marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

matbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

betoffice

marsbahis

perabet giriş

interbahis

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betparibu, betparibu giriş

zirvebet, zirvebet giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

meritking güncel giriş

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

Starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

pokerklas

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pokerklas

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

casibom

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

deneme bonusu

hackhaber

Featured Kitaifa

SAUTI PROGRAMU KUZALISHA MIFUGO BORA KWA MAHITAJI YA SOKO LA NDANI NA NJE YA NCHI

Written by Alex Sonna

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki (wa pili kushoto) akizungumza na vijana waliochaguliwa kujiunga kwenye vituo atamizi (hawapo pichani) wakati alipotembelea Chuo cha Mafunzo ya Mifugo (LITA) Kampasi ya Mabuki mkoani Mwanza ambapo amewaeleza vijana hao malengo na matarajio ya serikali ya kuanzisha vituo hivyo, hasa kwa kuhakikisha wanapata ujuzi na uzoefu wa kuweza kufuga mifugo kisasa na kibiashara.

………………………..

Programu ya Samia Ufugaji kwa Tija inakwenda kumaliza changamoto ya upatikanaji wa mifugo bora inayohitajika kwa ajili ya soko la ndani na nje ya nchi.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki wakati anazungumza na vijana waliochaguliwa kujiunga na vituo atamizi kwa ajili ya kupata mafunzo ya ufugaji kwa vitengo katika Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Kampasi ya Mabuki mkoani Mwanza ili waweze kufuga kisasa na kibiashara.

Waziri Ndaki amesema kuwa prograu hii kwanza imelenga kuwabadilisha vijana kifikra kwa kuwapatia mbinu mbalimbali za ufugaji wa kisasa na kibiashara ikiwa ni pamoja na kuwaonyesha fursa zilizopo kupitia Sekta ya Mifugo na namna ya kuzitumia kwa tija.

Programu hii imeanzishwa kwa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa wakati wa kuhitimisha sherehe za Wakulima – Nanenane zilizohitimishwa mkoani Mbeya ambapo aliagiza Sekta ya Mifugo kuanzisha vituo kwa ajili ya kuwajengea uwezo vijana ili waweze kujiajiri kupitia ufugaji.

Waziri Ndaki amesema kuwa lengo la SAUTI Programu ni kuwawezesha vijana kuanzisha na kuendesha miradi ya ufugaji wa mifugo kibiashara, kuwapatia vijana stadi rahisi kwa vitendo za namna bora ya kuanzisha na kuwekeza katika miradi ya ufugaji wa mifugo, kuwawezesha vijana kupata ujuzi, uzoefu na ujasiri wa kuanzisha miradi ya ufugaji kibiashara, pia kuwaunganisha vijana kwenye mnyororo wa thamani wa uzalishaji wa mazao ya mifugo kibiashara.

Kutokana na malengo hayo, SAUTI Programu inakwenda kuongeza ajira kwa vijana kupitia Sekta ya Mifugo na hivyo kuifanya Sekta hiyo kuongeza kipato kwa wafugaji wenyewe lakini pia mchango wa Sekta kwenye pato la Taifa.

Hivyo amewataka vijana hao kutumia fursa hiyo vizuri kwa kuwa Wizara imeshawaandalia maeneo ambayo watapatiwa mara baada ya kukamilika kwa mafunzo hayo ili waweze kuanza kufuga kutokana na elimu watakayokuwa wameipata. Pia amewataka vijana ambao wamechaguliwa lakini hawajafika kufika, kwani wasipofanya hivyo watachukuliwa vijana wa akiba kuja kuziba nafasi zilizo wazi.

Aidha, Waziri Ndaki ameendelea kuwasihi viongozi wa mikoa na wilaya kuendelea kusimamia zoezi la uwekaji alama za utambuzi kwenye mifugo katika maeneo yao kwani serikali imeongeza mwezi mmoja ambapo baada ya Oktoba 30, 2022 hatua za kisheria zitaanza kuchukuliwa kwa wafugaji ambao mifugo yao haina alama za utambuzi.

Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo Tanzania (LITA), Dkt. Pius Mwambene amesema kuwa tayari umeshaandaliwa mwongozo utakaotumika kufuga kisasa ambao utawasaidia vijana kama rejea yao hasa pale kutakapokuwa na kitu kinachotaka kuwakwamisha.

Dkt. Mwambene amasema kuwa vijana hao wataanza kujifunza kwa vitendo kuanzia kwenye ujenzi wa mabanda, manunuzi ya chakula na ng’ombe na katika kufanya biashara ili shughuli zote wazielewe.

Mkurugenzi wa Utafiti wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI), Dkt. Daniel Komwihangilo akiwasihi vijana waliochaguliwa kujiunga na vituo atamizi kuhakikisha wanafanya kazi za ufugaji kwa vitendo kwa bidii ili malengo yaliyokusudiwa na serikali dhidi yao yaweze kutimia.

Akizungumza kwa niaba ya vijana hao, Adelina Bilembo amesema ameishukuru serikali kwa kuanzisha vituo hivyo vyenye lengo la kuwajengea kuwe wa ufugaji kwa vitendo na kuona vijana katika sekta ya mifugo wanahitaji kuwezeshwa.

Naye Baraka Ezekiel ameahidi kuwa wataweka juhudi kubwa katika kujifunza ili malengo yaliyowekwa na serikali ya kuwajengea uwezo vijana kupitia ufugaji ifanikiwe na matunda yake yaonekane.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki (wa pili kushoto) akizungumza na vijana waliochaguliwa kujiunga kwenye vituo atamizi (hawapo pichani) wakati alipotembelea Chuo cha Mafunzo ya Mifugo (LITA) Kampasi ya Mabuki mkoani Mwanza ambapo amewaeleza vijana hao malengo na matarajio ya serikali ya kuanzisha vituo hivyo, hasa kwa kuhakikisha wanapata ujuzi na uzoefu wa kuweza kufuga mifugo kisasa na kibiashara.

Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo Tanzania (LITA), Dkt. Pius Mwambene (wa pili kulia) akitoa taarifa ya uendeshaji wa vituo atamizi katika Chuo cha Mafunzo ya Mifugo (LITA) Kampasi ya Mabuki na Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) – Mabuki mkoani Mwanza kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki (wa tatu kutoka kulia) ambapo amesema tayari baadhi ya vijana wameshafika na wanaendelea na maandalizi.

Mkurugenzi wa Utafiti wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI), Dkt. Daniel Komwihangilo (wa pili kutoka kushoto) akiwasihi vijana waliochaguliwa kujiunga na vituo atamizi kuhakikisha wanafanya kazi za ufugaji kwa vitendo kwa bidii ili malengo yaliyokusudiwa na serikali dhidi yao yaweze kutimia.

Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya ufugaji mifugo kisasa na kibiashara wakimsikiliza Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki (hayupo pichani) wakati alipotembelea Chuo cha Mafunzo ya Mifugo (LITA) Kampasi ya Mabuki mkoani Mwanza kukagua kazi zinazoendelea kwa ajili ya uanzishaji vituo atamizi.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki (katikati waliokaa) akiwa kwenye picha na Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Mafunzo ya Mifugo (LITA), Dkt. Pius Mwambene (kulia waliokaa), Mkurugenzi wa Utafiti wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI), Dkt. Daniel Komwihangilo (kushoto waliokaa) pamoja na watumishi wa LITA na TALIRI Mabuki na vijana waliochaguliwa kujiunga kwenye vituo atamizi mara baada ya Waziri Ndaki kumaliza kuzungumza na vijana hao kwenye Kampasi ya Mabuki mkoani Mwanza.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki (wa nne kutoka kulia) akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Mafunzo ya Mifugo (LITA), Dkt. Pius Mwambene (wa pili kutoka kushoto) wakati alipofika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Mifugo (LITA) Kampasi ya Mabuki Mkoani Mwanza kukagua kazi zinazoendelea kufanyika kwenye eneo litakalotumika kwa ajili ya vituo atamizi ambapo amewataka viongozi wa LITA kuhakikisha kazi hizo zinakamilika kwa wakati.

About the author

Alex Sonna