Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

betplay

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

Featured Kitaifa

NIKONEKT APP NJIA SAHIHI YA KUKOMESHA VISHOKA

Written by Alex Sonna
ni Afisa Uhusiano na Wateja wa Shirika la Umeme nchini (TanescO) Mkoa
wa Tanga Amon Michael akizungumza wakati wa semina ya kutambulisha mfumo wa
Nikonekt App kwa wakandarasi ,Mafundi na wadau wa Umeme mkoani humo
ni Afisa Uhusiano na Wateja wa Shirika la Umeme nchini (TanescO) Mkoa
wa Tanga Amon Michael akizungumza wakati wa semina ya kutambulisha mfumo wa
Nikonekt App kwa wakandarasi ,Mafundi na wadau wa Umeme mkoani humo

 

NA OSCAR ASSENGA, TANGA.

IMEELEZWA kwamba mfumo wa Ni Konekt App   utakuwa ndio mwarobaini wa kukomesha vishoka kwa sababu mfumo huo ni mteja mwenyewe anaunganishwa na Shirika la Umeme nchini Tanesco moja kwa moja.

Hayo yalisemwa na Afisa Uhusiano na Wateja wa Tanesco Mkoa wa Tanga Amon Michael wakati wa mkutano wake na Wakandarasi,Mafundi na Wadau wa Tanesco kuhusu kuutambulisha mfumo wa Nikonekt.

Pamoja na hilo lakini pia kuwaeleza uhusiano kati ya Tanesco ,Mkandarasi na Mteja ,Miiko yao ikiwemo kutoa wito kwa wakandarasi katika kutekeleza maboresho ya utoaji wa huduma ya Nikonect.

Alisema kwa sababu kupitia mfumo huo mteja mwenyewe anaunganishwa na Tanesco moja kwa moja hakutakuwa tena kuhitaji msaada hivyo anatakuwa anamchagua mkandarasi anayemtaka.

Aidha alisema pia wametoa mafunzo hayo lengo ni ni kuwaonyesha njia ambazo mteja anaweza kupata fomu ya awali kupitia mfumo huo mpya wa Ni Konect ili kuweza kuhakikisha wanapata huduma hiyo muhimu.

“tumekubalina na wakandarasi wenyewe watahakikisha wanafanya kazi kulingana na taratibu na sheria zilivyo bila kuathiri wateja wetu na wamehaidi kufanya kazi zao kwa waledi”Alisema

“Lakini pia wamelipongeza shirika hilo kwa kuanzisha mfumo wa kisasa ambao utaondoa urasimu kwa mteja,Tanesco na mkandarasi faida kubwa ikiwa ni kumrahisishia mteja na kumondolea usumbufu”Alisema

Hata hivyo alisema kwa wale ambao watapata huduma kupitia Nikonect watapata huduma kwa siku tatu na kila hatua inayofanyika anapokuwa akienda kupata huduma watapata taarifa huku akieleza wakijua kampuni zao zinafanya biashara ya kuuza fomu watamfanyia upelelezi na wakibainika watatoa taarifa kwa Uwura waweze kukufutia leseni,

Awali wakizungmza mara baada y mkutano huo Mariam Sangali ambaye ni Mwakilishi wa Kampuni ya Muya Express Electrical Contract kutoka wilaya ya Kilindi alisema mfumo huo ni mzuri kwa sababu unapunguza watu wa tanesco kukusanya fomu mtaani.

Mariam aliliomba Shirika hilo kuendelea kuboresha zaidi mfumo huo kutokana na kwamba unaonekana utakuwa ni mwarobaini wa kuondokana na tatizo la vishoka.

Naye kwa upande wake Furaha Shooo alisemamfumo huo walokuja nao shirika hilo utakuwa ni dawa ya kuwasaidia kutokomza vitendo vya vishoka mfumo wa Nikonekt ni mzuri sana.

“Mfumo wa Nikonekt ni mzuri na mmeningia Kidigitali lakini kubwa nimpongeza Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania kutokana na kazi kubwa wanayoifanya”Alisema

Hata hivyo Mkandarasi Mzee Awadhi Salmini alisema mfumo huo mpya utakuwa ni uzidhibiti tosha wa tatizo la vishoka na utatusaidia sana wananchi .

 

About the author

Alex Sonna