marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

escort bayan

imajbet

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

casibom

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

vaycasino giriş

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

bahis siteleri

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

eminevim

tipobet

tipobet giriş

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

Featured Kitaifa

PROF.SHEMDOE ATOA MAAGIZO KWA MAAFISA ELIMU MIKOA,WILAYA NA HALMASHAURI NCHINI

Written by Alex Sonna

Katibu  Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa OR TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe akizungumza wakati akifungua kikao kazi cha maafisa Elimu wa Halmashauri 33 ambako mradi wa CAMFED unatekelezwa walipokutana Juni 21,2022 jijini Dodoma kuona namna bora ya kuendelea na mradi huo.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la CAMFED Bi. Lyidia Wilbad akizungumza wakati wa ufunguzi  kikao kazi cha maafisa Elimu wa Halmashauri 33 ambako mradi wa CAMFED unatekelezwa walipokutana leo Juni 21,2022 jijini Dodoma kuona namna bora ya kuendelea na mradi huo.

Mkurugenzi wa Elimu kutoka OR TAMISEMI Mwalimu Ephraimu Simbeye akizungumza wakati wa ufunguzi  kikao kazi cha maafisa Elimu wa Halmashauri 33 ambako mradi wa CAMFED unatekelezwa walipokutana Juni 21,2022 jijini Dodoma kuona namna bora ya kuendelea na mradi huo.

Mkurugenzi Msaidizi Elimu ya Sekondari kutoka OR TAMISEMI Bi. Hadija Mcheka, akizungumza wakati wa ufunguzi  kikao kazi cha maafisa Elimu wa Halmashauri 33 ambako mradi wa CAMFED unatekelezwa walipokutana leo Juni 21,2022 jijini Dodoma kuona namna bora ya kuendelea na mradi huo.

Baadhi ya Maafisa Elimu kutoka Halmashauri 33 ambako mradi wa CAMFED unatelelezwa wakimsikiliza Katibu Mkuu OR TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi  kikao kazi cha maafisa Elimu wa Halmashauri 33 ambako mradi wa CAMFED unatekelezwa walipokutana Juni 21,2022 jijini Dodoma.

Katibu  Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa OR TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe wa tatu kutoka kushoto waliokaa akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa kikao kazi cha Maafisa Elimu wa Halmashauri 33 ambako mradi wa CAMFED unatekelezwa walipokutana leo Juni 21,2022 Dodoma.

……………………………………………

Na Ezekiel Mtonyole – Dodoma.

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa OR TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amewaagiza Maafisa Elimu katika Mikoa, Wilaya na Halmashauri ambako ujenzi wa shule za wasichana kila mkoa zinajengwa kuhakikisha wanazingatia miundombinu ya kujisitili kwa wanafunzi wa kike wakati wa hedhi.

Pia amewataka kuhakikisha wana simamia kikamilifu miradi ya CAMFED inayotekelezwa na taasisi inayojishughulisha na kusaidia watoto wa kike kupata elimu mradi unaotekelezwa katika Halmashauri 33 hapa nchini.

Prof. Shemdoe ametoa maagizo hayo Jijini Dodoma wakati akifungua kikao kazi cha Maafisa Elimu wa Halmashauri 33  ambazo mradi wa CAMFED unatekelezwa waliokutana kwa lengo kujadili namna bora ya kuboresha utendaji kazi wa mradi huo.

Ambapo amesema kuna ujenzi wa shule 26 za wasichana ambapo kila mkoa itajengwa shule moja na kwa kuanza wanaanza na shule 10 katika mikoa 10 kupitia mradi wa SEQUIP.

“Kwa kutambua umuhimu wa kumlea mtoto wa kike wa Tanzania katika mazingira salama OR TAMISEMI na Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia tunajenga shule 26 za wasichana kupitia mradi wa SEQUIP naagiza kila shule iwe na mazingira wezeshi kwa watoto wa kike kujisitiri” Amesema Prof. Shemdoe.

Pia amebainisha kupitia mradi huo watoto wa kike walioachishwa masomo kwa sababu mbalimbali wamerejeshwa shule ndani ya miaka miwili na kuendelea na masomo katika mfumo rasmi na nje ya mfumo yote hayo ni katika kuweka mazingira mazuri kwa mtoto wa kike kupata masomo.

Akizungumzia mradi wa CAMFED Prof. Shemdoe amesema mradi huo umekuwa mkombozi mkubwa kwa watoto wa kike kupata elimu hasa wale wanaotoka katika familia zisizojiweza ambao kupitia mradi huo watoto hao wanawezeshwa mahitaji mbalimbali na hatimaye kuendelea na masomo.

“Napenda kuwashukuru CAMFED kwa kazi kubwa na nzuri wanayoifanya katika nchi yetu mnasaidia kutekeleza vipaumbele vya serikali kuhakikisha watoto hususa ni watoto wa kike wanapata elimu kwa kuwasaidia katika nyanja mbalimbali” amesema.

Aidha amezitaka Halmashauri 33 ambako mradi huo unatekelezwa kuhakikisha wanatoa ushirikiano wa kutosha kuhakikisha watoto wa kike wanaopatikana katika maeneo hayo wananufaika na mradi huo na hatimaye kuendelea na masomo.

“Nimejulishwa kuwa malengo mahususi ya kikao hiki ni kujadili juu ya kuendelea kufanya kazi kwa pamoja kati ya Serikali na shirika la CAMFED kwa kuangalia ni jinsi gani mradi ulioanzishwa na CAMFED inaweza kufanyika kwa ufanisi hata pindi mradi huo utakapoacha kufanya kazi lakini kazi hizo ziendelee” amesema.

Awali Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la CAMFED Bi. Lyidia Wilbard amesema shirika hilo linajishughulisha na kuwawezesha watoto wa kike kupata elimu kwa kuondoa baadhi ya vikwazo wanavyokutana navyo hasa kwa watoto wanaotoka familia maskini kuweza kuendelea na masomo.

Amesema miongoni mwa vitu wanavyowasaidia watoto wa kike kuwawezesha kuendelea na elimu ni kuwawezesha kupata sare za shule na vifaa vingine vinavyotakiwa kwa wanafunzi kuwepo shule kwa muda wote na wanaosaidiwa ni wale wanaotoka kaya maskini.

“Tunaishukuru serikali kwa juhudi kubwa wanazofanya hasa kwa kuondoa ada hali ambayo imesaidia watoto wengi kuandikishwa shuleni na kuendelea na masomo hasa kwa wale waliokuwa hawaendi shule kwa kukosa ada” amesema Bi. Lyidia.

Amesema Shirika limejikita katika kusaidia  watoto wa maskini wakiamini ya kuwa watoto wa kike wakipata elimu hata wakija kupata watoto wao lazima watahakikisha watoto wao nao wanapata elimu hivyo wanaamini watakuwa wamekomboa kizazi chake.

Amesema mpaka sasa wamezifikia shule za Sekondari zaidi ya 490 na shule za msingi zaidi ya 360 katika halmashauri 33 ambazo wamezifikia kwa kuwasaidia watoto wa kike kupata elimu ambapo wengi wangeweza kushindwa kupata elimu.

Amesema watoto wengi ambao wamewezeshwa pia wamekuwa wakiingia katika kamati za uongozi katika ngazi mbalimbali ambapo wanaamini wanawajengea watoto hao wa kike kujiamini na kupata nafasi mbalimbali za uongozi.

About the author

Alex Sonna