Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

https://guinguinbali.com/

boostaro review

NervEase

matbet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

maritbet giriş

hiltonbet

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Betoffice

marsbahis

mislibet

imajbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

betoffice

coinbar

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

holiganbet

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

piabellacasino

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

meritking

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

meritking giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

hititbet giriş

hititbet

hititbet

hititbet giriş

norabahis

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

royalbet giriş

hititbet

hititbet giriş

hititbet giriş

hititbet

betpark giriş

betixir

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

Meritking

deneme bonusu

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

goldenbahis

artemisbet

imajbet

artemisbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

madridbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

piabellacasino giriş

holiganbet

celtabet

holiganbet

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

bonus veren casino siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet

casibom giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

betsat

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

piabellacasino

betturkey

sweet bonanza

bets10 güncel giriş adresi

madridbet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

holiganbet giriş

casibom giriş

holiganbet

holiganbet giriş

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

pusulabet

vdcasino

marsbahis

matbet

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

marsbahis

grandpashabet

holiganbet

jojobet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

perabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

safirbet

casifix

robinbet

betkare

imajbet

betpark

betpark

bets10

Featured Kitaifa

SIDO , NELICO & PACT WATOA MAFUNZO YA VITENDO KWA WAJASIRIAMALI MANISPAA YA SHINYANGA

Written by Alex Sonna
Afisa Uendelezaji Biashara SIDO Mkoa wa Shinyanga, Joseph Taban (wa pili kulia) na Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga, Hopeness Eliya wakionesha sabuni zilizotengenezwa na wajasiriamali waliopatiwa mafunzo ya vitendo kwa muda wa siku 8. Aliyevaa suti nyeusi ni mgeni rasmi wakati wa kufunga mafunzo hayo, Simeo Makoba ambaye ni Meneja wa Vipindi na Mhariri Mkuu wa Redio Faraja Fm. Kulia ni Afisa Uchumi kutoka shirika la NELICO, Fortunatus Richard akifuatiwa na Afisa Uhusiano Radio Faraja, Getrude Thomas. Wa kwanza kushoto ni mmoja wa wajasiriamali hao Suzana Nuhu.
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) Mkoa wa Shinyanga kwa kushirikiana na New Light Children Center Organization (NELICO) na Shirika la PACT Tanzania wametoa mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kwa wajasiriamali 40 kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga kwa lengo la kuwajengea uwezo ili waweze kujiajiri na kuajiri wengine huku wakiinua uchumi wa familia na taifa kwa ujumla.
 
Mafunzo hayo yaliyofanyika kwa siku 8 katika ukumbi wa SIDO Mkoa wa Shinyanga yamefungwa leo Alhamisi Agosti 18,2022 na Meneja wa Vipindi na Mhariri Mkuu wa Kituo cha Matangazo Radio Faraja Fm Stereo, Simeo Makoba.
 
Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo yaliyohusisha wanawake 39 na mwanaume mmoja, Makoba ameishukuru SIDO, NELICO na PACT Tanzania kwa kutoa mafunzo ya vitendo bure kwa wajasiriamali hao ambayo yatawasaidia kujiinua kiuchumi.
 
“Mmepata mafunzo haya nendeni mkatumie ujuzi mliopata kuanzisha viwanda vidogo ili mjiajiri na kuajiri wengine. Nimeo ana bidhaa mlizotengeneza ni za viwango vya hali ya juu. Kazalisheni bidhaa kwa viwango na ubunifu ili mpate masoko mazuri. Ubora wa bidhaa yako ndiyo utakuweka sokoni”,amesema Makoba.
 
Makoba ametumia fursa hiyo kuwataka wajasiriamali kupitia vikundi kuchangamkia mikopo inayotolewa na serikali kwenye Halmashauri za wilaya.
 
Aidha ameeleza kuwa hivi karibuni Radio Faraja FM Stereo itaanzisha Kipindi maalumu kwa ajili ya wajasiriamali ambapo wajasiriamali wadogo watapewa nafasi ‘Air time’ bure ya kuelezea shughuli zao.
 
Kwa upande wake, Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga, Hopeness Eliya amesema kazi kubwa inayofanywa na SIDO ni kutoa elimu na ujuzi kwa wajasiriamali kwa ajili ya kwenda kutengeneza bidhaa ‘Vitu halisi’ ili wajipatie kipato na kuongeza pato la taifa.
 
“SIDO ni walezi wa wajasiriamali, njooni SIDO mpate elimu na ujuzi wa kutengeneza bidhaa. Wajasiriamali hawa tumewapa ujuzi ‘mbegu’ ,nendeni mkaipande huko katika jamii, tunatamani kuona mnakua”,amesema Eliya.
 
Naye Afisa Uchumi kutoka shirika la NELICO, Fortunatus Richard amewataka washiriki wa mafunzo hayo kwenda kuwa mabalozi wazuri wa NELICO,SIDO na PACT Tanzania huku akiwasihi kutokuwa wachoyo wa ujuzi waliopata kwa watu wengine katika jamii.
 
“Katumieni ujuzi mliopata kujiinua kiuchumi, msiwe wachoyo wa ujuzi. Usimnyime mtu ujuzi, hata ukimfundisha hawezi kukuzidi ujuzi”,amesema.
 
Akisoma risala kwa niaba ya washiriki wa mafunzo,Ramadhan Hamis amesema mafunzo hayo yamewaongezea ari na hamasa ya kujiajiri ili kujipatia kipato na kwamba yatawasaidia kuzalisha bidhaa kwa tija na kuingia kwenye soko la ushindani licha ya kwamba changamoto kubwa ni mtaji na vifaa vya kufanyia kazi.
 
