marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sakarya escort

izmit escort

matbet

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

marsbahis giriş

marsbahis

perabet giriş

interbahis

betmarino

betpipo giriş

imajbet

betmarino

casinowon

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

aaa

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

holiganbet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

türk ifşa

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

ngsbahis giriş

perabet

ngsbahis

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

vbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

lordcasino

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

deneme bonusu

jasminbet

jasminbet giriş

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

Featured Kitaifa

‘WAZIRI MHAGAMA:’TASAF YABORESHA HUDUMA YA AFYA YA MAMA NA MTOTO MKOANI NJOMBE’

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akielezea azma ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ya kutoa fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kwa ajili ya kuboresha huduma za afya katika Mkoa wa Njombe.

Mwonekano wa jengo la afya ya mama na mtoto katika Mkoa wa Njombe linaloendelea kujengwa kupitia fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)

Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Mhe. Kissa Kasongwa akielezea namna miradi ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) inavyowanufaisha wananchi wa Mkoa wa Njombe wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama iliyolenga kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika Mkoa wa Njombe.

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Bw. John Steven akielezea namna TASAF ilivyochangia kuboresha huduma za jamii katika sekta ya afya, elimu na miundombinu katika Mkoa wa Njombe wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama iliyolenga kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika mkoa huo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Waratibu na Wahasibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Mkoa wa Njombe wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika mkoa huo.

Waratibu na Wahasibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika Mkoa wa Njombe.

Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Njombe, Bi. Sharifa Nabarangánya akielezea namna miradi ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) inavyowanufaisha wananchi halmashauri yake wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama iliyolenga kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika Mkoa wa Njombe.

Mratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) wa Halmashauri ya Mji Makambako, Bw. Regis Ngítu akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wa halmashauri hiyo kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika Mkoa wa Njombe.

…………………………………….

Na. James K. Mwanamyoto-Njombe

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amesema, Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) inajenga wodi ya afya ya mama na mtoto katika Hospitali ya Kibena iliyopo wilayani Njombe itakayoboresha huduma ya afya ya uzazi kwa akina mama ikiwa ni pamoja na kutunza watoto waliozaliwa kabla ya muda mkoani Njombe. 

Mhe. Jenista amesema hayo, wakati akikagua mradi wa ujenzi wa wodi ya afya ya mama na mtoto wilayani Njombe akiwa kwenye ziara ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF mkoani Njombe. 

“Jengo hili tulilolikagua leo ni wodi ya akina mama wanaojifungua, vilevile jengo hili limeandaliwa pia kwa ajili ya matunzo ya watoto ambao wamezaliwa kabla ya muda maalum kama watoto njiti,” Mhe. Jenista amefafanua.

Akizungumzia idadi ya miradi ya TASAF mkoani Njombe, Mhe. Jenista amesema, Mkoa wa Njombe una miradi 54 ambayo imegawanyika katika halmashauri zote, na kuongeza kuwa, jambo la kufurahia ni kuwa miradi hiyo imelenga kutatua changamoto zinazowakabili wananchi katika sekta za elimu, afya na miundombinu ya barabara.

“Halmashauri za Wilaya ya Njombe, Makambako na Makete zilikuwa zikikabiliwa na changamoto kubwa ya upungufu wa madarasa katika shule za msingi na kuna maeneo yalikuwa na shule shikizi hivyo kuwalazimu watoto wa shule kutembea umbali mrefu kwa ajili ya kuhudhuria masomo, lakini Serikali kupitia maono ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ya utekelezaji wa miradi ya TASAF imefanikiwa kutatua changamoto zote hizo,” Mhe. Jenista amesisitiza.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Mhe. Kissa Kasongwa amesema kuwa jengo hilo la afya ya mama na mtoto ambalo litatumika pia kuhifadhi watoto wanaozaliwa kabla ya muda litatatua changamoto kubwa ya huduma hiyo iliyokuwa ikiwakabili wananchi katika wilaya yake.

“Wananchi wilayani Njombe waliposikia Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kupitia TASAF ametoa shilingi milioni 92 kujenga jengo hili la afya ya uzazi kwa akina mama, nao walichangia shilingi milioni 11 ndani ya wiki moja ili kuunga mkono jitihada za Mhe. Rais za kuboresha huduma katika sekta ya afya,” Mhe. Kasongwa ameeleza.

Naye, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, Bi. Sharifa Nabarang’anya amesema, wananchi wake wanamshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutatua changamoto zilizokuwa zikiwakabili kwenye sekta ya afya, elimu na miundombinu, akiainisha kuwa kuanzia mwezi Machi mwaka huu, halmashauri yake imepokea jumla ya shilingi milioni 495 kwa ajili ya kujenga zahanati tatu ambazo zitakamilika tarehe 30 Agosti, 2022 na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

Aidha, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe, Bi. Kuruthum Sadick amemshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuleta miradi mikubwa inayoboresha huduma za kijamii kwa wananchi, hususan mradi wa ujenzi wa jengo la afya ya mama na mtoto ambao utatoa huduma kwa akina mama wengi wa Mkoa wa Njombe. 

Akimuwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Bw. John Steven ambaye ni Mkurugenzi wa Miradi TASAF amesema kuwa, ameambatana na Waziri Jenista Mhagama kwa ajili ya kukagua miradi ya TASAF inayofadhiliwa na Shirika la Uzalishaji Mafuta Duniani (OPEC) ambayo itatekelezwa mpaka mwaka 2025 mkoani Njombe.

Jumla ya miradi 54 ya TASAF mkoani Njombe inafadhiliwa na Shirika la Uzalishaji Mafuta Duniani (OPEC). 

About the author

Alex Sonna