slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

matbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

parobet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

imajbet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

madridbet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

tempobet

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

holiganbet

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

tempobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

Featured Kitaifa

TBS KUTUMIA SH.BILIONI 9.9 KUJENGA MAABARA DODOMA NA MWANZA

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la viwango Tanzania (TBS)  Dkt.Athuman Ngenya,akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 1,2022 jijini Dodoma  kuhusu  vipaumbele vya taasisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2022/23. 

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la viwango Tanzania (TBS)  Dkt.Athuman Ngenya,akijibu maswali mbalimbali yaliyoulizwa  na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Agosti 1,2022 jijini Dodoma wakati akitoa taarifa kuhusu  vipaumbele vya taasisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2022/23. 

Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari maelezo Gerson Msigwa,akizungumza wakati wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) likitoa  taarifa kuhusu  vipaumbele vya taasisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2022/23 leo Agosti 1,2022 jijini Dodoma.

Mwandishi wa habari kutoka Global TV Mohamed Zengwa,akimuuliza swali  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la viwango Tanzania (TBS)  Dkt.Athuman Ngenya, (hayupo pichani) wakati akiwasilisha vipaumbele vya taasisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2022/23 leo Agosti 1,2022 jijini Dodoma.

Mwandishi wa habari kutoka  Uhuru FM Sakina Abdulmasoud ,akimuuliza swali kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la viwango Tanzania (TBS)  Dkt.Athuman Ngenya, (hayupo pichani) wakati akiwasilisha vipaumbele vya taasisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2022/23 leo Agosti 1,2022 jijini Dodoma.

 

……………………………………

Na Alex Sonna-DODOMA

SHIRIKA  la viwango Tanzania (TBS) limetenga kiasi cha Shilingi billioni 9.9 kwa ajili ya kujenga jengo la maabara katika miji ya kimkakati (Dodoma na Mwanza) ili kusogeza huduma za Shirika karibu kwa wateja na kuongeza ufanisi.

Hayo yamesemwa leo Agosti 1,2022  jijini Dodoma na Mkurugenzi Mkuu wa TBS Dkt.Athuman Ngenya wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu  vipaumbele vya taasisi hiyo amesema lengo la TBS kujenga maabara katika kanda ni kuhakikisha inadhibiti ubora na bidhaa na vibali kupatikana kwa wakati.

Dkt.Ngenya amesema kuwa kwa sasa Maabara ipo Moja tu ya Dar-es-salaam makao mkuu jambo ambalo linasababisha kucheleweshwa kwa huduma.

Dkt.Ngenya amesema kuwa katika kuhakikisha usalama wa vyakula na vipodozi kwa taifa unakuwpo shirika limeona ni vyema kujenga maabara hizo ili kuondasha ile adha iliyopo kwa sasa ya kusafiri kutoka mbali kupeleka bidhaa maabara kuu ya Dar-es-salaam kupima ubora na itasaidia pia kuharakisha maendeleo ya watoa huduma.

“Unakuta mtu anatengeneza mkate wake huko Kagera sasa ili kupitishwa kwa ajili ya kuingizwa sokoni kwa maana ya kuanza kutumika na wananchi ni lazima asafirishe mpaka Dar-es-salaam kwa ajili ya kupimwa ubora sasa embu fikiria kutoka Kagera mpaka Dar-es-salaam hapa katikati inaweza ikatokea chochote ikaoza ama ikapata changamoto sasa unakuwa umepoteza muda”Amesema Dkt.Ngenya

Pia  Shirika limetenga kiasi cha Shilingi billioni 2.7 kwa ajili ya kuimarisha ofisi saba za kanda, mipakani, Bandari ya Mwanza, Tanga, Bagamoyo na Dar es Salaam, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere, Mwanza na Kilimanjaro.

Fedha hizo pia zitatumika kuimarisha ofisi za shirika hilo mipakani ikiwemo Tunduma, Kasumulo, Horohoro, Holili, Tarakea, Namanga, Bandari ya Mwanza, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwanza, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro,Sirari, Kabanga, Rusumo, Mtukula, Bandari ya bagamoyo, bandari ya Dar es salaam, uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere- Dar, Bandari ya Tanga)

“Pia tutaongeza wafanyakazi na vitendea kazi kwa ajili ya kutoa huduma kwa wakati na kuimarisha zoezi la ukaguzi wa mara kwa mara sokoni ili kupunguza bidhaa hafifu sokoni na hatimaye kuhakikisha wananchi wanapata bidhaa bora na salama” amesema Dkt.Ngenya

Amesema pia shirika hilo limetenga TZS 1.6 Billioni kwa ajili ya kuandaa viwango 630 vya kitaifa katika sekta mbalimbali ili kuwezesha biashara kwa kumpa uhakika mzalishaji wa kupata masoko ya ndani na nje, kumhakikishia mlaji wa mwisho usalama na ubora wa bidhaa atakayotumia ikiwa ni pamoja na kuweka ushindani sawia wa bidhaa katika soko.

Dkt.Ngenya ameongeza kuwa ili kuhakikisha wananchi wanatumia bidhaa zilizo bora na salama Shirika hilo pia limetenga TZS 261 Millioni kwa ajili ya kuimarisha shughuli za usajili wa bidhaa na majengo ya chakula na vipodozi.

 Dkt.Ngenya amebainisha kuwa Shirika hilo pia limetenga TZS 581 Millioni kwa ajili ya kuimarisha shughuli za uthibitishaji wa mifumo ya kiutendaji ambapo kwa sasa TBS imepatiwa ithibati ya kufanya shughuli hiyo na mashirika yanaweza kuthibitishiwa ubora wa mifumo yao ya kiutendaji kupitia hii itasaidia kuhakikisha wananchi wanapokea huduma zilizo bora.

Amesema Katika kufanya shughuli za kuhakiki ubora wa vipimo ili kuhakikisha usahihi wa majibu ya vipimo mbalimbali kutokea maabara, mahospitalini na viwandani na kupelekea watoa huduma au maamuzi kufanya maamuzi sahihi Shirika hilo limetenga TZS 800 Millioni.

Shirika limetenga TZS 1.18 Billioni kwa ajili ya kuimarisha shughuli za ukaguzi wa bidhaa kabla ya kusafirishwa kuja nchini (PVoC) na baada ya kuwasili nchini (Destination Inspection) ili kuhakikisha nchi haiwi jalala la kupokea bidhaa zilizopigwa marufuku au hafifu.

Shirika la viwango Tanznania (TBS) linaendelea na juhudi za kuweka na kutekeleza mikakati mbalimbali ili kuboresha huduma zake kwa lengo la kuwezesha biashara kwa dhumuni la kuinua uchumi wa viwanda kwa kuchagiza uzalishaji wa bidhaa salama na bora hapa nchini kama njia mojawapo ya kuchangia pato la Taifa letu.

Aidha Dkt.Ngenya,amesema kuwa Shirika hilo linaungana na Serikali kuhamasisha Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika tarehe 23 Agosti 2022.

Kwa upande wake Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari maelezo Gerson Msigwa,amesema kuwa jukumu la serikali  kupitia shirika la viwango Tanzania TBS ni kuhakikisha bidhaa zinazokuja hapa nchini zinakidhivigezo vya kutumika kwa wananchi.

About the author

Alex Sonna