Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

rekabet

matbet

maxwin, maxwin giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

betper

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

lisanslı casino siteleri

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

maxwin

jojobet

marsbahis

ultrabet giriş

lunabet

artemisbet giriş

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

piabellacasino

jojobet

piabellacasino

piabellacasino

kulisbet

mavibet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

holiganbet giriş

mavibet

mavibet giriş

artemisbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

matbet

dinamobet giriş

casibom

casibom

betkolik

goldenbahis

casibom

goldenbahis

casibom

kalebet

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

luxbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

İmajbet

betface

betface

piabellacasino

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

pokerklas

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

Featured Kitaifa

CHUO KIKUU CHA MZUMBE KUFUNGUA TAWI TANGA

Written by Alex Sonna

MKUU wa Mkoa wa Tanga Adam Malima akizungumza mara baada ya mazungumzo hayo
MKUU wa Mkoa wa Tanga Adam Malima  akiongoza kikao cha majadiliano ya
kuanzishwa kwa Kampasi ya Chuo cha Mzumbe Mkoani hapa na uongozi wa chuo
hicho
MKUU wa Mkoa wa Tanga Adam Malima akiongoza kikao cha majadiliano ya
kuanzishwa kwa Kampasi ya Chuo cha Mzumbe Mkoani hapa na uongozi wa chuo
hicho

 Serikali imetenga Sh bilioni 15 kwa ajili ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe mkoani Tanga.
Makamu
Mkuu wa chuo hicho, Profesa Lughano Kusihika amesema hayo wakati yeye
na ujumbe wake ulipokutana na Mkuu wa Mkoa wa Tanga kwa ajili ya
mazungumzo na kujadiliana eneo la kujenga chuo hicho.
Alisema
serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeamua kwamba
Chuo Kikuu cha Mzumbe kishiriki katika kuanzishwa kwa chuo kikuu katika
Mkoa wa Tanga na kwamba fedha kwa ajili ya shughuli hiyo ni mkopo wa
masharti nafuu kutoka Benki ya Dunia (IMF) kwa ajili ya kuboresha
miundombinu na rasilimali watu na Mzumbe ni moja kati ya vyuo ambavyo
vimepata fursa hiyo.
“Kwa
ajili ya kuanzisha kampasi ya Tanga zimetolewa Sh bilioni 15 kwa hiyo
tuko katika maandalizi ya kufanya shughuli hiyo na sisi kama Mzumbe
tumefurahi kwa heshima ambayo tumepewa Mkoa wa Tanga ya kuja kuanzisha
kampasi yetu hapa.
“Mkoa wa
Tanga wote tunaufahamu ni mkoa mkubwa ambao una mambo mengi na huko
nyuma ulikuwa ni maarufu sana kwa ajili ya viwanda na wote tunajua
kwamba serikali yetu inataka kujenga uchumi wa viwanda, kwa hiyo sisi
ambao tuko katika vyuo vikuu tunatakiwa tushiriki kikamilifu katika
shughuli hii na mradi wenyewe kwa ujumla wake unafadhiliwa na IMF kwa
mageuzi ya kiuchumi,” alisema.
Alitaja
lengo kubwa la serikali ni kuangalia namna gani vyuo vikuu
vitashirikiana na jamii katika maeneo mbalimbali kuendesha programu na
kujenga uwezo kwenye maeneo hayo na kufanya shughuli ambazo zitaleta
mageuzi.
Profesa Kusihika
alisema bado wanaendelea na majadiliano ya kupata eneo ambalo wanaweza
kuanza ujenzi ambapo alifafanua zaidi lengo la serikali ni kuanzisha
kampasi na kuikuza halafu huenda huko mbeleni ikafika mahala ikawa ni
chuo kikuu kinachojitegemea.
“Kwa
hiyo tunawaomba sana wakazi wa Mkoa wa Tanga na viongozi wao, wapokee
hili wazo zuri kutoka serikalini kwa sababu lina maslahi makubwa na
mapana kwa nchi yetu maana sasa hivi serikali inafanya mapinduzi makubwa
katika mkoa huu ambapo inakwenda kuwekeza kwenye bandari pia tunajua
bomba la mafuta linalotoka Hoima litakuja kuingia Tanga.
“Hayo
yote yanaonyesha kwamba tutakuwa na shughuli nyingi za kiuchumi lakini
tunahitaji kuwatayarisha watu wetu ili waweze kushiriki katika kutumia
fursa hizo na maendeleo ya mkoa wa Tanga na Tanga ikiendelea inachangia
kwenye maendeleo yetu,” alisema Profesa Kusihika.
Awali,
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima alisema wamefanya mazungumzo na
uongozi wa kujua wanafanya lakini fedha zimeshatoka kwa ajili ya
kuanzisha chuo kikuu hicho mkoani hapa.
“Tulichokunaliana
ni kwamba mwezi ujao Julai hadi Agosti, tutaanzisha Chuo Kikuu cha
Mzumbe hapa Tanga kwenye maeneo ya makazi ya muda wakati tunafanya
ujenzi wa makazi ya kudumu kwa sababu kuna maeneo matatu Mkinga, Muheza
na Tanga.
“Tulikuwa
tunajadiliana maeneo kwa sababu mwanzo ilikuwa fikra kwamba lipatikane
eneo la ekari kama 200 lakini ukipata ekari 200 leo baada ya miaka 20
utahitaji eneo la ekari 300-400 huna sehemu ya kupanua Tukasema hapana
ndiyo maana nimewaita wakuu wangu wa wilaya wa maeneo hayo, Mstahiki
Meya, Katibu Tawala na Ofisa Elimu wa Mkoa kwa sababu ni jambo ambalo
kimkakati kwa masaa haya yanayokuja tunataka tupate eneo ambalo wote
hapa tutaliangalia kwa pamoja,” alisema Malima.
Pamoja
na mambo mengine, Malima alisema walikuwa na mkutano na Katibu Mkuu wa
Mifugo wakakubaliana kutakuwa na Kitivo cha Mifugo ili kuendana na
mahitaji ya mifugo, Kitivo cha Mambo ya Uchumi wa Buluu na mambo mengi
ambayo bado wanawaza ili chuo kiwe kinafundisha masomo mahsusi ambayo
yanaendana na mahitaji ya kanda hiyo na maeneo mengine ya Tanzania kwa
ujumla.
“Tumekuwa na mkutano
mzuri ambao tunaamini kwa maamuzi haya Tanga sasa itapata chuo kikuu na
fikra ni kwamba baada ya miaka 10 kiwe ni chuo kikuu kinachojitegemea.
“Tunawashukuru
uongozi kwa kutufikiria sisi Tanga kwanza kama ni sehemu ya kuja kuweka
tawi lao nataka niwahakikishie Wanatanga kuwa huenda mwaka huu au
mwakani tutakuwa kwenye makazi ya muda miaka miwili tutakuwa kwenye eneo
mahsusi,” alisema.

About the author

Alex Sonna