Featured Kitaifa

MATUKIO KATIKA PICHA:WAZIRI MKENDA ATETA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI

Written by mzalendoeditor

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari juu ya Mwelekeo wa Wizara, Vipaumbele na Maeneo ya Kimkakati katika Utekelezaji kwa Mwaka wa Fedha 2022/23 leo tarehe 29 Julai 2022 Jijini Dar es Salaam.

BAADHI ya wahariri wakimsikiliza Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda (hayupo pichani) wakati akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari juu ya Mwelekeo wa Wizara, Vipaumbele na Maeneo ya Kimkakati katika Utekelezaji kwa Mwaka wa Fedha 2022/23 leo tarehe 29 Julai 2022 Jijini Dar es Salaam.

About the author

mzalendoeditor