Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

betsat

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

VITUO VYA AFYA KOROGWE VYAIPONGEZA MSD KUWAFIKISHIA VIFAA TIBA

Written by Alex Sonna

Jenereta maalum ikishushwa Kituo cha Afya Mkumbara kilichopo wilayani Korogwe, mkoani Tanga baada ya kupokea vifaa hivyo vilivyonunuliwa na serikali kupitia Bohari ya Dawa MSD.Jenereta maalum pamoja na baadhi ya vifaa tiba vilivyonunuliwa na serikali vikishushwa katika Kituo cha Afya cha Majengo, wilayani Korogwe.Vifaa hivi ni kwa ajili ya kuboresha huduma za dharula kwa mama wajawazito na watoto (CEMONC)

*********

NA MWANDISHI WETU

WANANCHI wa eneo la Mkumbara wilayani Korogwe mkoani Tanga wameishukuru serikali kwa hatua zilizochukuliwa za kununua vifaa vya kisasa vya huduma ya mama na mtoto ambavyo vitasaidia kuokoa maisha ya wajawazito wanaokabiliwa na changamoto za uzazi na kuhitaji kufanyiwa upasuaji.

Wamesema, katika kijiji hicho kwa muda mrefu kituo cha afya kilikuwa hakina jenereta hivyo inapotokea hitilafu ya umeme huweza kuhatarisha utoaji huduma kwa wagonjwa wanaokuwepo kituoni hapo.

Akizungumza katika kijiji hicho mkoani Korogwe, Mwenyekiti wa Kamati ya afya ya kijiji Rajabu Dassa, alisema wanaishukuru serikali kwa kuboresha huduma za afya katika kijiji hicho hususani za wanawake na watoto kwa kuwa awali walikuwa wakitembea umbali wa kilometa 21 kufuata huduma hizo,hasa za upasuaji.

Dassa ameongeza kuwa,mbali na jenereta walilopokea, huduma ya vifaa tiba hususani vya maabara na dawa pia imekuwa ya uhakika.

Aliiomba serikali, kuendelea kuboresha miundombinu ikiwemo ujenzi wa wodi za wanawake na wanaume, kwa kuwa kwa sasa hazitoshelezi uhitaji.

Naye Mganga Mfawidhi wa kituo hicho Dkt.Peter Mfumya, alisema kituo hicho kinahudumia kata sita ikiwemo ya Mazinde, Mkumbara, Mkomazi,Bendera, Hedaru na Ndunga.

Alisema awali kabla ya kuja kwa jenereta hilo na vifaa vya kisasa walikuwa wakifanya upasuaji hususani kwa wajawazito kwa kutegemea umeme wa Shirika la TANESCO pekee na inapotokea hitilafu, vifaa husika vilihifadhi umeme kwa saa tatu tu kabla ya kuzimika.

“Hapa watu wanaohitaji huduma ya upasuaji ni wengi hususani wajawazito ikitokea umeme umekatika, vifaa vinahifadhi nishati hiyo kwa saa tatu tu, kama hamjamaliza ndio hatari hivyo hutulazimu kufanya haraka haraka ili isitokee shida,”alisema.

Alisema kwa siku wanahudumia wagonjwa 100, hivyo wanamshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza watoa huduma katika ajira mpya za hivi karibuni kwa kuwa awali walikuwa 10 na sasa wataongeza saba, hali itakayowezesha kuwa na muda wa kupumzika.

Pia Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Korogwe Mji Dkt.Salma Suedi alisema awali walikuwa wakitumia jenereta ndogo ambalo halina uwezo wa kutosha hivyo wanashukuru kuletwa kwa jingine jipya vifaa nakutengewa sh.bilioni 1.2 kwa ajili ya ukarabati wa miundombinu ya hospitali hiyo.

About the author

Alex Sonna