Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

vdcasino

lordcasino

marsbahis

vipslot

celtabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

betlivo

eyfelcasino

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

casival

luxbet

betnis

parmabet

betvoy

holiganbet

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

armabahis

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

betlivo

hazbet

netbahis

betra

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

robinbet giriş

casibom giriş

holiganbet

bets10

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

Gameofbet

jojobet

betmarino

avrupabet

lordcasino giriş

dengebet

celtabet

betcool

kareasbet

betcool

millibahis

betnis giriş

casival

betvoy

hazbet

betnef

avrupabet

betmarino giriş

betmani

betvakti

marsbahis

prensbet

betmani

millibahis

eyfelcasino

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

gobahis

betnef

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

armabahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

grandpashabet

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat giriş

jojobet

radissonbet

sweet bonanza

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

betvakti

parmabet

gobahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

mislibet giriş

cratosroyalbet

mislibet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

porno izle

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casinomaxi

jojobet

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

test

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

TAMCODE YATAKA MAJAJI WATOE HUKUMU YA KIFUNGO CHA MAISHA BADALA YA ADHABU YA KIFO

Written by Alex Sonna
Mkurugenzi Mtendaji wa TAMCODE, Rose Ngunangwa Mwalongo
 
Na Kadama Malunde  – Malunde 1 blog
 
Shirika la Vyombo vya Habari kwa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TAMCODE) limetoa wito kwa Majaji kutoa hukumu ya kifungo cha maisha kwa washtakiwa wa mauaji badala ya kifo ili kuokoa watu wasiokuwa na hatia.
 
Akizungumza na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi Mtendaji wa TAMCODE, Rose Ngunangwa Mwalongo Leo Oktoba 10 ikiwa ni Siku ya Kupinga Adhabu ya Kifo Duniani amesema TAMCODE inaungana na dunia kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga Adhabu ya Kifo ambapo kauli mbiu ya mwaka huu 2022 ni ‘Hukumu ya Kifo, Njia Iliyogubikwa na Utesaji.’
 
 
Mwalongo anaeleza kuwa Kauli mbiu hii inakuja wakati ambapo dunia imeshuhudia baadhi ya shuhuda juu ya waliohukumiwa kifo kuwa walikubali makosa kutokana na kushurutishwa kwa njia za utesaji.
 
“Iwe ni Kweli au la mchakato wa kuhojiwa unaweza kuwa na matatizo na ni vigumu sana kuthibitisha kama mtuhumiwa alitoa ushahidi kwa kushurutishwa au la. Itoshe tu kusema kuwa yapo mambo mengi ambayo yamejificha katika kila ushahidi uliotolewa”,amesema.
 
“TAMCODE inatambua uwepo wa Kifungu cha 197 cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ambacho kinaweka bayana kuwa ‘Mtu anayepatikana na kosa la mauaji atahukumiwa kifo,’ lakini pia inatambua kwamba kumekuwepo na majaji ambao wametoa hukumu mbadala badala ya kifo, ambapo wale ambao wangehukumiwa kunyongwa, walihukumiwa kifungo cha maisha”,ameeleza.
 
 
Amesema TAMCODE inatambua pia jitihada zote za Rais aliyepo madarakani Mhe. Samia Suluhu Hassan ambaye hajasaini hukumu ya kifo na nia njema ya kubatilisha adhabu za wale waliohukumiwa kifo, hali ambayo imeifanya Tanzania kuwa katika rekodi ya kutokunyonga tangu mwaka 1994. Hakika hili linastahili kupongezwa.
 
 
“Wakati tunapongeza nchi yetu kutokunyonga kwa muda mrefu, TAMCODE inapenda kuunga mkono wito uliotolewa na mmoja wa Majaji wastaafu wazoefu wa Mahakama ya Rufaa Tanzania Madam Engera Kileo juu ya haja ya kuondoa hukumu ya kifo katika sheria kutokana na aliyenyongwa kutokuwa na nafasi ya kubatilishiwa hukumu kwani “mahakama zinaweza kufanya makosa na upo uwezekano wa kufanya makosa ya kibinadamu ambayo yanaweza kusababisha watu wasiokuwa na hatia kunyongwa”,amesema Mwalongo.
 
 
Mwalongo amebainisha kuwa TAMCODE inapendekeza Majaji watumie utashi wao kutoa hukumu za kifungo cha maisha badala ya hukumu ya kifo kwani ni suala lisilofichika kuwa mahakama zinaweza kufanya makosa, hali ambayo inaweza kusababisha watu wasiokuwa na hatia kuhukumiwa kifo. Tuna imani kuwa hii itasaidia wale waliohukumiwa kimakosa kuwa na nafasi nyingine ya kukata rufaa na pengine kupewa msamaha.
 
“Pia Bunge lipitie upya na kufanyia marekebisho ya baadhi ya sheria ikiwa ni pamoja na Sheria ya Magereza ya mwaka 1967 na haswa vifungu ambavyo vinaweka vikwazo kwa waandishi wa habari kupata taarifa kutoka magerezani. Vifungu hivyo vitengeneze mazingira ya sera ya uwazi kama ilivyo kwa Kenya na Uganda”,amesema Mwalongo.
 
 
 
Amesema TAMCODE inapendekeza Bunge lifanyie marekebisho Kifungu cha 197 cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai kuwa na kifungo cha maisha badala ya hukumu ya kifo ili kutoa nafasi kwa majaji kutumia utashi wao wa kisheria kuamua vinginevyo kuliko ilivyo sasa ambapo majaji wengine wanahisi kuwa wamefungwa mikono.
 
 
“Mapendekezo mengine ni Wizara ya Afya itenge rasilimali zaidi kwa ajili ya afya ya akili kuwezesha kubaini dalili za awali za msongo wa mawazo na sonona ambavyo vinaweza kuwa sehemu ya sababu za baadhi ya mauaji yaliyojitokeza nchini katika miaka ya hivi karibuni na hivyo kupelekea watuhumiwa wengi kuhukumiwa kunyongwa”,ameongeza.
 
 
Mwalongo amesema TAMCODE ingependa kila mtu kujifunza kutokana na maneno ya Rob Warden, Mkurugenzi Mtendaji wa “Centre on Wrongful Convictions” (Kituo cha Hukumu za Kimakosa) ambapo alinukuliwa akisema “Iwe unaunga mkono au unapinga hukumu ya kifo, msimamo wako utabadilika pale utakaposoma maneno ya mwisho ya aliyehukumiwa kunyogwa—mengine ni ya huzuni, mengine yasiyofaa kusikia, mengine ya kuchekesha, yote ni janga. Kitu kinachotisha zaidi ni kufikiria kuwa baadhi ya wale walioshuhudia kuwa hawana hatia hadi mwisho huenda wanaweza kuwa walikuwa wanasema kweli.”
 
 
Amesema hofu waliyo nayo TAMCODE kuwa wengine ambao wameshuhudia kuwa hawana hatia hadi mwisho huenda ni kweli walikuwa hawana hatia.
 
 
Shirika la Vyombo vya Habari kwa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TAMCODE)ni asasi isiyokuwa ya kiserikali inayojitoa kuchangia maendeleo ya jamii kupitia kujengea uwezo, kufanya tafiti na utetezi ili kuwezesha vyombo vya habari vya kitaifa na vya kijamii kutoa taarifa za masuala ya maendeleo kwa kuzingatia utu, huruma, kutokufungamana na upande wowote na kutumia jicho la jinsia.

About the author

Alex Sonna