marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

teosbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

casinoroyal

kavbet

marsbahis

perabet giriş

kavbet

mavibet giriş

mavibet giriş

imajbet

mavibet

pashagaming

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

ultrabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

grandpashabet

galabet

İkimisli

onwin

sahabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lunabet

lunabet giriş

imajbet

bahiscasino

perabet

lunabet

kavbet

artemisbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

nesinecasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

artemisbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

hitbet

kavbet

kavbet

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

galabet giriş

interbahis

agb99

Featured Kitaifa

KAMATI KUU YAMPONGEZA RAIS SAMIA NA RAIS DKT.MWINYI

Written by Alex Sonna

Mwenyekiti  wa Chama cha Mapinduzi Taifa pia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan (katikati) mara akiingia katika Ukumbi wa Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika leo Chamwino Mkoani Dodoma. 

………………………..

*Ni kuhusu utayari wake wa kuimarisha demokrasia, kikosi kazi chatajwa kuwa kielelezo

*Pia yampongeza Rais Dk. Hussein Mwinyi kwa kuendelea kuimarisha uhusiano wa kisiasa Z’bar

Na MWANDISHI WETU

KAMATI Kuu ya  Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imefurahishwa na kumpongeza Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuonesha kwa vitendo nia yake ya kuimarisha demokrasia.

Pongezi hizo za Kamati Kuu zinatokana na hatua ya Rais Samia kupokea ripoti ya kikosi kazi alichokiunda kuratibu maoni na mapendekezo ya wadau mbalimbali juu ya mchakato wa mustakabali wa taifa katika uendeshaji wa siasa.

Hayo yameelezwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka kupitia taarifa yake kwa umma kuhusu kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichoketi leo Oktoba 28, 2022 Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma na kuongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia.

“Pamoja na mambo mengine Kamati Kuu imempongeza kwa dhati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Samia Suluhu Hassan kwa hatua ya kupokea ripoti ya kikosi kazi alichokiunda kuratibu maoni na mapendekezo ya wadau mbalimbali juu ya mchakato wa mustakabali wa taifa letu katika uendeshaji wa siasa.

“Hatua hiyo kubwa na ya kupigiwa mfano, tangu alipoingia madarakani Ndugu Samia Suluhu Hassan amekuwa mstari wa mbele katika kusimamia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, kuimarisha demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini na ujenzi wa maridhiano ya kitaifa ili kuliwezesha taifa letu kuendelea kuwa lenye utulivu wa kisiasa, umoja na amani kwa maendeleo endelevu,” amesema Shaka katika taarifa hiyo.

RAIS MWINYI PIA APONGEZWA

Aidha, Shaka amesema Kamati Kuu pia imempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi kwa hatua yake ya kuendelea kuimarisha mahusiano ya kisiasa visiwani Zanzibar ambapo ameunda kikosi kazi cha kuratibu maoni kwa upande wa mambo maalum yanayohusu Zanzibar na kinaendelea vyema na majukumu yake hatua ambayo itaimarisha demokrasia, umoja na mshikamano.

Katika hatua nyingine Kamati Kuu imepokea taarifa ya awali ya maandalizi ya Mkutano Mkuu wa kumi (10) wa CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika mwezi Disemba, 2022.

Shaka amesema Kamati Kuu imeridhishwa na hatua mbalimbali za maandalizi ya Mkutano Mkuu huo wa kawaida utakaofanyika kwa mujibu wa Katiba ya CCM ya mwaka 1977 toleo la mwaka 2022 Ibara ya 99(3),

“Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa utafanya mikutano yake ya kawaida mara tatu katika kipindi cha miaka mitano. Mikutano miwili kati ya hiyo itakuwa ya uchaguzi na mmoja utakuwa wa kazi. Kalenda ya vikao vya Chama itaonesha ni lini mikutano mitatu hiyo itafanyika. Lakini mkutano usiokuwa wa kawaida unaweza kufanyika wakati wowote ukiitishwa na Mwenyekiti wa CCM au ukiombwa na theluthi mbili ya wajumbe wote wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.” amesema Shaka akinuku kifungu cha Katiba ya CCM.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa pia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akifuatana Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Adalla Juma Sadala (kushoto)alipowasili Chamwino kushiriki Kikao cha  Kamati Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo (katikati) Naibu Katibu Mkuu CCM Bara.[Picha na Ikulu] 28/10/2022. Mwenyekiti  wa Chama cha Mapinduzi Taifa pia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan (katikati) mara akiingia katika Ukumbi wa Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika leo Chamwino Mkoani Dodoma. Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa pia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamo wa Mwenyekiti wa CCM Bara Mhe.Abrahaman Kinana(katikati)  kabla ya kuanza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Chamwino Mkoani Dodoma(kulia) Makamo wa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dk.Philip Mpango.[Picha na Ikulu] 28/10/2022. 

Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM wakiteta katika ukumbi wa Mikutano wa Chamwino Mkoani Dodoma kabla ya kuanza Kikao hicho leo (kulia) Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Tulia Acson na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibae Mhe.Zubeir Ali Maulid(kushoto).[Picha na Ikulu] 28/10/2022.

About the author

Alex Sonna