ANGALIA PICHA
Muonekano wa sabuni za maji, kufulia na kuogea, batiki na vifungashio vilivyotengenezwa  na wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga waliopatiwa mafunzo ya vitendo yaliyotolewa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania. Picha na Kadama Malunde
Muonekano wa sabuni za kuogea ziliotengenezwa  na wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga waliopatiwa mafunzo ya vitendo yaliyotolewa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania.
Afisa Uendelezaji Biashara SIDO Mkoa wa Shinyanga, Joseph Taban akionesha batiki zilizotengenezwa na wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga waliopatiwa mafunzo ya vitendo yaliyotolewa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania. Kushoto ni Meneja wa Vipindi na Mhariri Mkuu wa Kituo cha Matangazo Radio Faraja Fm Stereo, Simeo Makoba akifuatiwa na Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga, Hopeness Eliya.
Meneja wa Vipindi na Mhariri Mkuu wa Kituo cha Matangazo Radio Faraja Fm Stereo, Simeo Makoba ( wa pili kushoto) akiangalia vifungashio vilivyotengenezwa na wajasiriamali waliopewa mafunzo ya vitendo na SIDO, NELICO na PACT Tanzania.
Afisa Uendelezaji Biashara SIDO Mkoa wa Shinyanga, Joseph Taban (wa pili kulia) akionesha sabuni za kuogea zilizotengenezwa na wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga waliopatiwa mafunzo ya vitendo yaliyotolewa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania.
Meneja wa Vipindi na Mhariri Mkuu wa Kituo cha Matangazo Radio Faraja Fm Stereo, Simeo Makoba akizungumza wakati akifunga mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kwa wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga yaliyoandaliwa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania.
Meneja wa Vipindi na Mhariri Mkuu wa Kituo cha Matangazo Radio Faraja Fm Stereo, Simeo Makoba akizungumza wakati akifunga mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kwa wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga yaliyoandaliwa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania.
Meneja wa Vipindi na Mhariri Mkuu wa Kituo cha Matangazo Radio Faraja Fm Stereo, Simeo Makoba akizungumza wakati akifunga mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kwa wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga yaliyoandaliwa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania.
Wajasiriamali wakimsikiliza Meneja wa Vipindi na Mhariri Mkuu wa Kituo cha Matangazo Radio Faraja Fm Stereo, Simeo Makoba.
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga, Hopeness Eliya  akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kwa wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga yaliyoandaliwa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania.
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga, Hopeness Eliya  akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kwa wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga yaliyoandaliwa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania.
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga, Hopeness Eliya  akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kwa wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga yaliyoandaliwa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania.
  Afisa Uchumi kutoka shirika la NELICO, Fortunatus Richard akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kwa wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga yaliyoandaliwa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania.
  Afisa Uchumi kutoka shirika la NELICO, Fortunatus Richard akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kwa wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga yaliyoandaliwa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania.
  Afisa Uchumi kutoka shirika la NELICO, Fortunatus Richard akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kwa wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga yaliyoandaliwa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania.
Afisa Uendelezaji Biashara SIDO Mkoa wa Shinyanga, Joseph Taban akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kwa wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga yaliyoandaliwa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania.
Ramadhan Hamis akisoma risala wakati wa kufunga mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kwa wajasiriamali kutoka kata za Ngokolo,Chamaguha, Ndala na Kambarage Manispaa ya Shinyanga yaliyoandaliwa na SIDO, NELICO na PACT Tanzania.
Washiriki wa mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) wakiwa ukumbini.
Washiriki wa mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) wakiwa ukumbini.
Washiriki wa mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) wakiwa ukumbini.
Washiriki wa mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) wakiwa ukumbini.
Washiriki wa mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) wakiwa ukumbini.
Washiriki wa mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) wakiwa ukumbini.
Washiriki wa mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) wakiwa ukumbini.
Washiriki wa mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) wakiwa ukumbini.
Washiriki wa mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) wakiwa ukumbini.
Washiriki wa mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kutoka kata ya Ngokolo wakipiga picha ya kumbukumbu na mgeni rasmi Meneja wa Vipindi na Mhariri Mkuu wa Kituo cha Matangazo Radio Faraja Fm Stereo, Simeo Makoba, viongozi wa SIDO na NELICO
Washiriki wa mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kutoka kata ya Kambarage wakipiga picha ya kumbukumbu na mgeni rasmi Meneja wa Vipindi na Mhariri Mkuu wa Kituo cha Matangazo Radio Faraja Fm Stereo, Simeo Makoba, viongozi wa SIDO na NELICO
Washiriki wa mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kutoka kata ya Chamaguha wakipiga picha ya kumbukumbu na mgeni rasmi Meneja wa Vipindi na Mhariri Mkuu wa Kituo cha Matangazo Radio Faraja Fm Stereo, Simeo Makoba, viongozi wa SIDO na NELICO
Washiriki wa mafunzo ya vitendo (utengenezaji wa sabuni, batiki na vifungashio) kutoka kata ya Ndala wakipiga picha ya kumbukumbu na mgeni rasmi Meneja wa Vipindi na Mhariri Mkuu wa Kituo cha Matangazo Radio Faraja Fm Stereo, Simeo Makoba, viongozi wa SIDO na NELICO.
 
Picha zote na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 

About the author

Alex Sonna