Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

google

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

lisanslı casino siteleri

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

maxwin

jojobet

casibom

ultrabet giriş

lunabet

jojobet

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

piabellacasino

ultrabet

piabellacasino

piabellacasino

kulisbet

betlike

artemisbet

piabellacasino

jojobet giriş

mavibet

casinoroyal

artemisbet

hdabla

doeda

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

matbet

dinamobet giriş

jojobet

casibom

ultrabet

goldenbahis

jojobet

jojobet

casibom

casibom

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

jojobet

royalbet

jojobet

kafacasino

betface

pashagaming

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

avrupabet

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

Featured Kitaifa

MRADI WA RUSUMO KUONGEZA UHAKIKA WA UMEME KANDA YA ZIWA

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nishati, Mhe.January Makamba akikagua kazi zinazoendelea kutekelezwa katika mradi wa umeme wa Rusumo.

Waziri wa Nishati, Mhe.January Makamba akikagua kazi zinazoendelea kutekelezwa katika mradi wa umeme wa Rusumo.

Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba akizungumza na wananchi katika Kijiji cha Bunazi wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera ambapo pamoja na kueleza juhudi za Serikali katika kusambaza umeme vijijini alitoa elimu kuhusu Nishati safi ya kupikia

Waziri wa Nishati, Mhe.January Makamba akimkabidhi mtungi wa gesi Bi.Nuriath Azizi kutoka Kijiji cha Bunazi wilayani Misenyi ikiwa ni uhamasishaji wa nishati safi ya kupikia.

…………………………………

Imeelezwa kuwa, kukamilika kwa mradi wa umeme wa Rusumo wa megawati 80 kutaimarisha hali ya upatikanaji umeme katika mikoa ya Kanda ya Ziwa ambapo kumekuwa na changamoto ya kuwepo kwa umeme pungufu na usio wa uhakika na pia kuufanya Mkoa wa Kagera kuanza kutumia umeme wa gridi.

Waziri wa Nishati, Mhe.January Makamba alisema hayo wilayani Ngara mkoani Kagera wakati alipokagua kazi ya ujenzi mradi huo wa ubia baina ya nchi za Tanzania, Rwanda na Burundi ambapo umeme utakaozalishwa utagawanywa kwa usawa baina ya nchi hizo.

“Mradi huu umekuwa na changamoto  nyingi lakini katika kipindi cha miezi Sita iliyopita tumefanya kazi kubwa ya kusukuma na kushirikiana na wenzetu ili kuhakikisha kwamba unakamilika haraka, tunautegemea sana mradi huu katika kuongeza uwezo, nguvu na uhakika wa umeme katika Kanda ya Ziwa, sasa tunafurahi kwa hatua iliyofikia sasa na tutaendelea kuusimamia ili kuongeza mchango katika gridi ya Taifa.” Alisema Makamba

Alieleza kuwa mradi huo unaohusisha ujenzi wa mtambo wa uzalishaji umeme, bwawa, eneo la kupokea umeme kabla haujasambazwa na ujenzi wa njia za kusafirisha umeme kutoka eneo la mradi hadi  Nyakanazi, umefikia asilimia 95 na unatarajiwa kukamilika mwezi Novemba mwaka huu.

Kuhusu ujenzi wa njia ya kusafirisha kutoka eneo la mradi hadi Nyakanazi alimtaka mkandarasi wa mradi huo kuongeza kasi ya ujenzi ili umalizaji wa miundombinu hiyo ya kuchukua umeme kwenye mradi wa Rusumo uendane sambamba na umalizaji wa mitambo ya kuzalisha umeme.

Waziri wa Nishati pia alikagua eneo kutakapojengwa kituo cha kupoza umeme cha BENACO na ameitaka TANESCO kuhakikisha kuwa inaharakisha ujenzi wa kituo hicho ambacho kitatoa umeme kutoka mradi wa Rusumo na kuusafirisha kwa msongo wa kV 220 kwenda Kyaka mkoani Kagera  ili mkoa huo upate umeme kutoka gridi ya Taifa badala ya Uganda.

Kuhusu malalamiko ya fidia kwa kaya 1200 zilizoathirika kutokana na kufunga njia kubwa ya maji ili kuetekeleza mradi wa umeme wa  Rusumo, alieleza kuwa kaya zilizothibitishwa hadi sasa na Serikali ni 1,041 na watalipwa fidia hiyo mwezi wa Tisa mwaka huu na pia nyumba 304 zilizoathirika na shughuli hizo za ujenzi zitakarabatiwa.

Pamoja na kukagua miradi ya umeme katika Wilaya ya Ngara, Karagwe na Misenyi mkoani Kagera, Waziri wa Nishati alihamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia na kugawa mitungi ya gesi 200 kwa vikundi vya Mama Lishe ambao wanatumia kuni na mkaa kupikia.

About the author

Alex Sonna