Kati Dodoma  Bi. Modesta Mtui,akizungumza wakati akifungua mafunzo ya maadili kwa walezi wa klabu za maadili kutoka shule mbalimbali za msingi na sekondari   Halmashauri ya Jiji la Dodoma .Kushoto kwake ni  Afisa  uchunguzi  Sekretarieti ya Maadili Bw. Anno Mgani na kulia kwa Kaimu Katibu ni Afisa Uchunguzi Sekretarieti ya Maadili Bi. Philipina Kobelo yaliyofanyika leo Oktoba 28,2022 jijini Dodoma.

KAIMU Katibu Msaidizi Kanda ya Kati Dodoma  Bi. Modesta Mtui,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua mafunzo ya maadili kwa walezi wa klabu za maadili kutoka shule mbalimbali za msingi na sekondari   Halmashauri ya Jiji la Dodoma yaliyofanyika leo Oktoba 28,2022 jijini Dodoma.

About the author

Alex Sonna