marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

matbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

betoffice

marsbahis

perabet giriş

interbahis

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betparibu, betparibu giriş

zirvebet, zirvebet giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

meritking güncel giriş

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

Starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

pokerklas

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pokerklas

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

casibom

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

deneme bonusu

hackhaber

Uncategorized

TBS YAPOKEA CHETI CHA KIMATAIFA CHA ITHIBATI UTOAJI HUDUMA ZA UTHIBITI WA MIFUMO YA KIMENEJIMENTI

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara,Exaud Kigahe,akizungumza wakati wa hafla ya kupokea cheti cha ithibiti ya utoaji wa huduma za uthibitishaji wa mifumo ya kimenejimenti kutoka Huduma za Ithibati za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika(SADCAS)  leo Mei 12,2022 Jijini Dodoma.

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Prof.Othman Chande Othman,akizungumza wakati wa hafla ya kupokea cheti cha ithibiti ya utoaji wa huduma za uthibitishaji wa mifumo ya kimenejimenti kutoka Huduma za Ithibati za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika(SADCAS)  leo Mei 12,2022 Jijini Dodoma.

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa SADCAS,Bw. Victor Mundembe,akitoa salaam kutoka SADCAS wakati wa hafla ya kupokea cheti cha ithibiti ya utoaji wa huduma za uthibitishaji wa mifumo ya kimenejimenti kutoka Huduma za Ithibati za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika(SADCAS)  leo Mei 12,2022 Jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora TBS, Lazaro Msasalaga,akielezea historia fupi ya tbs CB na utendaji kazi wake wakati wa hafla ya kupokea cheti cha ithibiti ya utoaji wa huduma za uthibitishaji wa mifumo ya kimenejimenti kutoka Huduma za Ithibati za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika(SADCAS)  leo Mei 12,2022 Jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia hotuba ya Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara,Exaud Kigahe (hayupo pichani)  wakati wa hafla ya kupokea cheti cha ithibiti ya utoaji wa huduma za uthibitishaji wa mifumo ya kimenejimenti kutoka Huduma za Ithibati za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika(SADCAS)  leo Mei 12,2022 Jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara,Exaud Kigahe,akipokea cheti cha kimataifa cha ithibati cha utoaji huduma uthibitishaji wa mifumo ya kimenejimenti kutoka kwa Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa SADCAS,Bw. Victor Mundembe.Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Prof.Othman Chande Othman,hafla iliyofanyika  leo Mei 12,2022 Jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara,Exaud Kigahe,akimkabidhi cheti cha kimataifa cha ithibati cha utoaji huduma uthibitishaji wa mifumo ya kimenejimenti kilichotolewa na Huduma za Ithibati za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika(SADCAS)  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Prof.Othman Chande Othman.Kulia ni Mkurugenzi Mkuu TBS Dkt.Athuman Ngenya hafla iliyofanyika  leo Mei 12,2022 Jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mkuu TBS Dkt.Athuman Ngenya,akitoa neno la shukrani kwa Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara,Exaud Kigahe (hayupo pichani) mara baada ya kuongoza zoezi la  kupokea cheti cha ithibiti ya utoaji wa huduma za uthibitishaji wa mifumo ya kimenejimenti kutoka Huduma za Ithibati za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika(SADCAS)  leo Mei 12,2022 Jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara,Exaud Kigahe,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuongoza zoezi la kupokea cheti cha ithibiti ya utoaji wa huduma za uthibitishaji wa mifumo ya kimenejimenti kutoka Huduma za Ithibati za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika(SADCAS)  leo Mei 12,2022 Jijini Dodoma.

…………………………………………..

Na Alex Sonna-DODOMA

SHIRIKA  la Viwango Tanzania (TBS),limepokea cheti cha kimataifa cha ithibati cha utoaji huduma uthibitishaji wa mifumo ya kimenejimenti huku Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara,Exaud Kigahe ameipongeza TBS  kwa hatua hiyo.

Akizungumza wakati wa hafla ya kupokea cheti hicho kutoka Huduma za Ithibati za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika(SADCAS)  leo Mei 12,2022 Jijini Dodoma,Naibu Waziri  Kigahe amesema huo ni uthibitisho na ushuhuda tosha kuwa TBS inaendelea kujizatiti na kutambulika kimataifa kupitia utekelezaji wa majukumu yake.

Kigahe amesema kuwa ithibati ina manufaa makubwa kwa taasisi za umma na binafsi na TBS inatoa huduma kwa gharama nafuu ikilinganishwa na gharama zinazotozwa na kampuni za nje ambazo zimekuwa zikitoa huduma hizo.

“Niwapongeze TBS kwa kufikia hatua hii kubwa ya kupata ithibati ya umahiri katika kutoa huduma ya ithibati ya umahiri katika kutoa huduma hii, sina shaka mtaendelea kudumisha na kuongeza wigo kwenye kutoa huduma zenye ithibati ya umahiri ili kukuza uchumi na kuleta maendeleo kwa taifa,”amesema Mhe.Kigahe

Aidha amesema kuwa hivi karibuni,makampuni ya nje yalipata changamoto kutokana na janga la UVIKO-19 hivyo kushindwa kutoa huduma kwa wateja wao,hali iliyopelekea wateja wao kupoteza uhalali wa kuwa na vyeti vya uthibitisho wa mifumo ya kimenejimenti.

”kutokana na tatizo hilo baadhi ya taasisi tayari zimefanya uhamisho wa kupata huduma ya uthibitisho wa mifumo ya kimenejimenti kutoka kampuni za nje kwenda TBS ili kunufaika na huduma ya uhakika kwa gharama nafuu.”amesema

Hata hivyo ametoa wito kwa taasisi za umma na sekta binafsi kuthibitisha mifumo yao ya kimenejimenti kwa kuitumia TBS ambayo imepokea cheti cha Kimataifa cha ithibati katika huduma hii.

”Tutaendelea kuisaidia TBS katika kutimiza majukumu yake na kuhakikisha inaendelea kuwahudumia wananchi kwa umahiri na ufanisi katika nyanja zote za uzalishaji bidhaa na utoaji huduma kwa mujibu wa sheria ya viwango Na.2 ya mwaka 2009 pamoja na marekebisho yake”amesema Naibu Waziri

Kwa upande wake,Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora TBS, Lazaro Msasalaga, ametaja  hatua mbalimbali za kupata cheti hicho kuwa ni pamoja na kuweka na kufuata mifumo kulingana na matakwa yaliyoainishwa kwenye kiwango cha kimataifa ISO/IEC 17021.

“Kujipima utendaji kwa mujibu wa kiwango husika pamoja na matakwa ya tume ya ithibati na kuwa na wataalam wenye umahiri na weledi katika dhana nzima ya utoaji huduma,”amesema Bw.Msasalaga

Awali Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa SADCAS,Bw. Victor Mundembe,ameitaka  TBS kuhakikisha inazingatia ubora kwenye utoaji huduma hizo ili viwango vya ithibati hiyo visishuke.

Naye Mkurugenzi Mkuu TBS Dkt.Athuman Ngenya amewataka waandishi wa habari kutumia kalamu zao  kuwatangazia wananchi, taasisi za umma na sekta binafsi kuwa huduma hiyo kwa sasa ipo TBS.

About the author

Alex Sonna