Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU AWAAGA WANAOELEKEA MSOMERA

Written by mzalendoeditor

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwaaga wananchi takribani 117 kutoka kaya 27 wanaohama kwa hiari yao wenyewe kutoka katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro kuelekea kijiji cha Msomera, Handeni. Katika Ofisi za Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro Karatu, Arusha Juni 23, 2022

About the author

mzalendoeditor