marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

holiganbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

türk ifşa

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet giriş

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

betist

deneme bonusu veren siteler

eminevim

Featured Kitaifa

BENKI YA CRDB YAKABIDHI VITI NA MEZA KWA AJILI YA WANAFUNZI SHULE YA SEKONDARI MAMA SAMIA KAHAMA

Written by Alex Sonna
 
Meneja  Biashara wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana (kushoto) akimkabidhi meza Katibu Tawala wilaya ya Kahama, Timothy Ndanya kwa ajili ya wanafunzi katika shule ya Sekondari Mama Samia iliyopo katika Manispaa ya Kahama. Meza hiyo ni sehemu ya meza 62 na viti 62 vilivyotolewa na Benki ya CRDB kwa ajili ya shule hiyo iliyoanzishwa mwaka 2021. 
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
Benki ya CRDB imekabidhi viti 62 na meza 62 kwa ajili ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mama Samia iliyopo katika mtaa wa Sokola kata ya Majengo Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga ikiwa ni sehemu ya mkakati wake wa kuwezesha wanafunzi kusoma katika mazingira bora.
 
 
Hafla fupi ya makabidhiano imefanyika leo Jumanne Septemba 27,2022 katika shule hiyo ambapo Mgeni rasmi alikuwa Katibu Tawala wilaya ya Kahama, Timothy Ndanya kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga.
 
Akizungumza wakati wa kukabidhi viti na meza hizo, Meneja Biashara Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana amesema benki hiyo ni mdau mkubwa wa elimu na imekuwa ikitoa misaada mbalimbali katika shule ili kuwezesha wanafunzi kusoma katika mazingira bora.
“Leo tunakabidhi meza 62 na viti 62 kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya Sekondari Mama Samia ikiwa ni sehemu ya utamaduni wa benki ya CRDB kushirikiana na serikali kutatua changamoto zilizopo katika sekta ya elimu. Tutaendelea kushirikiana na serikali kutatua changamoto zilizopo”, amesema Wagana.
“Sisi Benki ya CRDB kama Benki inayoongoza nchini Tanzania tunaamini suala la elimu ni la kila mtu, tunaomba wadau mbalimbali wajitokeze kusaidia mahitaji yaliyopo katika shule zetu kwani serikali pekee haiwezi kumaliza changamoto zote”, ameongeza.
Katika hatua nyingine Wagana ametumia futsa hiyo kuwaomba wananchi kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotolewa na Benki ya CRDB ikiwemo mikopo yenye riba nafuu kwa wakulima na watumishi pamoja na kufungua akaunti zikiwemo akaunti kwa ajili ya watoto ‘Junior Jumbo Account’ na Malkia Account kwa ajili ya wanawake.
 
 
“Sisi CRDB tunajitahidi kuwezesha watoto wasome katika mazingira bora na tutaendelea kuboresha sera zetu. Benki ya CRDB ni mahali salama, tuna akaunti za kila aina, karibuni mtuunge mkono kwenye benki hii ya Watanzania”, ameeleza Wagana.
Kwa upande wake, Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Kahama, Evodi Kareti na Meneja Rasilimaliwatu Benki ya CRDB, Benjamini Ngaiwa wamewataka wanafunzi hao kusoma kwa bidii na kuepuka vishawishi vinavyoweza kusababisha washindwe kumaliza masomo hivyo kutotimiza ndoto zao na kwamba Benki ya CRDB itaendelea kutoa michango mbalimbali katika sekta ya elimu.
Akizungumza wakati wa kupokea viti na meza hizo, Katibu Tawala Wilaya ya Kahama, Timothy Ndanya ameishukuru Benki ya CRDB kwa namna inavyoendelea kushirikiana na serikali kutatua changamoto katika sekta ya elimu huku akibainisha kuwa viti na meza hizo zitasaidia wanafunzi hao kusoma katika mazingira bora.
 
“Tunawashukuru benki ya CRDB kwa kuendelea kutushika mkono, naomba mtunze viti na meza hizi pamoja na miundombinu mingine ya shule”, amesema Ndanya.
Aidha amewashukuru wananchi wakiwemo wafanyabiashara kufungua akaunti katika benki ya CRDB kwani benki ikipata wateja wengi itapata faida na kurudisha faida hiyo kwa wananchi.
Ndanya ameipongeza shule ya sekondari Mama Samia kwa kutokuwa na rekodi ya mimba kwa wanafunzi hivyo kuwataka wanafunzi hao kujitunza na kujiheshimu na kuachana na vishawishi vinavyoweza kukatisha ndoto zao.
Awali akizungumza, Mkuu wa Shule ya Sekondari Mama Samia, Joyce Thomas Jewe ameishukuru Benki ya CRDB kutatua changamoto ya uhitaji wa viti na meza katika shule hiyo changa iliyoanzishwa Tarehe 05.05.2021 ambayo sasa ina jumla ya wanafunzi 547 kati yao wasichana ni 267 na wavulana ni 284 ikiwa na walimu 15 kati yao wa kiume ni wawili na wa kike 13.
 
