Featured Kitaifa

SPIKA DKT.TULIA ATETA NA NAIBU SPIKA WA PILI WA BUNGE LA GHANA, KIONGOZI WA UPINZANI BUNGE LA UGANDA

Written by mzalendoeditor

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akisalimiana na Naibu Spika wa Pili wa Bunge la Ghana, Mhe. Andrew Amoako pale Wageni kutoka Bunge hilo walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Naibu Spika wa Pili wa Bunge la Ghana, Mhe. Andrew Amoako pale Wageni kutoka Bunge hilo walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Wageni kutoka Bunge la Ghana wakiongozwa na Naibu Spika wa Pili wa Bunge, Mhe. Andrew Amoako (kulia kwake) walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akimpatia zawadi yenye mfano wa jengo la Bunge Naibu Spika wa Pili wa Bunge la Ghana, Mhe. Andrew Amoako pale Wageni kutoka Bunge hilo walipomtembelea leo tarehe 14 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.

PICHA NA OFISI YA BUNGE

About the author

mzalendoeditor