Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU ATETA NA MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE

Written by mzalendoeditor

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Mwenyekiti wa CHADEMA  Taifa, Freeman Mbowe baada ya mazungumzo yao kwenye ofisi ndogo ya Waziri Mkuu jijini Dar Es Salaam

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi  Mtendaji wa Kiwanda cha Kusafisha Madini ya Dhahabu Geita (GGR),  Sarah Masasi, ofisi ndogo ya Waziri Mkuu jijini Dar Es Salaam, Julai 13, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

mzalendoeditor