marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet giriş

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

meritking güncel giriş

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

Starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

nakitbahis

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

holiganbet

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

Grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pokerklas

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

tipobet

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

betist

betist

casinomilyon

amgbahis

Featured Kitaifa

ZIC,WADAU WAENDESHA MAFUNZO KUHUSU BIMA YA KIISLAM KWA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR

Written by Alex Sonna

Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zubeir Ali Maulid akizungumza na wajumbe wa Baraza hilo pamoja na wageni waalikwa wakati akizunduza semina ya siku moja kwawawakilishi hao iliyoendeshwa na Shirika la Bima Zanzibar (ZIC) kwa kushirikiana na wadau wengine visiwani humo ikilenga  kuwajenga uelewa wajumbe hao kuelekea uanzishwaji wa huduma  mpya ya Bima ya Kiislamu ‘Takaful’. Wanaomsikiliza ni pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango –Zanzibar  Mhe. Dkt Saada Mkuya (wa tatu kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima Zanzibar(ZIC) Bw Arafat Haji (Kushoto) na wadau wengine.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango –Zanzibar  Mhe. Dkt Saada Mkuya akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar  pamoja na wageni waalikwa wakati wa semina ya siku moja kwa wawakilishi hao iliyoendeshwa na Shirika la Bima Zanzibar (ZIC) kwa kushirikiana na wadau wengine visiwani humo ikilenga  kuwajenga uelewa wajumbe hao kuelekea uanzishwaji wa huduma  mpya ya Bima ya Kiislamu ‘Takaful’.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima Zanzibar(ZIC) Bw Arafat Haji akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar pamoja na wageni waalikwa wakati wa semina ya siku moja kwa wawakilishi hao iliyoendeshwa na shirika hilo kwa kushirikiana na wadau wengine visiwani humo ikilenga  kuwajenga uelewa wajumbe hao kuelekea uanzishwaji wa huduma  mpya ya Bima ya Kiislamu ‘Takaful’.

Baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa na wadau wa Bima ya Kiislamu ‘Takaful’.

……………………………………

Na Mwandishi wetu-Zanzibar

Shirika la Bima Zanzibar (ZIC) kwa kushirikiana na wadau wengine visiwani humo limeendesha mafunzo ya kujenga uwezo kwa wajumbe wa Baraza la wawakilishi Zanzibar ikiwa ni moja ya hatua muhimu kuelekea utoaji wa huduma yake mpya ya Bima ya Kiislamu ‘Takaful’.

Mafunzo hayo ya siku moja yaliyofanyika eneo Chukwani nje kidogo ya jiji la zanzibar, yalitanguliwa na mafunzo ya siku moja kwa mawakala wa bima visiwani humo yaliyofanyika visiwani Pemba huku lengo likiwa ni kuwaandaa wadau muhimu kuelekea kuanza matumizi ya bima ya kiislaam nchini.

Akizindua mafunzo hayo Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zubeir Ali Maulid alisema  kuna umuhimu mkubwa wa kuleta mabadiliko katika kukuza huduma za bima ya kiislamu nchini huku akibainisha kuwa tayari nchi nyingi duniani zimeshafanya mabadiliko ya sheria za kifedha na kodi hivyo hatua hiyo itaweza  kuweka mazingira bora ya kukuza na kustawisha huduma hizo.

“Ni imani yangu kuwa mfumo huu utaenda kuleta mabadiliko makubwa katika sekta za kibima hivyo ni wajibu wa serikali kuweka mikakati imara ili kuhakikisha  wanachi walio wengi wananufaika” alisema, 

Zaidi Mh Zubeir  aliwahamasisha wajumbe wa baraza hilo kuhakikisha wanayatumia vema mafunzo hayo ili kujijengea uelewa wakutosha ili pia na wao waweze kupeleka uelewa huo kwa wananchi.

“Naamini pia kupitia uelewa huo mtaweza kuuliza maswali ya kina pamoja na kutoa maoni yenu muhimu kuhusu huduma hii ili wataalamu waweze kuyazingatia na kuyatekeleza kwa maslahi ya wananchi wetu hapa Zanzibar na taifa kwa ujumla,’’ alisisitiza.

Aidha Mh Zubeir alitoa wito kwa Mamlaka mbalimbali zinazohusika katika kufanikisha mpango huo zikiwemo taasisi za kifedha na mamlaka husika kuhakikisha zinafanya juhudi za makusudi ili kuruhusu utoaji wa huduma hiyo haraka iwezekanavyo lakini pia kwa ufanisi unaotakiwa ili iwe na tija zaidi hususani kwa wananchi wa kipato cha chini.

Akizungumza kwenye mafunzo hayo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima Zanzibar(ZIC) Bw Arafat Haji alisema kupitia mkakati wa uendeshaji wa mafunzo hayo Shirika hilo linaamini kuwa taarifa muhimu kuhusu huduma hiyo mpya zitawafikia walengwa wote kote nchini ili waweze kuichangamkia pindi itakapowafikia.

“Ni matumaini yetu kuwa ujio wa huduma hii ya Bima ya Kiislamu yaani ‘Takaful’ itakuwa ni suluhisho sahihi la kuwavutia wananchi wengi zaidi visiwani Zanzibar na maeneo mengine ya nchi ambao kimsingi wanahitaji huduma ya Bima ila wanashindwa kutokana na imani za kidini.’’ Alisema

Alibainisha kuwa wananchi wengi wa visiwa vya zanzibar wamekua wakisuasua kuingia katika mifumo ya bima kwa kujiepusha na riba ambazo zimekuwa zikienda kinyume na silaka na dini zao.

Akitoa shukrani zake kwa niaba ya serikali na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango –Zanzibar  Mhe. Dkt Saada Mkuya Salum pamoja na kuwapongeza wadau hao wakiwemo ZIC alisema semina hiyo imeendeshwa kwa kundi muhimu  kwa kuwa wajumbe hao wanawakilisha maelfu wa wananchi hatua itakayorahisisha usambazaji wa elimu hiyo.

 “Baada ya mafunzo haya sisi kama viongozi wa serikali pamoja na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi tunabaki na jukumu kubwa la kuhakikisha elimu hii haibaki miongoni mwetu bali inawafikia wananchi tunaowawakilisha huko majimboni na hicho ndio kitu kinachofuata baada ya hapa. Huduma hii ni muhimu sana kwa wananchi wetu na tutahakikisha inawafikia kama ilivyokusudiwa,’’alisisitiza.

Mbali na ZIC wadau wengine waliohusika katika utoaji wa mafunzo hayo kuhusu Bima hiyo inayotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni ni pamoja na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF), Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ),  Kituo cha Usimamizi wa Masuala ya Huduma za Kifedha za Kiislamu na Ushauri Tanzania (CIFCA) na Benki ya Maendeleo ya Kiislamu(IsDB). 

About the author

Alex Sonna