Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

vdcasino

lordcasino

marsbahis

vipslot

celtabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

betlivo

eyfelcasino

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

casival

luxbet

betnis

parmabet

betvoy

holiganbet

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

armabahis

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

betlivo

hazbet

netbahis

betra

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

robinbet giriş

casibom giriş

holiganbet

bets10

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

Gameofbet

jojobet

betmarino

avrupabet

lordcasino giriş

dengebet

celtabet

betcool

kareasbet

betcool

millibahis

betnis giriş

casival

betvoy

hazbet

betnef

avrupabet

betmarino giriş

betmani

betvakti

marsbahis

prensbet

betmani

millibahis

eyfelcasino

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

gobahis

betnef

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

armabahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

grandpashabet

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat giriş

jojobet

radissonbet

sweet bonanza

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

betvakti

parmabet

gobahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

mislibet giriş

cratosroyalbet

mislibet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

porno izle

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casinomaxi

jojobet

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

test

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

MRAMBA:’MWEZI AGOSTI 2022 TUNAWASHA UMEME WA GRIDI KIGOMA’

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kituo cha Nyakanazi, Makampuni ya Wakandarasi waliojenga kituo hicho, Mameneja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa, wakati wa ziara ya kukagua kituo cha hicho na njia ya kusafirisha umeme kutoka Mradi wa RUSUMO hadi kituo cha Nyakanazi, Julai 6, 2022, mkoani Kagera.

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba (wapili kulia) akikagua Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Nyakanazi, wakati wa ziara ya kukagua kituo cha hicho na njia ya kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo hadi kituo cha Nyakanazi, Julai 6, 2022, mkoani Kagera.

Mashine umba tatu zitakazotumika katika Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Nyakanazi, kwa ajili ya kusabaza umeme wa Gridi ya Taifa katika Mkoa wa Kigoma na mikoa jirani. Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba alifanya ziara ya kukagua kituo cha hicho na njia ya kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo, Julai 6, 2022, mkoani Kagera.

Kazi ya uvutaji wa nyaya za umeme ukiendelea katika nguzo zitazotumika kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo hadi Kituo cha Umeme cha Nyakanazi, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba alifanya ziara ya kukagua kituo cha hicho na njia ya kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo, Julai 6, 2022, mkoani Kagera.

Mafundi wakiendelea na Kazi ya kusimamisha nguzo za umeme zitazotumika kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo hadi Kituo cha Umeme cha Nyakanazi, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba alifanya ziara ya kukagua kituo cha hicho na njia ya kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo, Julai 6, 2022, mkoani Kagera.

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba (wapili kulia) pamoja na ujumbe alioambata nao akiangalia kazi ya usimamishaji wa nguzo za umeme zitazotumika kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo hadi Kituo cha Umeme cha Nyakanazi, wakati wa ziara ya kukagua kituo cha hicho na njia ya kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo, Julai 6, 2022, mkoani Kagera.

Kamishna Msaidizi wa umeme Wizara ya Nishati, Innocent Luoga(kulia) na Meneja wa Tanesco Mkoa wa Geita, wakitoka kukagua kazi ya kusimamisha nguzo za umeme zitazotumika kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo hadi Kituo cha Umeme cha Nyakanazi, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba alifanya ziara ya kukagua kituo cha hicho na njia ya kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo, Julai 6, 2022, mkoani Kagera.

………………………………………………..

Na Zuena Msuya, Kagera

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amewahakikishia wakazi wa Mkoa wa Kigoma kuwa Mwezi wa Agosti mwaka huu, mkoa huo utaanza kutumia umeme wa Gridi ya Taifa.

Mramba alisema hayo baada ya kukagua na kuona maendeleo ya ujenzi wa Kituo cha Kupoza na Kusambaza umeme cha Nyakanazi na ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka Mradi wa umeme wa Rusumo wenye Msongo wa Kilovolti 400, alipofanya ziara Julai 6, 2022.

Mramba alisema katika bajeti ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2022/2023  ilieleza kuwa itapeleka umeme wa Gridi, katika mkoa huo.