“Kutokana na uchanga wa shule hii tunakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa mashine ya kuzalishia mitihani ya majaribio (Photocopy Mashine) na wamekwama kumalizia boma la jengo la utawala kwa kukosa nondo,kokoto na mifuko ya saruji ili pindi ujenzi utakapokamilika shule ipate mahali salama pa kutunzia nyaraka muhimu”,amesema.
Meneja  Biashara wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana (kushoto) akimkabidhi meza Katibu Tawala wilaya ya Kahama, Timothy Ndanya kwa ajili ya wanafunzi katika shule ya Sekondari Mama Samia iliyopo katika Manispaa ya Kahama. Meza hiyo ni sehemu ya meza 62 na viti 62 vilivyotolewa na Benki ya CRDB kwa ajili ya shule hiyo iliyoanzishwa mwaka 2021.  Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Meneja  Biashara wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana (kushoto) akimkabidhi  kiti Katibu Tawala wilaya ya Kahama, Timothy Ndanya kwa ajili ya wanafunzi katika shule ya Sekondari Mama Samia iliyopo katika Manispaa ya Kahama. Kiti hicho ni sehemu ya meza 62 na viti 62 vilivyotolewa na Benki ya CRDB kwa ajili ya shule hiyo iliyoanzishwa mwaka 2021.
Meneja  Biashara wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana (kushoto) akimkabidhi kiti Katibu Tawala wilaya ya Kahama, Timothy Ndanya kwa ajili ya wanafunzi katika shule ya Sekondari Mama Samia iliyopo katika Manispaa ya Kahama. Kiti hicho ni sehemu ya meza 62 na viti 62 vilivyotolewa na Benki ya CRDB kwa ajili ya shule hiyo iliyoanzishwa mwaka 2021.
Meneja  Biashara wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana na Katibu Tawala wilaya ya Kahama, Timothy Ndanya  na viongozi mbalimbali pamoja na wanafunzi wakipiga picha wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya meza 62 na viti 62 vilivyotolewa na Benki ya CRDB kwa ajili ya shule ya Sekondari Mama Samia iliyoanzishwa mwaka 2021.
Muonekano wa sehemu ya meza 62 na viti 62 vilivyotolewa na Benki ya CRDB kwa ajili ya shule ya Sekondari Mama Samia iliyoanzishwa mwaka 2021.
Muonekano wa sehemu ya meza 62 na viti 62 vilivyotolewa na Benki ya CRDB kwa ajili ya shule ya Sekondari Mama Samia iliyoanzishwa mwaka 2021.
Katibu Tawala wilaya ya Kahama, Timothy Ndanya akizungumza wakati Benki ya CRDB ikikabidhi meza 62 na viti 62 kwa ajili ya shule ya Sekondari Mama Samia iliyoanzishwa mwaka 2021.
Katibu Tawala wilaya ya Kahama, Timothy Ndanya akizungumza wakati Benki ya CRDB ikikabidhi meza 62 na viti 62 kwa ajili ya shule ya Sekondari Mama Samia iliyoanzishwa mwaka 2021.
Meneja  Biashara wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana akizungumza wakati Benki ya CRDB ikikabidhi meza 62 na viti 62 kwa ajili ya shule ya Sekondari Mama Samia iliyoanzishwa mwaka 2021.
Meneja  Biashara wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana akizungumza wakati Benki ya CRDB ikikabidhi meza 62 na viti 62 kwa ajili ya shule ya Sekondari Mama Samia iliyoanzishwa mwaka 2021.
Meneja Rasilimaliwatu Benki ya CRDB, Benjamini Ngaiwa akizungumza wakati Benki ya CRDB ikikabidhi meza 62 na viti 62 kwa ajili ya shule ya Sekondari Mama Samia iliyoanzishwa mwaka 2021.
Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Kahama, Evodi Kareti akizungumza wakati Benki ya CRDB ikikabidhi meza 62 na viti 62 kwa ajili ya shule ya Sekondari Mama Samia iliyoanzishwa mwaka 2021.
Diwani wa kata ya Majengo Manispaa ya Kahama, Benard Mahongo akizungumza wakati Benki ya CRDB ikikabidhi meza 62 na viti 62 kwa ajili ya shule ya Sekondari Mama Samia iliyoanzishwa mwaka 2021.
Mkuu wa shule ya Sekondari Mama Samia , Joyce Thomas Jewe akizungumza wakati Benki ya CRDB ikikabidhi meza 62 na viti 62 kwa ajili ya shule ya Sekondari Mama Samia iliyoanzishwa mwaka 2021.
Afisa Elimu Manispaa ya Kahama, Anastazia Vicent akizungumza wakati Benki ya CRDB ikikabidhi meza 62 na viti 62 kwa ajili ya shule ya Sekondari Mama Samia iliyoanzishwa mwaka 2021.
Wanafunzi wa shule ya sekondari Mama Samia wakifuatilia nasaha mbalimbali wakati Benki ya CRDB ikikabidhi meza 62 na viti 62 kwa ajili ya shule ya Sekondari Mama Samia 
Wanafunzi wa shule ya sekondari Mama Samia wakifuatilia nasaha mbalimbali wakati Benki ya CRDB ikikabidhi meza 62 na viti 62 kwa ajili ya shule ya Sekondari Mama Samia 
Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Kahama, Evodi Kareti akizungumza na Wanafunzi wa shule ya sekondari Mama Samia
Awali vijana wa Skauti wakimpokea mgeni rasmi Katibu Tawala wilaya ya Kahama, Timothy Ndanya akiwasili katika shule ya sekondari Mama Samia
Wafanyakazi wa Benki ya CRDB wakifurahia jambo na wanafunzi wa shule ya Sekondari Mama Samia.
 
Picha zote na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
 

About the author

Alex Sonna