slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet giriş

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

casinowon

wbahis

betpuan

sekabet

bahiscasino

vdcasino giriş

vdcasino

piabet

Featured Kitaifa

WAZAZI NA WALEZI WAKUMBUSHWA WAJIBU WAO WA MALEZI KWA WATOTO

Written by Alex Sonna
Na Ndahani Lugunya,Dodoma.
Ili kuhakikisha  mtoto analelewa vema  kiroho na kimwili,imeelezwa kwamba zipo hatua mbalimbali ambazo zinatakiwa kufuatwa na mzazi au mlezi, ikiwa ni pamoja na kumlea katika hekima na busara ili akuwe katika maadili mema.
Hayo yameelezwa na Makamu Mwenyekiti wa Utume wa Wanaume Katoliki (UWAKA) Dekania ya Mt.Petro Mtume na Katibu wa UWAKA Parokia ya Mt.Petro Mtume-Swaswa Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma,Bw. Peter Mhagwa ,wakati akizungumza na MZALENDO BLOG kuhusu Malezi ya Wazazi kwa watoto.
 Mhagwa alisema kuwa  mtoto anapolelewa katika maadili mema inamsaidia kuishi vema na jamii inayomzungumka kwa wakati uliopo na wa baadaye,na hata pale anapokuwa Kiongozi katika Jamii au Kanisa ataendelea kuwa Kiongozi mwenye maadili mema.
“Lakini wajibu mwingine  ni kumlinda mtoto katika hatari zote za kiroho na za kimwili huo ni wajibu mkubwa wa mzazi, kwa sababu mtoto anapokuwa anaendelea kukua yeye wakati mwingine anakua hajui hatari anazozipitia lakini wewe kama mzazi unazijua hatari mtoto anazoweza kupitia.”amesema
Pia ametaja wajibu mwingine wa mzazi ni kumpa mtoto haki zake za msingi stahiki ikiwemo elimu na afya lakini pia kumuelimisha mazingira anayoishi ni mojawapo ya haki ya msingi.
Aidha  ameeleza  wajibu mwingine wa mzazi au mlezi kwa mtoto ni kumfundisha mtoto kazi za mikono,kwani wapo baadhi ya wazazi hawawafundishi watoto wao kazi za mikono jambo linalopelekea watoto kubweteka na kulemaa kiakili.
“Kuna wazazi wengine hawawafundishi wazazi kazi za mikono sasa hiyo ni moja ya sehemu ya kazi ya mzazi kumuelekeza mtoto afanye kazi za mikono na mfano mzuri hapa ni familia ya Yesu,Maria na Yoseph ambapo Yoseph alikuwa akimfundisha mtoto Yesu kazi za uselemala na Yesu akawa anazifanya.
Kwa hiyo sisi kama wazazi tunatakiwa kuwafundisha watoto wetu kazi mbalimbali za mikono ili waweze kuzijua kama ni kulima,kufagia,kuchota maji na shughuli zote zinazolingana na mazingira anayoishi mzazi.
Kwa hiyo mzazi ni lazima kumfundisha mtoto shughuli mbalimbali ili asibweteke kwa sababu maisha anayoishi asitegemee tu kwamba kutakuwa pengine kuna dada wa kazi ambaye atamfanyia kazi pasipo na yeye kufanya kazi.
Na akitegemea kufanyiwa kila kitu na Dada wa kazi atalemaa na kuona kwamba ni kawaida tu kufanyiwa kazi kumbe anajilemeza maisha yake yote na hayatakuwa mazuri,” alisema.
Hata hivyo Ndg Mhagwa aliwaomba wazazi na walezi wanapowalea watoto wao,wanapaswa kuangalia mazingira ya baadaye huku akiwataka kuwa waangalifu katika suala la teknolojia kwani lisipotumiwa vema linaweza kuharibu kizazi kilichopo na kijacho.
“Wajibu mwingine wa mzazi ni kumfundisha mtoto kutimiza madaraka yake mwenyewe.kwamba mtoto pengine inawezekana ndani ya familia ni Kaka au Dada lakini pengine anawaongoza wale wadogo zake au kaka zake kwa hiyo lazima atimize huo wajibu kama madaraka kwa maana ya kuwasimamia vema watoto ili waweze kutimiza wajibu wao.
Lakini wajibu mwingine wa mzazi ni kumfundisha mtoto kusema asante au kushukuru anapopewa kitu chochote kilicho chema manaake ni lazima ashukuru,kumfundisha kusema asante manaake ni sehemu tena ya kuongeza fursa ya kupata kingine.
Sasa mtoto anapokuwa anapewa kitu na hasemi asante manaake jamii inayomzunguka inamchukulia kwamba huyo mtoto hajafundishwa malezi mazuri kiasi cha kushindwa hata kusema asante.kwa hiyo kumfundisha mtoto kusema asante usisubiri tu hadi afikie umri flani ndo uanze kumfundisha,” alisema Ndg Mhagwa.
Alisema kwamba pamoja na wajibu na majukumu mbalimbali anayopaswa kufanya mzazi au mlezi kwa mtoto wake,kumfundisha Neno la Mungu  ni moja ya wajibu mkubwa alionao mzazi au mlezi kwa mtoto.
Alisema Neno la Mungu kitabu cha Mithali 22:6 kinaeleza namna mzazi au mlezi anavyopaswa  kumlea mtoto wake,ili njia zote anazopitia apite katika Neno la Mungu kwani maisha yote ya mwanadamu yamefumbatwa katika Neno la Mungu.
Aidha pamoja na wajibu huo wa kumfundisha Neno la Mungu,Ndg Mhagwa alisema kwamba wajibu mwingine wa mazazi ni kuzungumza bayana mambo yanayomhusu mtoto,ili kumjengea mtoto uhuru wa kuelezea yale anayokutana nayo.
“Yawezekana huko alikokuwa anacheza akaja kukwambia Baba au Mama kile alichokutana nacho kwa hiyo msikilize halafu uchukue hatua.kwa sababu sasa hivi watoto wanafanyiwa vitendo vya kikatili ikiwemo kulawitiwa na kubakwa sasa usipotenga muda wa kukaa na kumsikiliza mtoto ataendelewa kuathiliwa.kwa hiyo ni lazima tuzungumze na watoto tuone namna ya kuwasaidia,” alisema Ndg Mhagwa.
Sanjari na hayo alisema mzazi au mlezi anaowajibu wa kusikiliza kero na changamoto mbalimbali za mtoto.
“Wajibu mwingine wa mzazi au mlezi na kusikiliza kero za mtoto kwa sababu sasa hivi wazazi wana mambo mengi.mzazi anaondoka asubuhi anarudi jioni na akifika nyumbani amechoka na kuchoka kule anakosa muda wa kusikiliza kero za watoto.lakini mzazi unatakiwa kutega sikio lako usikilize kero za watoto,” alisema Ndg Mhagwa.

About the author

Alex Sonna