Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

avrupabet

vipslot

betcool

betlivo

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

kareasbet

hazbet

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

betra

gobahis

casival

casival

betcool

avrupabet

celtabet

jojobet

Hacklink panel

norabahis

kingroyal

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

hepbet

millibahis giriş

gobahis

vipslot

betface

elitbahis giriş

betcool

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

betlike

holiganbet

jojobet

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betewin

jojobet

vipslot

betnis

betmarino giriş

aresbet

aresbet

avrupabet giriş

betface

luxbet

betmarino

casival giriş

betlivo giriş

realbahis

gallerbahis

gallerbahis

aresbet giriş

parmabet

betnis

elitbahis

vaycasino giriş

betra giriş

celtabet giriş

parmabet giriş

vipslot giriş

hazbet giriş

elitbahis

luxbet giriş

hepbet

lordcasino

parmabet

lordcasino

kareasbet

betcool giriş

realbahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

slot siteleri

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

parmabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

madridbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

casino siteleri

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat

jojobet giriş

marsbahis

sweet bonanza

realko

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

betlivo

millibahis

millibahis

celtabet

millibahis

parmabet giriş

mavibet giriş

coinbar

coinbar

mislibet giriş

mavibet

parmabet giriş

parmabet

bahiscasino

mavibet

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

sekabet güncel giriş

grandpashabet

grandpashabet

ultrabet

casibom

casibom

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

Featured Kitaifa

DC MBONEKO AFANIKISHA KUHESABIWA KWA MTU MWENYE ULEMAVU ALIYEGOMA SHINYANGA

Written by Alex Sonna
 
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko (kulia) akifurahia jambo na Mariam Paulo Gitula mara baada ya kumaliza kuhesabiwa Sensa.


Na Marco Maduhu, SHINYANGA

MKUU wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, amefanikisha mtu mwenye ulemavu kuhesabiwa Sensa ya watu na makazi Mariam Paulo Gitula mkazi wa Mtaa wa Busulwa Kata ya Kitangili Manispaa ya Shinyanga, baada ya kuwagomea Makarani kwa madai hajaingizwa kwenye Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini TASAF.

Mboneko amefanikisha zoezi hilo leo Agosti 28, 2022, ambapo mlemavu huyo aligoma tangu jana Agosti 27 kuhesabiwa Sensa ya watu na makazi.

Amesema baada ya kufika kwenye Kaya hiyo, amezungumza na mtu huyo mwenye ulemavu na kumuahidi kuwa ataingizwa kwenye Mpango huo wa TASAF kwa sababu vigezo anavyo, huku akimkatia na Bima ya Afya CHF iliyoboreshwa ambayo itamsaidia katika matibabu.

“Tuliagiza Makarani watakapokutana na changamoto yoyote ile ambayo ipo juu ya uwezo wao watupe taarifa, na leo tumepata taarifa ya mtu huyu mwenye ulemavu kugoma kuhesabiwa Sensa hadi aingizwe kwenye TASAF, na nimefika hapa suala hili nimelimaliza na yayari amehesabiwa,”amesema Mboneko.

“Mbali na kumuahidi kuingizwa kwenye Mpango wa TASAF ambapo tayari nimeshatoa maelekezo, pia nimemkatia na Bima ya Afya CHF iliyoboreshwa, ili awe anapata matibabu bure na watoto wake wawili ,”ameongeza.

Aidha, amesema zoezi hilo la Sensa katika Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga na Manispaa ya Shinyanga linaendelea vizuri, na hadi sasa limefika asilimia 100.

Naye Karani Mweya Wambura Sauti, amesema baada ya kufika kwenye Kaya ya Mtu huyo Mwenye ulemavu jana aligoma kuhesabiwa akidai kuwa hajaingizwa kwenye TASAF, na baada ya kugoma ndipo ikabidi waombe msaada ngazi za juu na kufanikisha kumwandikisha leo.

Kwa upande wake mtu huyo mwenye ulemavu Mariam Paulo Gitula, amesema kuwa aligoma kuhesabiwa hadi pale atakapoingizwa kwenye mpango wa TASAF, lakini baada ya kufika Mkuu wa wilaya Jasinta Mboneko na kumuahidi kuwa ataingizwa ndipo akakubali kuhesabiwa, huku akisisitiza kuwa ahadi hiyo iwe ya kweli kwa sababu anaishi maisha magumu.

Aidha, zoezi la kuhesabu Sensa ya watu na makazi hapa nchini lilianza Agosti 23 mwaka huu, na linatarajiwa kukoma hapo kesho Agosti 29.


Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akizungumza namna alivyotatua mgomo wa mtu mwenye ulemavu kugoma kuhesabiwa Sensa ya watu na makazi, akida hahajingizwa kwenye TASAF na wakati anaisha maisha magumu.

Karani Mweya Wambura Sauti, akielezea ugumu aliokutana nao kwenye Kaya hiyo ya mtu mwenye ulemavu na kugoma kuhesabiwa Sensa ya watu na makazi.

Mtu mwenye ulemavu Mariam Paulo Gitula, akielezea madai yake ya kutoingizwa kwenye TASAF ndipo akagoma kuhesabiwa Sensa ya watu na makazi, na baada ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga kuzungumza naye ndipo akakubali kuhesabiwa.

Karani wa Sensa ya watu na Makazi Mweya Wambura Sauti, akiingiza Taarifa na Mtu mwenye ulemavu Mariam Paulo Gitula, (wapili kutoka kulia), mara baada ya tatizo lake kumalizwa na Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko (wa kwanza kushoto) la kudai kuwa hadi aingizwe kwenye TASAF ndipo ahesabiwe Sensa, (kulia) ni jirani yake Ruth Edwin.

Zoezi la kuingiza taarifa likiendelea.

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko (kulia) akifurahia jambo na mtu mwenye ulemavu Mariam Paulo Gitula mara baada ya kumaliza kuhesabiwa Sensa.

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko (kushoto) akifurahia jambo na mtu mwenye ulemavu Mariam Paulo Gitula mara baada ya kumaliza kuhesabiwa Sensa.

Picha ya pamoja ikipigwa mara baada ya zoezi la kuhesabu Sensa kwenye Kaya ya mtu mwenye ulemavu Mariam Pualo Gitula kukubali kuhesabiwa Sensa, kulia ni Mwenyekiti wa Mtaa wa Busulwa Anthony Mashishanga, akifuatiwa na Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko.

Makarani na viongozi mbalimbali wa Serikali wakiwa kwenye Kaya ya mtu mwenye ulemavu Mariam Paulo Gitula ambaye awali aligoma kuhesabiwa Sensa ya watu na makazi.
 

 

About the author

Alex Sonna