Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

google

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

lisanslı casino siteleri

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

maxwin

jojobet

casibom

ultrabet giriş

lunabet

jojobet

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

piabellacasino

ultrabet

piabellacasino

piabellacasino

kulisbet

betlike

artemisbet

piabellacasino

jojobet giriş

mavibet

casinoroyal

artemisbet

hdabla

doeda

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

matbet

dinamobet giriş

jojobet

casibom

ultrabet

goldenbahis

jojobet

jojobet

casibom

casibom

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

jojobet

royalbet

jojobet

kafacasino

betface

pashagaming

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

avrupabet

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

Featured Michezo

NBC DODOMA MARATHONI KUFANYIKA JULAI 31, 2022 JIJINI DODOMA

Written by Alex Sonna

Na Ezekiel  Mtonyole – Dodoma.

Mashindano ya riadha yajulikanayo kama NBC Dodoma marathoni yanatarajiwa kufanyika Julai 31, 2022 Jijini Dodoma huku yakishirikisha wanariadha zaidi ya 5000 na zaidi ya shilingi milioni 65 zitatolewa kwa washindi wa mbio hizo na fedha zitakazokusanywa zitakwenda kusaidia kutibu wagonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi katika taasisi ya saratani ya Ocean Road Jijini Dar es saalam.

Akizungumza leo Julai 18,2022 na waandishi wa habari Jijini Dodoma kuelekea maandalizi ya mbio za marathoni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka amesema maandalizi kwa kiasi kikubwa yamekamilika na kuwataka wanariadha kuendelea kujiandikisha ili kushiriki mbio hizo.

“Mashindano haya kwa sasa yameboreshwa kwa kiasi kikubwa tofauti na miaka mingine na sisi kama mkoa tumejiandaa kupokea wageni mbalimbali watakaokuja kushiriki mashindano hayo” amesema Mtaka.

Amesema mshindi katika mashindano hayo kwa kilomita 42 mshindi atapokea kiasi cha shilingi milioni 8 lakini endapo mshindi atakuwa ni mtanzania atapokea kiasi cha shilingi milioni 10 ikiwa ni kuamsha ali kwa wazawa kushiriki katika mashindano ya riadha.

“kama mshindi wa kilomita 42 atakuwa ni mzawa basi atapokea kiasi cha milioni 10 kama zawadi vivyo hivyo kwenye kilomita 21 mshindi wa jumla atapata milioni 4 lakini kama atapata mzawa atazawadiwa milioni 5 watanzania wachangamkie fulsa hii nzuri sana kwa watanzania” amesema.

Pia amewataka waandaaji wa mashindano kutowazuia wakimbiaji wanaotoka katika mataifa mengine kwani hao watasisimua ali na kuwapa changamoto wazawa nao kushiriki kikamilifu katika mbio hizo na kuwapa uzoefu wazawa kuweza kushindana kimataifa.

“Tumeona jana kwenye mashindano ya dunia kuna mtanzania alishika nafasi ya 7 kwahiyo asingekuwa anapata changamoto kwa wakimbiaji wa nje asingeweza kupata hiyo nafasi na sisi tunataka kwenda kimataifa wengi zaidi na mbio hizi za NBC Dodoma marathon tunataka ziwe za kimataifa” amesema.

Mtaka amewataka wakazi wa Mkoa wa Dodoma kuzipokea mbio hizo kam a dirisha la kiuchumi na kujiandaa na kuendana na ongezeko la mahitaji ya kijamii kwa kuwa washiriki zaidi ya 7000 watahitaji huduma mbalimbali ambazo itakuwa fulsa kwa wakazi wa mkoa wa Dodoma.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Theobald Sabi amesema Benki hiyo inafuraha kuandaa tena mbio hizo ikiwa ni mwaka wa tatu kuandaa mbio hizo na kwa mwaka huu kuna mabadiliko makubwa sana na zawadi nono.

“dhamira yetu ni kukusanya zaidi ya shilingi milioni 200 na kuzipeleka katika taasisi ya saratani ya Oceon Raod katka kusaidia mapambano dhidi ya salatani ya shingo ya kizazi kwa wanawake hapa nchini” amesema Sabi.

Amesema jambo la kutia moyo ni kwamba saratani hii inazuilika na kutibiwa iwapo itagundulika mapema na hili ni jukumu letu kwa pamoja kuiunga mkono serikali katika mapambano dhidi ya saratani ya shingo ya kizazi.

Sabi pia amebainisha kuwa kwa miaka miwili iliyopita mbio za NBC Dodoma Marathoni zimekuwa na mafanikio makubwa na kufanikiwa kukusanya zaidi ya shilingi milioni 300 ambazo zilisaidia wanawake zaidi ya 9000 kupima  ambao kati yao wanawake 550 waligundulika kuwa na saratani na mpaka sasa wanaendelea na matibabu.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabir  Shekimweri amesema mashindano hayo yatasaidia sana kusisimua uchumi wa Jiji la Dodoma kwa kuwa majiji mengi yanachangamka kwa kuwa na shughuli mbalimbali kama hizo.

Pia amewashauri waandaaji wa mbio hizo kuwakumbuka watu wenye ulemavu na kuwaandalia mbio maalumu hali itakayosaidia kuamsha ali kwa watu wenye ulemavu kushiriki katika michezo kama ilivyo kwa tembo worious wanavyo wanavyoiwakilisha nchi.

About the author

Alex Sonna