Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

TBS YAWAKUMBUSHA WABUNIFU KUSAJILI KAZI ZAO

Written by Alex Sonna

Afisa Usalama wa chakula kutoka  TBS Kanda ya Kati,Sifa Chamgenzi akitoa maelezo kwa wananchi waliotembelea Banda la TBS  wakati wa  maonesho ya wiki ya ubunifu yanayokwenda sambamba na Mashindano ya Ubunifu wa Sayansi na Teknolojia (MAKISATU) kwa mwaka 2022 ambayo yameandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo(UNDP) kupitia mradi wake wa FUNGUO yanayofanyika katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.

Afisa Udhibiti Ubora kutoka  TBS Kanda ya Kati,Sileja Lushibika,akiwaeleza wananchi waliofika kwenye Banda la TBS kuhusu kazi zinazofanywa na shirika hilo wakati wa  maonesho ya wiki ya ubunifu yanayokwenda sambamba na Mashindano ya Ubunifu wa Sayansi na Teknolojia (MAKISATU) kwa mwaka 2022 ambayo yameandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo(UNDP) kupitia mradi wake wa FUNGUO yanayofanyika katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.

……………………………………

Na Alex Sonna _DODOMA 

SHIRIKA la Viwango nchini (TBS)  limewaomba wajasiriamali kufika katika Banda  la Shirika hilo lilopo katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma kwa lengo la kwenda kuthibitisha bidhaa zao kwani kufanya hivyo ni bure.

Hayo yameelezwa leo Mei 17,2022 na  Afisa Usalama wa chakula kutoka  TBS Kanda ya Kati,Sifa Chamgenzi wakati akizungumza na akiwa kwenye banda la Shirika hilo kwenye maonesho ya wiki ya ubunifu yanayokwenda sambamba na Mashindano ya Ubunifu wa Sayansi na Teknolojia(MAKISATU) kwa mwaka 2022 ambayo yameandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo(UNDP) kupitia mradi wake wa FUNGUO yanayofanyika katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.

Chamgenzi amesema wapo kwa ajili ya kuangalia wajasiriamali ambao wamebuni kazi mbalimbali na kuzisajili ambapo amedai zoezi hilo wanalifanya  bure.

“Tunawakaribisha sana kwa ajili ya kupata nembo  ya ubora ukiwa kama mjasiriamali unapewa na unatumia kwa miaka mitatu bure  hulipiii chochote mwaka wa nne ndio utaanza kulipia,”amesema.

Kwa upande wake,Afisa Udhibiti Ubora kutoka  TBS Kanda ya Kati,Sileja Lushibika amewataka wajasiriamali  mbalimbali nchini kuzipeleka kazi zao ili ziweze kuwa na ubora wa kushindana katika masoko ya nje.

“Sisi kama TBS tunategemea tuone huo ubunifu  halafu tukaseme huo ubunifu uende na viwango kwani unabuni ili kitu kiende mbali sana.

“Huwezi kuuza kitu sokoni kama hakina ubora tunashauri baada ya kufanya ubunifu tunawapa ushauri ili tuipe thamani  zaidi  bidhaa yako.Kama wataweza kuja kwetu watakuwa na uwezo wa kushindana na soko la nje,”amesema.

Amesema  kwa wale wanaotembelea banda lao  wamewapa  elimu kuhusu TBS huku wakidai wajasiriamali ndio ambao wamekuwa wakipewa kipaumbele.

“Ili uweze kupata alama ya ubora hasa kwa mjasiriamali tunapenda kuwatangazia kwamba watapata alama za ubora kwa muda wa miaka mitatu sharti lazima awe na leseni awe anatambulika na Sido pamoja na ni raia wa Tanzania,”amesema

Amesema wamekuwa pia wakitoa elimu kwa watanzania jinsi ya kutumia vipodozi kwani kuna vingine vina madini yenye sumu na ni kwa ajili ya matumizi ya dawa.

Naye,Besther Mseluka Mkazi wa Ilazo ambaye alifika katika banda hilo, amesema ni vema watu wakafika katika banda hilo ili waweze kupata elimu juu ya matumizi ya vipodozi.

“Ninashukuru kwenye hili banda nimejifunza kumbe kuna mafuta hatutaki kuyatumia kwa sababu yanaleta kansa, afya ni namba moja kuliko kitu chochote.Nje tutaonekana ni wazuri lakini ndani kuna matatizo,”amesema.

About the author

Alex Sonna