Alisema kuwa wakandarasi wanaotekeleza miradi hiyo wamefika katika hatua nzuri za ujenzi wa miradi hiyo na wanatarajia kukamilisha kazi hizo kabla ya mradi wa Rusumo kukamilika mwezi Novemba mwaka huu.

“Nimekagua nimeona na nimejiridhisha kuwa wakandarasi hawa wanakwenda vizuri na nimewasisitiza wakamilishe miradi hiyo mapema iwezekanavyo ili wapate muda wa kufanya majaribio ya kutosha, na punde mradi wa Rusumo ukikamilika na kuanza kuzalisha umeme kusitokee changamoto ya aina yeyote”, alisema Mhandisi Mramba.

Alisema mradi wa Rusumo unahusisha nchi tatu ambazo ni Tanzania, Rwanda na Burundi, na utakamilika Novemba, hivyo Tanzania inataka kuanza kutumia umeme huo mara tu baada ya kuanza kuzalishwa kwakuwa uwezo wa kufanya hivyo inao, na haiko tayari kubaki nyuma.  

Aidha alisema licha ya Nyakanazi kuwa chanzo cha kupeleka umeme Kigoma, baada ya kupokea umeme wa Rusumo pia kinapokea umeme wa Geita.

Alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa muda si mrefu, Mkoa wa Kigoma utakuwa na utajiri mkubwa wa umeme kuliko mikoa mingine kwa kuwa utapata umeme mwingi zaidi kutoka katika miradi mingi ya umeme inayoendelea kutekelezwa na kupita katika mkoa huo.

Alitaja miradi hiyo kua ni pamoja na huo wa Nyakazi ambao utapelekeaji wa umeme katika mkoa huo utafanyika kwa hatua mbili moja ya kupelekea umeme wa Kilovolti 33 ambao utaanzia katika kituo hicho hadi Kakonko na utakamilika mwezi huo wa Agosti , awamu ya pili ni upelekeaji wa umeme wa Kilovolti 400 ambao huo utakamilika mwezi Januari mwakani.

Umeme huo mkubwa utaungana na umeme unaotoka Sumbawanga, Katavi, hadi Kigoma, pia utaungana na umeme utaokaotoka katika kituo kipya kinachojengwa Malagarasi kupitia Kidawe.

Aliweka wazi kuwa kwa Mkoa wa Kigoma kuingia katika gridi ya taifa hivi karibuni ni jambo ambalo litakuwa historia kwani watu hao wamekuwa wakikabiliwa na changamoto hiyo kwa miaka mingi iliyopita.

Hata hivyo alisema kuwa kuunga Mkoa wa Kigoma katika Gridi ya Taifa kutaipunguzia serikali gharama kubwa iliyokuwa ikipata ya kununua mafuta mazito yaliokuwa yakitumika kuendesha kituo kidogo cha umeme katika mkoa huo.

Alimewataka wakazi wa Kigoma kujiweka tayari kuanza kutumia umeme huo katika shughuli mbalimbali za uzalishaji kwa kuwa utakuwa ukipatikana kwa wakati wote na kupunguza adha ya kukatika mara kwa mara na wakati mwingine kupata umeme wenye nguvu ndogo.

Katika ziara hiyo Katibu Mkuu huo aliambatana na Kamishna Msaidizi wa umeme kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga, na Maafisa wengine kutoka wizara hiyo na TANESCO.

Kwa upande wake, Naibu Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Peter Kigadye alisema kuwa shirika hilo kwa sasa limeongeza jitihada za kuhakikisha kuwa umeme wa Gridi ya Taifa inafika katika mikoa yote ambayo bado haijafikiwa.

Na nguvu zaidi imeelekezwa katika kuhakikisha miradi ya kutatua changamoto za umeme inasimamiwa vyema na kutekelezeka ili kutimiza malengo yalioweka na TANESCO katika kuwahudumia watanzania.

Kigadye alisema kupitia kituo cha Nyakanazi na njia ya kusafirisha umeme kutoka Rusumo hadi katika kituo hicho ni ushahidi tosha kuwathibitishia wananchi kuwa TANESCO na serikali kwa ujumla imedhamiria kuondoa changamoto ya umeme kwa wananchi wake.

About the author

Alex Sonna