marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

parmabet

piabellacasino

mislibet

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet güncel giriş

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

imajbet giriş

imajbet güncel giriş

ngsbahis

kralbet giriş

bahiscasino

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

holiganbet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

jetbahis

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

betoffice

norabahis

betasus

nesinecasino

holiganbet

mercurecasino

casinowon

grandpashabet

padişahbet

Google Search Console giriş

Featured Kitaifa

DC MBONEKO AFANIKISHA KUHESABIWA KWA MTU MWENYE ULEMAVU ALIYEGOMA SHINYANGA

Written by Alex Sonna
 
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko (kulia) akifurahia jambo na Mariam Paulo Gitula mara baada ya kumaliza kuhesabiwa Sensa.


Na Marco Maduhu, SHINYANGA

MKUU wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, amefanikisha mtu mwenye ulemavu kuhesabiwa Sensa ya watu na makazi Mariam Paulo Gitula mkazi wa Mtaa wa Busulwa Kata ya Kitangili Manispaa ya Shinyanga, baada ya kuwagomea Makarani kwa madai hajaingizwa kwenye Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini TASAF.

Mboneko amefanikisha zoezi hilo leo Agosti 28, 2022, ambapo mlemavu huyo aligoma tangu jana Agosti 27 kuhesabiwa Sensa ya watu na makazi.

Amesema baada ya kufika kwenye Kaya hiyo, amezungumza na mtu huyo mwenye ulemavu na kumuahidi kuwa ataingizwa kwenye Mpango huo wa TASAF kwa sababu vigezo anavyo, huku akimkatia na Bima ya Afya CHF iliyoboreshwa ambayo itamsaidia katika matibabu.

“Tuliagiza Makarani watakapokutana na changamoto yoyote ile ambayo ipo juu ya uwezo wao watupe taarifa, na leo tumepata taarifa ya mtu huyu mwenye ulemavu kugoma kuhesabiwa Sensa hadi aingizwe kwenye TASAF, na nimefika hapa suala hili nimelimaliza na yayari amehesabiwa,”amesema Mboneko.

“Mbali na kumuahidi kuingizwa kwenye Mpango wa TASAF ambapo tayari nimeshatoa maelekezo, pia nimemkatia na Bima ya Afya CHF iliyoboreshwa, ili awe anapata matibabu bure na watoto wake wawili ,”ameongeza.

Aidha, amesema zoezi hilo la Sensa katika Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga na Manispaa ya Shinyanga linaendelea vizuri, na hadi sasa limefika asilimia 100.

Naye Karani Mweya Wambura Sauti, amesema baada ya kufika kwenye Kaya ya Mtu huyo Mwenye ulemavu jana aligoma kuhesabiwa akidai kuwa hajaingizwa kwenye TASAF, na baada ya kugoma ndipo ikabidi waombe msaada ngazi za juu na kufanikisha kumwandikisha leo.

Kwa upande wake mtu huyo mwenye ulemavu Mariam Paulo Gitula, amesema kuwa aligoma kuhesabiwa hadi pale atakapoingizwa kwenye mpango wa TASAF, lakini baada ya kufika Mkuu wa wilaya Jasinta Mboneko na kumuahidi kuwa ataingizwa ndipo akakubali kuhesabiwa, huku akisisitiza kuwa ahadi hiyo iwe ya kweli kwa sababu anaishi maisha magumu.

Aidha, zoezi la kuhesabu Sensa ya watu na makazi hapa nchini lilianza Agosti 23 mwaka huu, na linatarajiwa kukoma hapo kesho Agosti 29.


Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akizungumza namna alivyotatua mgomo wa mtu mwenye ulemavu kugoma kuhesabiwa Sensa ya watu na makazi, akida hahajingizwa kwenye TASAF na wakati anaisha maisha magumu.

Karani Mweya Wambura Sauti, akielezea ugumu aliokutana nao kwenye Kaya hiyo ya mtu mwenye ulemavu na kugoma kuhesabiwa Sensa ya watu na makazi.

Mtu mwenye ulemavu Mariam Paulo Gitula, akielezea madai yake ya kutoingizwa kwenye TASAF ndipo akagoma kuhesabiwa Sensa ya watu na makazi, na baada ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga kuzungumza naye ndipo akakubali kuhesabiwa.

Karani wa Sensa ya watu na Makazi Mweya Wambura Sauti, akiingiza Taarifa na Mtu mwenye ulemavu Mariam Paulo Gitula, (wapili kutoka kulia), mara baada ya tatizo lake kumalizwa na Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko (wa kwanza kushoto) la kudai kuwa hadi aingizwe kwenye TASAF ndipo ahesabiwe Sensa, (kulia) ni jirani yake Ruth Edwin.

Zoezi la kuingiza taarifa likiendelea.

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko (kulia) akifurahia jambo na mtu mwenye ulemavu Mariam Paulo Gitula mara baada ya kumaliza kuhesabiwa Sensa.

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko (kushoto) akifurahia jambo na mtu mwenye ulemavu Mariam Paulo Gitula mara baada ya kumaliza kuhesabiwa Sensa.

Picha ya pamoja ikipigwa mara baada ya zoezi la kuhesabu Sensa kwenye Kaya ya mtu mwenye ulemavu Mariam Pualo Gitula kukubali kuhesabiwa Sensa, kulia ni Mwenyekiti wa Mtaa wa Busulwa Anthony Mashishanga, akifuatiwa na Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko.

Makarani na viongozi mbalimbali wa Serikali wakiwa kwenye Kaya ya mtu mwenye ulemavu Mariam Paulo Gitula ambaye awali aligoma kuhesabiwa Sensa ya watu na makazi.
 

 

About the author

Alex Sonna