marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

capitolbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

holiganbet

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

türk porno

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet giriş

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

betist

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

king-royal

Featured Kitaifa Uncategorized

HUAWEI,UDSM WAZINDUA KITUO CHA MAFUNZO YA TEHAMA KWA VITENDO

Written by Alex Sonna

 

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew (Katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kituo cha mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa vitendo katika Ndaki ya Teknolojia za Habari na Mawasiliano (CoICT) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kituo hicho kilichojengwa kwa msaada wa kampuni ya Huawei Tanzania kilizinduliwa wakati wa kongamano la Maadhimisho ya Miaka 60 ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam na miaka 10 ya CoICT yaliyofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Wengine ni pamoja na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye (wa pili kulia), Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Huawei Tanzania Bw. Shang Xiaofeng (wa pili Kushoto) na Rasi wa Ndaki ya Teknolojia za Habari na Mawasiliano, Prof. Joel Mtebe (kushoto).

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew (kushoto) akichangia mawazo wakati akizindua kituo cha mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa vitendo katika Ndaki ya Teknolojia za Habari na Mawasiliano (CoICT) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kituo hicho kilichojengwa kwa msaada wa kampuni ya Huawei Tanzania kilizinduliwa wakati wa kongamano la Maadhimisho ya Miaka 60 ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam na miaka 10 ya CoICT yaliyofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Huawei Tanzania Bw. Shang Xiaofeng akitoa hotuba yake wakati wa kongamano la Maadhimisho ya Miaka 60 ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam na miaka 10 ya CoICT yaliyofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew (wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye ( wa tatu kulia), Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Huawei Tanzania Bw. Shang Xiaofeng ( wa pili kushoto), Rasi wa Ndaki ya Teknolojia za Habari na Mawasiliano, Prof. Joel Mtebe ( wa pili kulia) na viongozi wengine waandamizi kutoka taasisi hizo mara baada ya uzinduzi wa kituo cha mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa vitendo katika Ndaki ya Teknolojia za Habari na Mawasiliano (CoICT) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

…………………………………………..

Na Mwandishi Wetu-Dar es Salaam

Kampuni ya Mawasiliano ya Huawei Tanzania na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamezindua kituo cha mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa vitendo katika Ndaki ya Teknolojia za Habari na Mawasiliano (CoICT) iliyopo eneo la Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Mradi huo unaolenga kutoa uzoefu wa kivitendo kwa wanafunzi na wataalamu wa Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ulizinduliwa na Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew wakati wa kongamano la Maadhimisho ya Miaka 60 ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam na miaka 10 ya CoICT yaliyofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Akizungumzia hatua ya Huawei, Mhandisi Kundo, aliipongeza kampuni hiyo ya China kwa jitihada zake za kuendeleza na kukuza sekta ya Habari na Mawasiliano nchini huku akibainisha kuwa  serikali imefurahishwa sana na mchango wa kampuni hiyo katika kuchochea ukuaji wa sekta hiyo muhimu.

“Ni mwaka mmoja tu umepita tangu nilipozindua maabara ya TEHAMA ya Huawei katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na leo tena nimezindua kituo cha mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa vitendo hapa CoICT ambacho pia kinatokana na ufadhili wa kampuni ya Huawei. Hili ni jambo kubwa na tuna kila sababu ya kuwashukuru na kuwapongeza Huawei kwa juhudi zao,” alisema.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Huawei Tanzania Bw. Shang Xiaofeng alisema kuwa kituo hicho kinalenga kutoa mafunzo kwa wahandisi zaidi ya 200 kila mwaka wakiwemo wanafunzi na wahitimu ili kukuza mfumo wa ikolojia wa vipaji nchini katika miaka ijayo.

“Kujenga uhusiano wa muda mrefu, kutafuta njia nzuri za kuzitumia rasilimali tulizonazo, juhudi za kuleta za maendeleo, na manufaa kwa pande zote ni jukumu letu sote. Ninaamini kabisa kituo hiki pamoja na kituo cha Mafunzo cha Huawei cha Chuo Kikuu ch Dodoma vitakuwa msingi katika kufikia mafanikio haya ya pamoja” alisema Bw. Shang

Kulingana na Bw. Shang, kampuni hiyo kwa sasa inatekeleza miradi mingi inayowanufaisha maelfu ya wanafunzi na watendaji wa sekta hiyo kwa nia ya kujengea uwezo kwenye nyanja ya TEHAMA na kuboresha maendeleo ya nyaja hii nchini.

“Miradi hii ni pamoja na programu ya mafunzo ya TEHAMA ya Huawei, Shindano la TEHAMA la Huawei pamoja na mradi wa Seeds for the Future,’’ aliitaja na kuongeza kuwa miradi hiyo ni muhimu kwa ajili ya kutimiza Dira ya Taifa ya 2025 kama ambavyo Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akisisitiza.

Alibainisha zaidi kuwa Huawei itaendelea kujitolea katika uvumbuzi wa miundombinu ya kidijitali, ili kujenga thamani kwa wateja na washirika.

‘’Huawei tunasisitiza kuwekeza zaidi ya 10% ya mapato yetu ya mauzo katika Utafiti na Maendeleo kila mwaka, na tunapanga kuendelea kuongeza uwekezaji huu. Mnamo mwaka 2021, tulitumia Dola za Marekani bilioni 2.4 katika utafiti na maendeleo, ikilinganishwa na jumla ya Dola za Marekani bilioni 120 katika muongo mmoja uliopita.’’

“Tumeanzisha maabara 86 za kimsingi duniani kote, na kuwekeza zaidi ya dola bilioni 3 katika utafiti wa kimsingi kila mwaka’’ alibainisha

Katika hotuba yake wakati wa hafla hiyo, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa William Anangisye alipongeza uhusiano uliopo kati ya chuo hicho na wadau mbalimbali wa maendeleo ikiwemo kampuni ya Huawei.

About the author

Alex Sonna